Magufuli anasalitiwa

Magufuli anasalitiwa

Ni jambo la kusikitisha kuona mwendo wa kimapinduzi wa magufuli unasalitiwa na wanamapinduzi wanaangalia hawana cha kufanya. Ni hakika mrithi kikatiba wa magufuli sio mwanamapinduzi kwa hivyo tutegemee mwendo wa maendeleo wenye upendeleo kwa umma kusimama.
Makada waliyokua wanasimamia mapambano dhidi ya rushwa dhuluma kwa wanyonge ukwepaji wa kodi na maduhuri ya serikali sasa rais katoa taa kijani waburuzwe na kubambikiwa makosa kama wabakaji kusudi kuwaondoa kwenye nafasi zao.
Tumeona furaha ya mabwanyeye wa kimachame kote kutokana na jinsi sabaya alivyovunja mitandao yao ya uhalifu iliyokua na makao makuu hai. Kwa mfano wizi wa magari ili kuuzwa kama spear used. Utengenezaji fedha bandia ukwepaji kodi na kadhalika.
Hawajaishia hapo sasa wanadai kila kiongozi mwenye ujasiri aina ya sabaya aburuzwe kotini. Wanataja majina na tunaogopa hii serikali ya samia isiyo kua ya kimapinduzi ya chama cha mapinduzi huenda wakawa kwenye kazi ya kuvuruga mwendo wa kimapinduzi wa magufuli.
Tanzania siyo nchi ya mapinduzi kwa hiyo hakuna mtu anapaswa kuitwa mwanamapinduzi, labda ZNZ lakini siyo bara
 
Watajitahidi kumfubaza Magufuli, lakini nakuhakikkshia ukifika uchaguzi watalazimika kujinasibisha na Magufuli. Hii ni kwa sababu wapiga Kura wa kweli ni wananchi wa kawaida ambao wanampenda. propaganda na harakati za mitandaoni zilizotekwa na kakikundi kadogo hazitapiga kura

Magufuli mwenyewe hakuwa na sifa ya kushinda kwa njia ya kura, nani atatumia jina lake? Ule ushenzi alioufanya kwenye uchaguzi unadhani wanaccm wenye akili hawaujui? Magufuli anasema alipata kura 12m+ wakati hata wapiga kura hawakufika 10m. Kama unaamini Magufuli alishinda kwa kura, ingia kwenye tovuti ya tume ya uchaguzi uone kama kuna matokeo yoyote ya uchaguzi ule.
 
Screenshot_20210606-205224.png
 
Tofauti na hao marais wengine mama samia kaingia kwa kura za magufuli. Watu walimpigia magufuli kura kwa asilimia 84.6. Hii ni awamu ya magufuli sema mungu kampenda. Huyu mama kutuletea mambo za fikra zao za laisez faire upwani za kipigaji hakika tunaumia sana roho.
Kasome Katiba ya JMT uone Makamu wa Rais anapatikanaje. Au rudi kwenye karatatasi ya kura
 
Magufuli mwenyewe hakuwa na sifa ya kushinda kwa njia ya kura, nani atatumia jina lake? Ule ushenzi alioufanya kwenye uchaguzi unadhani wanaccm wenye akili hawaujui? Magufuli anasema alipata kura 12m+ wakati hata wapiga kura hawakufika 10m. Kama unaamini Magufuli alishinda kwa kura, ingia kwenye tovuti ya tume ya uchaguzi uone kama kuna matokeo yoyote ya uchaguzi ule.
Hayo matango Pori mlilishwa na Mbowe. Uchaguzi ulikuwa wazi sana ndiyo mana hata hao wazungu mliokuwa mnawakimbilia walitabiri kabla atashinda kwa 84% na ikawa hivyo
 
Ni jambo la kusikitisha kuona mwendo wa kimapinduzi wa magufuli unasalitiwa na wanamapinduzi wanaangalia hawana cha kufanya. Ni hakika mrithi kikatiba wa magufuli sio mwanamapinduzi kwa hivyo tutegemee mwendo wa maendeleo wenye upendeleo kwa umma kusimama.
Makada waliyokua wanasimamia mapambano dhidi ya rushwa dhuluma kwa wanyonge ukwepaji wa kodi na maduhuri ya serikali sasa rais katoa taa kijani waburuzwe na kubambikiwa makosa kama wabakaji kusudi kuwaondoa kwenye nafasi zao.
Tumeona furaha ya mabwanyeye wa kimachame kote kutokana na jinsi sabaya alivyovunja mitandao yao ya uhalifu iliyokua na makao makuu hai. Kwa mfano wizi wa magari ili kuuzwa kama spear used. Utengenezaji fedha bandia ukwepaji kodi na kadhalika.
Hawajaishia hapo sasa wanadai kila kiongozi mwenye ujasiri aina ya sabaya aburuzwe kotini. Wanataja majina na tunaogopa hii serikali ya samia isiyo kua ya kimapinduzi ya chama cha mapinduzi huenda wakawa kwenye kazi ya kuvuruga mwendo wa kimapinduzi wa magufuli.
Jiwe hakuwa na sifa ya kuwa mwanamapinduzi aisee tulimsitiri sana k
hakuwa na sifa za kiuongozi hasa kwa taifa letu aisee
 
