Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 19,504
- 57,049
Hivi huyu aliyeandika hapa anajielewa kweli!... au anadhani Tanzania hii yuko peke yake?....ama anafikiri sisi hatujui kinachoendelea?
.......eti J: PM kichocheo cha kukua kwa uchumi
hili gazeti hata nikute wamenifungia maandazi sikubali bora niyaweke kwenye mfuko wa suruali.