The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,586
- 14,138
Kwa nini hayakuwekwa na Mwendazake?Hv tukisema Tanzania ya viwanda maana yake serikali ijenge viwanda na kufanya biashara? Au iweke mazingira rafiki ya watu wake kufanya hivyo?
Kwa nini hayakuwekwa na Mwendazake?Hv tukisema Tanzania ya viwanda maana yake serikali ijenge viwanda na kufanya biashara? Au iweke mazingira rafiki ya watu wake kufanya hivyo?
Onyesha Tanzania ya viwanda chini ya Mwendazake..vya mama hivi hapamada nyingine hazifai hata kujadiliwa na watu wazima wenye upeo kabisa kama sisi members wa JF.
MBONA CCM YA MAGUFULI ILISEMA IMEJENGA VIWANDA 100 KILA MKOA? LABDA MH.JAFFO atutajieSalaam Wakuu,
Baba wa Taifa aliacha Viwanda Vingi sana kiasi kwamba Nchi ilishindwa kuviendeleza hadi Vikabinafsishwa.
Wakati wa Kampeni ya 2015. Mwenda zake alisema "TANZANIA YA MAGUFULI NI TANZANIA YA VIWANDA". Lakini hata baada ya kuongoza awamu tano, alishindwa kujenga kiwanda hata cha sindano wala toothpick za kuchokonolea meno.
Mfano: Nchi idaiwe, haina kiwanda kilichojengwa na Magufuli tunachoweza kuuza wala kubinafsisha kama ilivyokuwa kwa Nyerere. Halafu anaibuka mjinga mmoja eti Magufuli ni sawa na Nyerere.
Rostam akijenga utasikia hongera Magufuli, Ajenge Mo Dewji eti hongera Magufuli, Ajenge Bakhresa utasikia juhudi za awamu ya tano. Kwanini ujisifie utajenga Viwanda wakati huna Mpango wala hela?
Ili Tanzania iondoe umasikini, lazima viongozi tunaowachagua wasimamie kile wanachokiamini.
Tanzania iligubikwa na Viongozi waongo. Kuanzia Majaliwa na Magufuli wake.
Selikal huwa haimiliki.viwanda kwa maana ifanye biashara hata ukija usa kazi ya selikali ni kutengeneza mazingira mazuri kwa watu au wawekezaji wao ndio wazalishe na selikal ikusanyekodi kupitia kiwanda na waajiliwa wa kiwandaTaja kiwanda cha Mfano cha Magufuli. Mimi naweza kukutajia alivyojenga Nyerere. Hivyo vya Pwani ni Viwanda vya Wahindi
Ndio hivyo alikuwa na mdomo sana ,majigambo kama yote wakati kichwani ni mweupeKwahyo furaha yako ni kuona anko aliondoka bila ya kuacha kiwanda hata kimoja sio!
Kile ni kifo hakupanga kufa ila ilitokea huenda angelikuwa hai angelikuwa ashaanza kufungua viwanda...
Nyerere alijenga kiwanda gani?Mimi sitaki namba. Bali anitaji kiwanda anachodhani ni cha Magufuli alijenga kwaajili ya Nchi nami namtajia mmiliki wa hicho kiwanda atakachokitaja. Nipo tayari.
Weka Takwimu za viwanda mlizojenga acha blaa blaa..Huna akili kabisa.
Kuna nchi inaweza kuingia uchumi wa kati bila viwanda? Hebu njoo mkoa wa Pwani ujionee.
Yani wewe ni mshamba kiasi kwamba haujui viwanda vya kuchenjua dhahabu vimejengwa Mwanza?
Angekuwa hai alafu hajafanya hayo yote ata mimi ningekupa sapoti ila rafiki yangu mtu ameshafariki tayari na bado unafurahia mapungufu yake aliyoyaacha dunianiNdio hivyo alikuwa na mdomo sana ,majigambo kama yote wakati kichwani ni mweupe
Naona jamaa anapita km hajaiona post yako.Kilimanjaro Ikternational Leather Industries Co. Ltd, Kiwanda cha viatu bora kabisa vya ngozi kwa Africa, chenye kutumia tekkologia kutoka italy, kilijengwa na serikali 2017
Onyesha viwanda vilivyojengwa na private sector basi,mdomo tuuImbecile!
Kwani ulidhani serikali ndio I inajenga viwanda au inatengeneza mazingira kwa wawekezaji?
Kwani kufariki ndio nini? Ule uongo alikuwa anamaanisha nini ?Angekuwa hai alafu hajafanya hayo yote ata mimi ningekupa sapoti ila rafiki yangu mtu ameshafariki tayari na bado unafurahia mapungufu yake aliyoyaacha duniani
Duu Siwezi kubishana na akili matopeHivi tunavyoongea Mama anaupiga mwingi ,
1.Kongani Kubwa ya viwanda 200 inajengwa pwani na SinoTan,
2.Kongani Kubwa ya viwanda zaidi ya 100 vinajengwa Kigamboni chini ya Elsewedy nk..
Japo hatujazungumzia mamia kwa mamia ya viwanda vingine vinavyotapakaa Nchi mzima..
Yote hayo yanafanyika bila makelele Wala ushamba.
Kabishane na foolish mwenzio mliyekuwa mnamuabuduDuu Siwezi kubishana na akili matope
Nyerere alikua ni chizi tu kama Magufuri . Suala sio kiwanda suala ni mahitaji ya bidhaa. Mahitaji ya bidhaa yakiwepo na binadamu wanauwezo wa kununua ndio upelekea uzalishaji ( kujenga viwanda kwa ajili ya uzalishaji).Taja kiwanda cha Mfano cha Magufuli. Mimi naweza kukutajia alivyojenga Nyerere. Hivyo vya Pwani ni Viwanda vya Wahindi
Tuliambiwa kila mkoa umejenga viwanda 100🤣🤣Salaam Wakuu,
Baba wa Taifa aliacha Viwanda Vingi sana kiasi kwamba Nchi ilishindwa kuviendeleza hadi Vikabinafsishwa.
Wakati wa Kampeni ya 2015. Mwenda zake alisema "TANZANIA YA MAGUFULI NI TANZANIA YA VIWANDA". Lakini hata baada ya kuongoza awamu tano, alishindwa kujenga kiwanda hata cha sindano wala toothpick za kuchokonolea meno.
Mfano: Nchi idaiwe, haina kiwanda kilichojengwa na Magufuli tunachoweza kuuza wala kubinafsisha kama ilivyokuwa kwa Nyerere. Halafu anaibuka mjinga mmoja eti Magufuli ni sawa na Nyerere.
Rostam akijenga utasikia hongera Magufuli, Ajenge Mo Dewji eti hongera Magufuli, Ajenge Bakhresa utasikia juhudi za awamu ya tano. Kwanini ujisifie utajenga Viwanda wakati huna Mpango wala hela?
Ili Tanzania iondoe umasikini, lazima viongozi tunaowachagua wasimamie kile wanachokiamini.
Tanzania iligubikwa na Viongozi waongo. Kuanzia Majaliwa na Magufuli wake.
Mkuu isije kuwa vyerehani vinne ni kiwanda.Hivi tunavyoongea Mama anaupiga mwingi ,
1.Kongani Kubwa ya viwanda 200 inajengwa pwani na SinoTan,
2.Kongani Kubwa ya viwanda zaidi ya 100 vinajengwa Kigamboni chini ya Elsewedy nk..
Japo hatujazungumzia mamia kwa mamia ya viwanda vingine vinavyotapakaa Nchi mzima..
Yote hayo yanafanyika bila makelele Wala ushamba.