Mafuriko mwezi ujao (September 2012)

Hivi ni kwa nini watu walikuwa "wanamkandia" yule babu wa loliondo?
 
Watu waliopewa dhamana kwenye taifa hili iwe serikalini au katika kanisa wamesahau wajibu wao na badala yake wanamkumbatia shetani na kazi zake zote
We hapa uko upande gani???

Kwa yeyote mwenye mzigo wa kuliombea Taifa hili tafadhali omba toba kwa ajili ya nchi yetu na ufunge kwa siku tatu kawaida na sio tatu kavu (utachagua mwenyewe siku za kufunga) ili Mungu atuepushie na balaa hili.
Tayari tusha epukana na balaa coz kuna wenzetu wamefunga zaidi ya siku tatu

Mungu anaipenda sana Tanzania lakini anachukia uovu huu ndio maana ameonyesha nini kinakuja ili tuombe toba atusamehe na atunusuru na hali hiyo na kama bado itatokea basi isilete madhara makubwa au yasitokee kabisa.
Hili umelijuaje?? Kwa ndogo au uliongea nae ana kwa ana?? Kama ni kwa ndoto mbona kuna muda unaota wewe ni tajri na ukiamka unajikuta wewe ni yuleyule?? na kama ni ana kwa ana, kwanini hukumsihi apunguze adhabu???
 
Ukiona nyoka kwenye ndoto au maono maana yake ni uchawi au ni shetani mwenyewe. Nyoka hana ishara zaidi ya hizo mbili unless una tafsiri nyingine. Kwa maono haya imeashiria uchawi maana hii nchi imetumbukia humo na naamini unaelewa ninachosema hapa.

Fimbo ya Mussa ilipogeuka kuwa nyoka,nyoka katika hili alikuwa ni shetani? achana na kudanganywa kwa kukariri objects kutafsiri ndoto badala yake omba Roho Mtakatifu akupe maana au tafsiri sahihi ya ndoto yako! Lazima uenende katika ufahamu hizi ni nyakati ambazo Mungu anazungumza na watu wenye ufahamu na uelewa.
 
Wakuu, I hope wote mko poa kabisa. Nataka kuwashirikisha jambo. Kuna hali ya mafuriko makubwa yanayokuja kutokea Tanzania mwezi ujao. Kuna watu ambao Mungu amesema nasi ili tuombe toba kwa ajili ya nchi ili hali hii isitokee na hasa kama itatokea basi isilete madhara ambayo yanaweza kutokea kama hatutaomba Mungu atunusuru na maafa.

Nchi yetu 'imemezwa na chatu'. Hii maana yake ni kwamba nchi hii imetumbukia katika uchawi na kumwabudu shetani as nyoka ni shetani as well as uchawi/ushirikina. Watu waliopewa dhamana kwenye taifa hili iwe serikalini au katika kanisa wamesahau wajibu wao na badala yake wanamkumbatia shetani na kazi zake zote i.e uuaji na umwagaji wa damu zisizo na hatia, uchawi, wizi, uongo na pia ukahaba umekithiri, uaminifu umepungua sana, ufisadi, upagani, ibada za mizimu, kuabudu shetani na mambo mengine yote yafananayo na hayo na kumchukiza Mungu na amekasirika. Mambo yote haya tunayaona day in day out. Na watu wanafurahia watu waovu na uovu kuliko uadilifu na watu wanaotetea haki.

Mungu anaipenda sana Tanzania lakini anachukia uovu huu ndio maana ameonyesha nini kinakuja ili tuombe toba atusamehe na atunusuru na hali hiyo na kama bado itatokea basi isilete madhara makubwa au yasitokee kabisa.

Picha ya mafuriko yanayokuja yanaonyesha mvua kubwa sana ya kutisha na nusu ya Dar ikiwa imemezwa na maji ambayo yamechanganyika na maji ya bahari. Hii inaashiria gharika au kimbunga chenye mvua kubwa.

