Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 85,911
- 146,066
Nilikuwa nakudanganya, na ulivyo mwepesi wa kukariri joja ukakubali, hapana bado nipo mzee wangu, isipokuwa nilitaka nipumzike kidogo kusikia *****! Tatizo umekariri sayansi wakati siyo mwanasayansi, you think everything's verification is subject to emperical objective evidence, simply sayansi inasema hivyo,..., a grave mistake.
Kwa mfano, sauti yako unayotumia kuongea kila siku ulishawahi kuiona kwa kutumia your natural eyes? Kwa nini hujawahi kusema kwamba haipo? Au kwa nini maneno unayotamka huwa huyaoni ila huwa unayasikia tu hadi imebidi watu watumie utaalamu wa maandishi kuhifadhi maneno? Wewe unataka kila kitu kiwe tested na scientific instrument? How do you test things in a spritual world kwa kutumia scientific instrumenst? Before discovery ya sophisticated instruments ambazo zinaweza kumpima mtu na ku-confirm kama yuko usingizini na/au anaota (wewe unajua kabisa kwamba huwa unalala na unaota) ungeweza ku-argue kwamba watu huwa hawawi usingizini au hawaoti kwa sababu, by then hapakuwa na scientific instuments za kutest hiyo? Naona wewe hujasoma sayansi na wala huielewi unachemka chemka tu, tafuta mda nikupe tution at a very advanced level. Unatumia ujanja ujanja tu wa kukusanya habari kutoka kwenye vijarida na mitandao, na kukariri kichwani ili uje uvitumie katika kubishana na siyo kutoa hoja. You think huo ndiyo usomi. TAFUTA MUDA NIKUPE LECTURES NZURI SANA ZA SAYANSI, HASA PHYSICS, AT A VERY ADVANCED LEVEL. KALAGABAHO!
Kumbe unadanganya danganya kitoto tu.
Sina hakika kama hapa napo hujanidanganya, na hivyo sioni haja ya kuendelea kujibizana na mtu anayedanganya danganya.
Ushajiondolea credibility.