Magufuli, acha kujitafutia sifa kwa mfumo huu

Magufuli, acha kujitafutia sifa kwa mfumo huu

mnafiki ni nani mkuu? kikwete, mkapa au mwinyi? kwa hiyo wewe unafurahia kuona wazee wetu wastaafu wakidhalilishwa hadharani? you can't be serious mkuu!

mnafiki ni yeyote anayeficha mambo mabaya mtu alofanya kwa ajili eti ya kulinda heshima... Ela za wananchi zimepotea bila sababu za msingi alafu ikiongelewa mbele ya wananchi ili kuwafungua akili na kuwafanya wafanye kazi kwa umakini zaidi kwa ajili ya nchi yao hautaki tena!! Eti kulinda heshima!!! Kikwete kama raisi aliwaheshimu wananchi wake!!? kina mama kulala chini hospitali na pesa kutumika ovyo ni heshima!?.. Acha kuwa mnafiki mkuu.. kwenye ukweli lazima uwekwe wazi.. haifai kuwa na nidhamu ya uoga eti ili ulinde heshima... Think Big
 
Watanzania hamueleweki? Mnalalama matumizi ya serikali makubwa halafu Kaja mtu msema kweli anaguza maeneo ya kuthibiti na Anglia tena Huyu mleta Uzi anasema nini. Nahisi huyu bwana Ana bifu n.a. Magufuli n.a. atapinga chochote atakachokifanya. Poor you.

Na hapo Magufuli angemsifia kikwete mlete uzi huyu huyu angeandika tena kulalamika... hawa ndio watanzania wenzangu...
 
Kama si nchi kumshinda kabla hajamaliza 5yrs bas 2020 ataangushwa na upinzani tenda kwa kishindo;nasema hayo nikiwa na uhakika 100%,kwani Raisi huyu ameshika hatamu na kuanza mapema kujiandalia mazingira magumu ya kutuongoza/kuchaguliwa baadae,sihitaji nikupe mifano kwani kila kitu kiko wazi,....
 
Mimi mwenzenu kama ni mwenzenu nashindwa kuelewa kama serikali ni mali ya Magufuli, ya CCM au ya wananchi. Maana tulitemwajiri hashirikishi hata ubongo wake, chama chake wala sisi wapiga kura tumekuwa watu wakusubiri huruma za mtu mwenye uraisi.

Hii ni mpya nasubiri kuona kitatokea nini mbele ya safari. Hi ni dhahiri kwa kauli anazotoa kana kwamba hapajawahi kuwa na serikali makini kabla yake. Wala hapajawahi kuwa na mihili mitatu kama wengine tunavyojua.


Don't worry, Tunafanya jaribio kwa kujisahaulisha serikali ya kabla yake, na kufanya hayo anayo yasema ili tuone kama Maisha Bora kwetu yanawezekana, serikali ya kabla yake yaliwezekana kwa baadhi ya wateule tu na si kwa kila m Tanzania.
 
Wewe mleta maada ndo unatafuta sifa za kijinga unataguta kiki kwa title ya magufuli

mkuu Manmura usiangalie avatar yangu tu ukaishia hapo....soma na uelewe mantiki ya hoja ninayojenga kisha uchangie. kama huna pointi ya kuchangia, ipotezee mada.
 
Last edited by a moderator:
Magufuli hana hekima angejifunza kwa Lowassa pamoja na kushambuliwa hata na JK yeye hakumjibu. Hata hvyo malipo hapa hapa duniani na JK alimshambulia Lowassa kwa hiyo asikasirike.

magufuli ajifunze nini kutoka kwa lowassa? Ufisadi au?
 
kwani yeye (magufuli) hakuwamo katika serikali hizo zilizowaibia na kuwadhurumu wananchi? yeye alifanya nini kurekebisha hali hiyo? toa kwanza boriti kwenye jicho lako ndipo utakiona kibanzi kwenye jijo la mwenzako.