Kwa yeyote mwenye mzigo wa kuliombea Taifa hili tafadhali omba toba kwa ajili ya nchi yetu na ufunge kwa siku tatu kawaida na sio tatu kavu (utachagua mwenyewe siku za kufunga) ili Mungu atuepushie na balaa hili. Tafadhali mshirikishe na mwenzio.
Nimewashirikisha ili isije kula kwetu tuliopewa huu ujumbe kama tutakaa kimya bila kushirikisha wengine pia waombe.

Usichangie kwa kukashifu na kama huna mchango au huamini basi wewe pita tu na Mungu atakubariki.
Mathayo 18:18, 2 Nyakati 7:14, Isaya 62:6, 45:11

Ulikuwa una maana hii nchi ipo kwenye dhamana ya kanisa, kanisa lipi hilo? na nani aliyeitoa hiyo dhamana kwa kanisa?
 
Hamna kitu unachojua wala kuelewa hapa_yote ni abrakadabra na hekaya za kilokole zisizo na mshiko.
Kama wajumbe wa Mungu muumba wa mbingu na nchi wapo basi na wajumbe wa ibilisi wapo. Hakika upo kazini!
 
quote_icon.png
By Safari_ni_Safari
Mungu hajawahi kusema na watu weusi!!!
Ndiyo maana wengine tushasema kwamba hayupo.[/QUOTE


kwa argument ya safari ni safari haiconclude kuwa mungu hayupo yaonesha kuwa yupo ila hakuwahi kusema na watu weusi.
 
quote_icon.png
By Safari_ni_Safari
Mungu hajawahi kusema na watu weusi!!!
Ndiyo maana wengine tushasema kwamba hayupo.[/QUOTE


kwa argument ya safari ni safari haiconclude kuwa mungu hayupo yaonesha kuwa yupo ila hakuwahi kusema na watu weusi.

Sasa kama yeye ana uwezo wote na hataki kusema na watu weusi, kwa nini watu weusi watake kusema naye?

Na kwa nini mungu mwenye uwezo wote na upendo wote achague, aseme na watu hawa na hawa asiseme nao?
 
Gosh!!, who will resque this land?, people still live in idealistic world while the world is in post-modern stage. Floods Tanzania in September!!!! real!!, are you crazy??!!!!

halafu watu wanashangaa kwa nini ccm wanashinda kola uchaguzi.

Kwenye sensa hakuna swali la kuhakiki kama mtu ni chizi au mzima?
 
By the way,

Mungu anayeweza yote anaweza kuumba jiwe zito kiasi kwamba yeye mwenyewe hawezi kulibeba?

Akiweza kuliumba, si mungu anayeweza yote, maana atashindwa kulibeba.

Asipoweza kuliumba, si mungu anayeweza yote, maana hawezi kuliumba jiwe hili.

Ukichunguza sana unaona idea ya mungu muweza yote ina maswali mengi kuliko maswali na kama hayajapewa majibu yachukuliwe kama hadithi tu.

ahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa very childish,
umekariri falsafa za wenzio waliokana idea ya mungu kwa argument hizi, mimi, kiranga nakuona kama msomi aliyeamua tu kuushikilia upande mmoja wa mawazo usioshikika na unaoshindwa,unajitia kukariri na kutoa madude ya kisayansi ambayo hata mwenyewe huwezi kuyaelewa umejikaririsha na kukubali kuchagua eulewa wa kukupoteza, si mbaya i take you as a person who is still learning untill the time comes when you will be able to understand the "truth" you will be ready to accept that god exist.
haohao wanafalsafa walifika mahali wakakubali hao wanasayansi wenzio(i doubt kama wewe ni mwanasayansi)ila kwa vile wewe umesoma sayansi unajidanganya kuwa unijua sayansi, you will never prove god existance in labolatory,huwezi mshika wala huwezi kumwona kwa macho, kama unataka sayantific ways to prove so.

kasome vizuri falsafa ulizokariri zipo zingine zilizoeleza vizuri uwepo wa mungu na kumake sense than those which hits around the bush.
najua utarudi mkali macho yanekutoka unijibu hoja hizi utarudia palepale nothing new.
 
quote_icon.png
By Safari_ni_Safari
Mungu hajawahi kusema na watu weusi!!!


