Kwanza kabisa jifunze ku-quote vizuri hapa JF
Kiranga;
Sasa ya nini kukaa unahangaikia advocacy ya miaka nenda miaka rudi?
1. Sijahangaika.Mvivu wa kufikiri anaweza kuona kuandika hivi ni kuhangaika sana.Mtu anayependa intellectual exercise atafurahia mazungumzo haya, kwani ndiyo maana nzima ya forum. Naona wewe ndiye unayehangaishwa na maandiko yangu kiasi cha kuja na hoja fyongo ya kunionea huruma kwa hangaiko ambalo mie silioni.
Mara ngapi hapa unasema kwamba Mungu hayupo na tumekusikia?
Unaposema "tumekusikia" unamaanisha wewe na nani? Ushajionyesha una a collective Borg like thinking. Kwa kuwa wewe umenisikia basi "tumekusikia". Na waliojiunga leo nao?
If i were you, I would rather keep quiet,
That's why you couldn't be me. JF is not about keeping quiet.Read the motto up on the banner "Where We Dare To Talk Openly". Got that?
otherwise you are neither intelligent nor are you confident with your stand.
To the contrary.I never claimed to be intelligent in the first place (I don't know where you got that), and confidence is the realm of fools, so you are contradicting yourself because the truly intelligent are not overly confident, for they know the multitudinous implications of the duality and symmetrical nature of existence, from the wave particle duality of subatomic particles to the spooky action at a distance of twin particles, from the contradiction of fullness and emptiness of the simultaneous degree 0 and 360 of the circle to the probabilistic nature of quantum existence. So you see, certainty is only borne out of the poverty of our minds.
Nakumbuka kuna siku uliwahi kuibua debate ya namna hii nikakubana maswali ukashindwa kuyajibu, ukawa unaingia mitini. Sasa unakaa unaibua ibua ya nini tena ilhali kuna siku ulishindwa kujibu maswali?
Mie sikumbuki, weka ushahidi hapa.Fukua thread au uliza maswali upya. Sijawahi kukimbia mjadala JF.
Una credentials gani za kunishauri mimi?
kuwa kama unajua kuwa Mungu hayupo, be confident and keep your stand!
I have always kept my stand, what is your point?
siyo unakaa unababaika babaika na ku-punic punic
Punic ndo nini? Kabla ya kujivika "unadhimu" wa kushauri watu kuhusu theology jifunze spelling.
tena kujaribu kutafuta uhakika kwa wengine! Mambo yako inabidi uwe na uhakika nayo mwenyewe
Wewe usiye na uhakika hata na spelling unataka kutuambia kuhusu uhakika?
kama huna uhakika uliza, na siyo kuuliza swali kijanja kama vile unatoa hoja! Argument yako moja tu kuhusu Mungu speaks a volume about you. Bahati nzuri wewe ni mwandishi mzuri wa kile ambacho si feelings za ndani kwako ulivyo!
Argument yangu moja tu against kuwepo kwa mungu? Mungu angekuwepo asingeweza kuumba mtu majununi kama wewe.