Angalia na position alokuepo.. kwahyo unadhani kwa alipo kuepo angeweza kupunguza matumizi ya serikali kwa vitu kama safari za nje!!?... Endelea kuisoma namba mkuu.. Magufuli sio mtu wa kupaka poda watu..
 
wazee wako kivipi mkuu...alichosema magufuli ni uongo?shame on us blacks..ndo maana kina trump wanatutukana kila siku kwa ujinga na unafki km huu..binafsi sikumpigia kura magufuli lkn ktk hili kanikosha kwelikweli...tuache unafki,..yaani unataka mzee akinya ss tuseme kakojoa?!!wenze2 wanafikiria kwenda kuishi mwezini,cc hata kuusema ukweli ulio dhahiri tabu...kazi tunayo

Kama avata inavyojieleza hapo juu
 
Tulihitaji rais aina ya Magufuli tumempata ni.

Tanzania tumezidi unafiki!

mkuu idawa, hebu jiulize: ni kwanini hasa dr magufuli atumie udhaifu wa kikwete na watangulizi wake kutafuta kiki kutoka kwa wananchi? kwanini asisimame kwa miguu yake mwenyewe badala yake kuwatukana watu ili apate sifa? jiulize yeye amefanya nini kusahihisha hayo madhaifu kwa kuwa naye alikuwemo na bado yumo ndani ya CCM. anailalamikia serikali dhaifu ya CCM utadhani yeye hakuwahi kuwemo ndani ya cha hicho?

aidha, kama kweli magufuli anajiona yeye ni jembe, basi aache kujilnganisha na marais dhaifu waliomtangulia badala yake ajilinganishe na Kagame au Kenyatta. na kama kweli utendaji wake unaweza kulingana na utendai wa rais Kagame, hapo wananchi tutamuelewa. vinginevyo akae kimya na aache kuwachokonoa watu ambao hawana jukwaa la kujitetea....awaache kabisa wapumzike ili wale pensheni zao kwa amani.
 
Last edited by a moderator:
M4c alijiita mkasema anaiga ya wapinzani. Toka kampeni alisema serikali ya magufuli. Anafaa kama vile mwana ukawa .
 
Aaagh ulitaka ukawa ndio waingie wayaongee hayo

Acha aongeeeeeeee ukweli unauma na umekuhusa kale ndimu upoe
 
Mbona huyu JPM akiwa WAZIRI alikuwa anatetea safari za raisi na kusema zilikuwa na tija ndiyo maana mabarabara yamejengwa? Hapo hakuwa mnafiki? Namuunga mkono kupiga marufuku safari za nje zisizo na tija ila naye akiwa waziri alikuwa anamtetea raisi wake. Iweje leo?

Leo ama cheo cha kupanga na kupangua. Alipokuwa Waziri hakuwa Rais na hakuweza kutengua asiyopenda.

Na bado

Hapa kazi tu
 
kwani yeye (magufuli) hakuwamo katika serikali hizo zilizowaibia na kuwadhurumu wananchi? yeye alifanya nini kurekebisha hali hiyo? toa kwanza boriti kwenye jicho lako ndipo utakiona kibanzi kwenye jijo la mwenzako.
sasa mkuu nini maana ya kubadili uongozi?
ni ili pale yule anayetoka aliposhindwa kupaona huyu anayekuja arekebishe
kumbuka magufuli hata wakati wa kampeni alikua anazungumza hivi hivi
hata JK pia alishawahi sema (alipoulizwa wakati wa kampeni za magufuli) kua km magufuli hataona alipokosea akasahahsha hakungekua na maana ya uchaguzi
 
Mbona huyu JPM akiwa WAZIRI alikuwa anatetea safari za raisi na kusema zilikuwa na tija ndiyo maana mabarabara yamejengwa? Hapo hakuwa mnafiki? Namuunga mkono kupiga marufuku safari za nje zisizo na tija ila naye akiwa waziri alikuwa anamtetea raisi wake. Iweje leo?