Sasa kama yeye ana uwezo wote na hataki kusema na watu weusi, kwa nini watu weusi watake kusema naye?

Na kwa nini mungu mwenye uwezo wote na upendo wote achague, aseme na watu hawa na hawa asiseme nao?

sasa kiranga tatizo lako unamchukulia mungu kama mtu kama mimi na wewe kwamba afanye mambo namna wewe utakayopenda?
namna yake ya kusema na watu si kama ya mwanadamu anasema na wale anaowataka na kwa namna atakayoitaka kama pia upo tayari atasema na wewe.
halafu kiranga wewe unasoma biblia na umeisoma i know it from your posts unaelewa namna mungu anavyosema na watu.selected ones.hapa unaamua tu kuleta argument au hata hili unataka kuprove lab?
 
ahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa very childish,
umekariri falsafa za wenzio waliokana idea ya mungu kwa argument hizi, mimi, kiranga nakuona kama msomi aliyeamua tu kuushikilia upande mmoja wa mawazo usioshikika na unaoshindwa,unajitia kukariri na kutoa madude ya kisayansi ambayo hata mwenyewe huwezi kuyaelewa umejikaririsha na kukubali kuchagua eulewa wa kukupoteza, si mbaya i take you as a person who is still learning untill the time comes when you will be able to understand the "truth" you will be ready to accept that god exist.
haohao wanafalsafa walifika mahali wakakubali hao wanasayansi wenzio(i doubt kama wewe ni mwanasayansi)ila kwa vile wewe umesoma sayansi unajidanganya kuwa unijua sayansi, you will never prove god existance in labolatory,huwezi mshika wala huwezi kumwona kwa macho, kama unataka sayantific ways to prove so.

kasome vizuri falsafa ulizokariri zipo zingine zilizoeleza vizuri uwepo wa mungu na kumake sense than those which hits around the bush.
najua utarudi mkali macho yanekutoka unijibu hoja hizi utarudia palepale nothing new.

Hujajibu swali.

Basically unachosema ni kwamba god is incomprehensible.

I can also equally say there is an incomprehensible lost tribe of the Chaggas, possesing three arms, legs and eyes, roaming the top of Mount Kilimanjaro.

And you wouldn't be able to disprove this.
 
sasa kiranga tatizo lako unamchukulia mungu kama mtu kama mimi na wewe kwamba afanye mambo namna wewe utakayopenda?
namna yake ya kusema na watu si kama ya mwanadamu anasema na wale anaowataka na kwa namna atakayoitaka kama pia upo tayari atasema na wewe.
halafu kiranga wewe unasoma biblia na umeisoma i know it from your posts unaelewa namna mungu anavyosema na watu.selected ones.hapa unaamua tu kuleta argument au hata hili unataka kuprove lab?

Kama mungu si kama mimi na wewe na namna yake anavyofanya mambo si namna ya kueleweka kwangu mimi na wewe, wewe umejuaje hilo? Binadamu yeyote anawezaje kumuelewa huyo mungu?

Na kama kuna binadamu kaweza kumuelewa mungu huyu, kwa nini mimi nisimuelewe?

You can't have it both ways.

Kama mungu haeleweki na binadamu maana yake hao walioandika biblia kwa kusema wameongozwa na mungu basi wamedanganywa.

Kama mungu anaeleweka na binadamu ndo maana watu wameandika vitabu vyake, basi hata binadamu kama mie ntaweza kumuelewa.

Unaposema mungu anaongea na selected ones, una maana mungu ni mbaguzi?

Kwa nini apendelee wengine na wengine awaaache?
 
Mungu hajawahi kusema na watu weusi!!!
Logically hiyo siyo kweli. Ukweli ungekuwa Mungu wa Wayaudi na wazungu (Judeo-Christian God) hajawahi kusema na Waafrika. Ila kila mtu anasema na Mungu wake kila siku. Kuna ile sauti yako ya ndani inayokwambia usitende hili ni baya au tenda hilo ni zuri, huyo ni Mungu wako anaongea na wewe. Zingine ni blah blah na brain washing ambazo bahati mbaya zimetuathiri Waafrika kuliko hata wale waliozianzisha. Kwa mantiki yako ni kama unakubali ujinga ule wa kuwa kabla wazungu/waarabu hawajafika na dini zao mbinguni hakukuwa na nafasi kwa ajili ya Waafrika hata kama walikuwa watu wema kiasi gani. Think like a Great Thinker.
 
