Quarterpin
JF-Expert Member
- Mar 19, 2013
- 1,253
- 1,084
Sidhan kama una maanisha unachosema, manake imekaa kama kejeli hiv,na uliowatag sasa
Mimi ninatoka katika moja ya makabila yenye sifa nzuri mno,lakini pia kabila langu lina tabia chache za hovyo mno. Unafiki kwa wakubwa zetu. Uthibitisho baba mzazi akiachia hewa chafu(ushuzi) kimya kimya bila kutoa mlio anakuwa wa kwanza kushika pua na kufoka" nani huyo kachafua hali ya hewa?) Kwa nini hasogei pembeni? Na watoto wote kimya hata kama mnajua ni baba yetu kachafua na bado anafoka. Tunataka mabadiliko ndicho tulichosema. Tudumishe heshima kwa wakubwa zetu ila wakikosea tuseme.
Mwandishi umeongea kwa mafumbo!!
Hoja yako inaongezea chumvi tuone maumivu aliyotuachia JK!!
Nimependa bango lako
Mwandishi umeongea kwa mafumbo!!
Hoja yako inaongezea chumvi tuone maumivu aliyotuachia JK!!
Nimependa bango lako
Sidhan kama una maanisha unachosema, manake imekaa kama kejeli hiv,na uliowatag sasa
Mwandishi umeongea kwa mafumbo!!
Hoja yako inaongezea chumvi tuone maumivu aliyotuachia JK!!
Nimependa bango lako
Huna lolote pumba tupupamoja sana kwa kung'amua fumbo hili mkuu. humu jf wajinga bado wengi....eti wananishambulia badala ya kunipongeza kwa kuanika ukweli. hii nchi imetopea sana kwenye ujinga hasa baada ya CCM kuharibu elimu yetu.