Ni jambo la kusikitisha kuona mwendo wa kimapinduzi wa magufuli unasalitiwa na wanamapinduzi wanaangalia hawana cha kufanya. Ni hakika mrithi kikatiba wa magufuli sio mwanamapinduzi kwa hivyo tutegemee mwendo wa maendeleo wenye upendeleo kwa umma kusimama.
Makada waliyokua wanasimamia mapambano dhidi ya rushwa dhuluma kwa wanyonge ukwepaji wa kodi na maduhuri ya serikali sasa rais katoa taa kijani waburuzwe na kubambikiwa makosa kama wabakaji kusudi kuwaondoa kwenye nafasi zao.
Tumeona furaha ya mabwanyeye wa kimachame kote kutokana na jinsi sabaya alivyovunja mitandao yao ya uhalifu iliyokua na makao makuu hai. Kwa mfano wizi wa magari ili kuuzwa kama spear used. Utengenezaji fedha bandia ukwepaji kodi na kadhalika.
Hawajaishia hapo sasa wanadai kila kiongozi mwenye ujasiri aina ya sabaya aburuzwe kotini. Wanataja majina na tunaogopa hii serikali ya samia isiyo kua ya kimapinduzi ya chama cha mapinduzi huenda wakawa kwenye kazi ya kuvuruga mwendo wa kimapinduzi wa magufuli.
Nafikili MILEMBE hospital ipo na inafanya kazi sogea sogea
 
Hayo matango Pori mlilishwa na Mbowe. Uchaguzi ulikuwa wazi sana ndiyo mana hata hao wazungu mliokuwa mnawakimbilia walitabiri kabla atashinda kwa 84% na ikawa hivyo

Hamna mzungu mjinga wa hivyo ww dogo. Hizo 84% zilikuwa ni za kina Bashiru na Polepole. Ushenzi, unyama na uhayawani wa wazi uliotokea kwenye uchaguzi ule hata watoto wadogo waliuona. Narudia tena, wapiga kura hawakufika 10m, hiyo ndiyo saba hata kwenye tovuti ya tume ya uchaguzi hakuna matokeo. Nilitarajia utaniambia matokeo yako kwenye tovuti ya tume ya uchaguzi, badala yake unaniambia matango pori ya nimelishwa na Mbowe. Ule haukuwa uchaguzi bali maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura.
 
Ni jambo la kusikitisha kuona mwendo wa kimapinduzi wa magufuli unasalitiwa na wanamapinduzi wanaangalia hawana cha kufanya. Ni hakika mrithi kikatiba wa magufuli sio mwanamapinduzi kwa hivyo tutegemee mwendo wa maendeleo wenye upendeleo kwa umma kusimama.
Makada waliyokua wanasimamia mapambano dhidi ya rushwa dhuluma kwa wanyonge ukwepaji wa kodi na maduhuri ya serikali sasa rais katoa taa kijani waburuzwe na kubambikiwa makosa kama wabakaji kusudi kuwaondoa kwenye nafasi zao.
Tumeona furaha ya mabwanyeye wa kimachame kote kutokana na jinsi sabaya alivyovunja mitandao yao ya uhalifu iliyokua na makao makuu hai. Kwa mfano wizi wa magari ili kuuzwa kama spear used. Utengenezaji fedha bandia ukwepaji kodi na kadhalika.
Hawajaishia hapo sasa wanadai kila kiongozi mwenye ujasiri aina ya sabaya aburuzwe kotini. Wanataja majina na tunaogopa hii serikali ya samia isiyo kua ya kimapinduzi ya chama cha mapinduzi huenda wakawa kwenye kazi ya kuvuruga mwendo wa kimapinduzi wa magufuli.
Mapinduzi ya kutesa, kuaa ,kufungia akaunti za watu, kupigwa risasi Mungu aliona akamrudisha udongoni
 
Hujui hata maana ya neno mwanamapinduzi?
Magufuli hajawahi hata kufikiriwa kuwa mwanamapinduzi acha ujinga wako!
Yaani watu wa aina ya kina sabaya bado wapo miongoni mwetu wa kuwatetea kweli?
Mtu mweusi ana safari ndefu sana aisee!
Mbona hujabambikiwa wewe hayo makosa????
kumbuka hata shetani anawafuasi wengi kuzimu
 
Back
Top Bottom