Hiyo ilikua maeneo ya Soweto siku nyingi wakati akifanya Ziara mkoani mbeya, kwa leo Magufuli alikua sehemu za Iringa, Njombe kwa maana ya Makambako na Mbarali
mkuu hiyo haikua ya soweto,ilkua uyole maeneo ya stendi ya usangu..........ni kwel hiyo hali imetokea leo tho binafsi sijafurahishwa