Iweje leo?????
Magufuli is a tactical fighter. I congratulate him. Alikuwa akijua anachokitaka. Hivyo angeliziponda safari za JK kwenye baraza angelifika hapa leo?
Wakati mwengine unaweza kumeza chupa ili u-survive!
Bravo Mr Magufuli. You are our only Saviour! Nchi ilikuwa imekwisha - good only for jalalani!
 
mkuu idawa, hebu jiulize: ni kwanini hasa dr magufuli atumie udhaifu wa kikwete na watangulizi wake kutafuta kiki kutoka kwa wananchi? kwanini asisimame kwa miguu yake mwenyewe badala yake kuwatukana watu ili apate sifa? jiulize yeye amefanya nini kusahihisha hayo madhaifu kwa kuwa naye alikuwemo na bado yumo ndani ya CCM. anailalamikia serikali dhaifu ya CCM utadhani yeye hakuwahi kuwemo ndani ya cha hicho?

aidha, kama kweli magufuli anajiona yeye ni jembe, basi aache kujilnganisha na marais dhaifu waliomtangulia badala yake ajilinganishe na Kagame au Kenyatta. na kama kweli utendaji wake unaweza kulingana na utendai wa rais Kagame, hapo wananchi tutamuelewa. vinginevyo akae kimya na aache kuwachokonoa watu ambao hawana jukwaa la kujitetea....awaache kabisa wapumzike ili wale pensheni zao kwa amani.
jama mbona naona magufuli yuko sahihi sana!!!!
kiki gani sasawakati tayARI NI RAISI?
pale alikua anaelezea mwelekeo wa serikali yake ulitaka atumie maneno gani alipokua akieleza kua atakata matumizi yasiyo ya lazima? je asingeweka evidence ungemwelewa?
mh aendelee tu mpaka hawa miungu watu huku ofisini wajue tanzania ni yetu wote
 
Nakubaliana na maoni ya Mhe. Magufuli 100% kuhusu kusema ukweli. Yeye angeenda zaidi ya hapo kuwa fedha zote za safari za nje warudishe na hasa kinara.
 
mnafiki ni nani mkuu? kikwete, mkapa au mwinyi? kwa hiyo wewe unafurahia kuona wazee wetu wastaafu wakidhalilishwa hadharani? you can't be serious mkuu!

Mkuu pamoja na definition yako ya insanity bado unaendelea kuamini ni sawa kuendelea kufanya mambo yale yale kwa njia ile ile na kutegemea matokeo tofauti! Mambo ya kuonea haya na kulindana ndiyo yametufikisha hapa!


Kwanza hakumdhalilisha yeyote, alisema ukweli na baada ya panga la kwenye bajeti ya cocktail basi kuna matumaini huenda aliyoyasema yanatoka moyoni mwake. Siku zote wengi tunaamini sisi si nchi maskini bali ni usimamizi mbovu wa rasilimali zetu na matumizi yasiyo na manufaa kwa nchi ndiyo usababisha umaskini wa nchi hii.

Binafsi nilitamani aeleze na safari za rais ziligharimu kiasi gani taifa letu, na hapo naamini wengi tungebaki vinywa wazi. JPM ni wakati wako kuliongoza taifa hili kuelekea kwenye maendeleo na tutakuhukumu baada ya safari kama tunavyofanya kwa watangulizi wako.

Mungu ibariki Tz
 
mnafiki ni nani mkuu? kikwete, mkapa au mwinyi? kwa hiyo wewe unafurahia kuona wazee wetu wastaafu wakidhalilishwa hadharani? you can't be serious mkuu!

Mnafiki ni wewe na uzushi wako!
CCM MBELE KWA MBELE NA UTAISOMA.....!
 
Back
Top Bottom