Kama mungu si kama mimi na wewe na namna yake anavyofanya mambo si namna ya kueleweka kwangu mimi na wewe, wewe umejuaje hilo? Binadamu yeyote anawezaje kumuelewa huyo mungu?

Na kama kuna binadamu kaweza kumuelewa mungu huyu, kwa nini mimi nisimuelewe?

You can't have it both ways.

Kama mungu haeleweki na binadamu maana yake hao walioandika biblia kwa kusema wameongozwa na mungu basi wamedanganywa.

Kama mungu anaeleweka na binadamu ndo maana watu wameandika vitabu vyake, basi hata binadamu kama mie ntaweza kumuelewa.

Unaposema mungu anaongea na selected ones, una maana mungu ni mbaguzi?

Kwa nini apendelee wengine na wengine awaaache?

kiranga mimi napenda ulivyo critical na kuamini ni kuchagua.sio mbaya ni nzuri pia.
 
Ukiona nyoka kwenye ndoto au maono maana yake ni uchawi au ni shetani mwenyewe. Nyoka hana ishara zaidi ya hizo mbili unless una tafsiri nyingine. Kwa maono haya imeashiria uchawi maana hii nchi imetumbukia humo na naamini unaelewa ninachosema hapa.

Je, ni kwa nini hospitali nyingi kubwa( Mfano KCMC) wana nyoka kwenye nembo yao? Hii ina maana kuwa wanatibu kwa uchawi au shetani?
 
ahahahahaaaaaaaaaaaaa_chezea kiranga wewe,..ulivyokuja na habari za kumtishia_mara oooh very childish ulifikiri atagwaya...kiranga kiboko ya haya mambo tuliyo karirishwa kutoka mashariki ya kati.period

wewe kama unamwogopa kiranga ni wewe kiranga wakawaida sana, tena sana hana kipya kwani uwongo hajakariri kama umesoma basi utajuajua kabisa kakariri ndio maana anashikilia misimamo na kutoa mifano ya vitabuni,
mimi sikariri nafikiri nasoma natafakari na kuongeza na za kwangu.
unafikiri anayoyasema yeye kapata wapi kama sio mivitabu ya mashariki ya kati. ndio maana nimemwambia kuwa kuamini pia ni kuchagua kwa vile yeye ameamua kuchagua kuamini theories za wanaokataa uwepo wa mungu basi asiwaone wajinga wanaokubali kwani nao wamesoma za wengine na kuziona zinamashiko.yeye huyo kiranga na mafilosophi yake na marx,sijui wanasayansi,hegel volter yote ni matheory tu kama vile theorist wengine walivyochanganua otherwise,
hivyo sote ni product ya elimu hiyohiyo ya watu.
hata hivyo kiranga ajue tu kuwa wapo wasomi wazuri sana waliokaa chini na kutafakari na kufanya scientific test juu ya mambo mbalimbali na kuona wanasayansi nao hawajui wanalolisema when it comes to god.
kuamini mungu sio ujinga kama anavyoona kiranga yaweza kuwa ni busara kushinda wale wajiitao wasomi na kuukana uwepo wa mungu na huku wanabaki na maswali mengi yasiyo na majibu.
yeye huyo mbona alishindwa kusema chanzo cha dunia na mfumo mzima wa jua nini? oh bigban theory,or nini alot os scientific teminologies ambazo zimeshindwa kueleza chanzo haswa cha kila kitu.
mimi namwona kama mtu tu aliyeamua kushikilia msimamo fulani kwa mapenzi yake lakini msimamo huo pia hauna mashiko na wala haujitoshelezi.
unataka kuprove uwepo wa mungu kwa kumshika?
poleni
 
Back
Top Bottom