Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 34,143
- 79,583
Dr.Mzee wangu nakukubali sana, maktaba yangu ina vitabu vyako pia,
Allah azidi kukupa umri mrefu wenye afya
Innailah wainnailah rajioun..huyu Magambo alikua na undugu na yule aliewahi kua kiongozi wa Yanga Issa Makongoro.?? RIP .Huyu Mwamba namkumbuka kumuona kipindi katoka USA na Nywele alikuwa akizipiga Mafuta ya Curl 😀😀
Enzi hizo alijenga ghorofa lake Mbezi Beach na akitumia Wafanyakazi wa Interchick usiku wanamwaga Zege. Jamaa hao wamwaga Zege walikuwa wakimpa sifa Makongoro kwa umahiri wake wa kumwaga Matusi mazito hadi Wakamkubali. Hadhi yake na Matusi yake havikuenda pamoja ila kwa ufupi alikuwa Mtoto wa Mjini hadi basi 😀😀
Alikuwa akiingia speed mno na Pajero lake la hali nzuri kabisa hapo Interchick.
Kipindi hicho wakati Interchick inaanza, yeye alikuwa tayari ni Mkurugenzi wa kampuni nyingine ya huyo huyo Owner iitwayo BANDAG - tire retreaders ambacho kilikuwa Kiwanda cha matairi.
Mzungu owner nadhani alikuwa akiishi Kenya na alikuwa ni Mgeruman au Mwingereza huku akija Dar kwa ndege yake ndogo na kuzunguka hapo juu Interchick na ndiyo anakwenda uwanja wa ndege kutua.
Makongoro alikuwa na ndugu yake hapo Interchick aitwaye Matare. Sijui aliishia wapi?
Pia Mshelisheli Mike kutoka Seychells ndiyo walikuwa Weusi Wazito hapo Interchick.
RIP Makongoro....
Sikuwa namfahamu kwa ukaribu.Innailah wainnailah rajioun..huyu Magambo alikua na undugu na yule aliewahi kua kiongozi wa Yanga Issa Makongoro.?? RIP .
Acha uchonganishiManjagata Unasemaje?😄😄
Achana na hako kajamaa kajinga hako! Kanajidai kunijuajua!
Acha uchonganishi
Brig...Innailah wainnailah rajioun..huyu Magambo alikua na undugu na yule aliewahi kua kiongozi wa Yanga Issa Makongoro.?? RIP .
Ni kweli hawana undugu ni home boy tu, Chifu Makongoro ni wa Nyamuswa Ikizu Bunda kwa kina Warioba na Wasira, hata kabila posibly siyo mzanaki, Nyamuswa ni kwa Waikizu ndio kabila la Warioba.Sikuwa namfahamu kwa ukaribu.
Ila tu niliambiwa kwamba alikuzwa na kusomeshwa na Mwalimu.
Wengine wameandika hawakuwa na Undugu na Nyerere, yaweza kuwa.
Hata Dr Abdallah aliyeowa Binti wa Mwinyi Mzee Ruksa, alikuzwa na kusomeshwa na Nyerere.
Bado hujajibu swali langu, umeongelea dhana tu, hapo Ikizu na Zanaki hakukuwa na Uislamu kabisa, kuna watu wa asili sijui ndio mnawaita wapagani na Wakristo, makao makuu ya Wasabato Tanzania yalijengwa Zanaki pale Busegwe kwa kina Nimrod Mkono.Machifu wengi wa zamani walikua waislamu,mfano kina mkwawa,makwaia,mirambo,kinweri,etcusikute hata huyo chief makongoro
Hii Bandag si ndio wale interfreight Panalpiner ya pale Tazara mchicha?Upo Sawa kabisa Mkuu. Ila pia alikuwa kampuni ya BANDAG.
Dah salaleee kuna lengine zaidi ya msiba????Hata sisi tunafiwa pia.
Na hatuleti misiba mitandaoni.
Matatizo yenu na watu wenu wa karibu, msifikiri matatozo hayo ninya kila mtu.
Mnapopata misiba, siyo kwamba inamhusu kila mtu.
Na mpaka sasa analiwa na ndorobo katavi atajuaje histoeia ya watt wa mjiniYawezekana
baba yako hamfikii hata kidogo huyu Mohamed saidi,acha chuki za kipumbavu wewe
Shida yake ndiyo hiyo tuPoleni sana kwa msiba. Ila mzee Mohamed ulivyohadithia ni kuwa ulipata fursa kubwa ya kukua na watu wazito wa nchi hii ila nashangaa huu UDINI ulio nao umetokana na nini?
Huko mara mbona uislam upo kitambo tu,angalia machifu walivyokua wakivaa,wakamuathiri hadi mkono kuvaa tunga, pitia kitabu cha Thomas molony,nyerere the early daysBado hujajibu swali langu, umeongelea dhana tu, hapo Ikizu na Zanaki hakukuwa na Uislamu kabisa, kuna watu wa asili sijui ndio mnawaita wapagani na Wakristo, makao makuu ya Wasabato Tanzania yalijengwa Zanaki pale Busegwe kwa kina Nimrod Mkono.
Hapa nieleweke sina interest na dini yoyote, lakini najaribu kutafiti huyu marehemu chimbuko la uislamu wake, nataka kujuwa tu maanda yule Linda aliyezaa naye najuwa alikuwa mkristo akasilimu sasa ni mwislamu.
Kwa hiyo alikua anadanga!?..hebu nimuone alivyo mzuri!!Marehemu apumzike kwa amani...
Lakini huyu makongoro alikuwa mtoto wa mjini haswaa!!! Linda bezdui jina lake analijua mwenyewe.,.....
Alijua anatoka na mtoto kigogo iseee kumbe kaangua pua na uzuri wote ule