Hakuna WIZARA, IDARA, SHIRIKA LA UMMA, TAASISI YA UMMA itasafishika peke yake kwa staili hii ya Maghufuli ya TV na vyombo vingine vya habari. Tatizo tulilo nalo ni la NCHI kama sio TAIFA. Ni MFUMO. Unahitaji kubadilishwa. Ni kuiondoa CCM na akina Maghufuli madarakani. Alikuwepo wizara hiyo miaka michache iliyopita. Hakuna mkakati wa kudumu na endelevu aloouacha kuzuia haya. Serikali ya CCM haiwezi kujikaanga yenyewe kwa mafuta yake. TUSIDANGANYANE.