jiulize kwanini wananchi wanazomea halafu mwishoni wanatishiwa kua wakichagua mtu tofauti na anayetakiwa hawatapewa maendeleo ya kujengewa barabara. Je kutishia sio uhalifu?kuzomea ni kitendo cha uoga na kushindwa hoja...ni upuuzi na propaganda za kitoto.
This is a clear message kuwa hawakubaliani na "ukatili" wake! Ukikubali ukweli huo, basi utakuwa mstaarabu sana! and you get a to make reformation of your deeds! Huyo ndugu yako ametesa watu sana, kuna maumivu makali mioyoni mwa watu!Ujinga na upumbavu mtupu?
Hivi unadhani na watu wa Magufuli wakianza kufanya hiki kinachofanywa na wajinfa wakisaidiana na wapumbavu kutakuwa na amani katika kampeni za uchaguzi.
Mshukuru watu wa upande wa Magufuli ni wastaarabu na wanafahamu dhana ya kukubali kutokubaliana katika msingi wa demokrasia.
ukawa ya wapi?Ukawa