Mafuriko mwezi ujao (September 2012)

Elisha Ray

JF-Expert Member
Mar 19, 2012
323
94
Wakuu, I hope wote mko poa kabisa.

Nataka kuwashirikisha jambo. Kuna hali ya mafuriko makubwa yanayokuja kutokea Tanzania mwezi ujao. Kuna watu ambao Mungu amesema nasi ili tuombe toba kwa ajili ya nchi ili hali hii isitokee na hasa kama itatokea basi isilete madhara ambayo yanaweza kutokea kama hatutaomba Mungu atunusuru na maafa.

Nchi yetu 'imemezwa na chatu'. Hii maana yake ni kwamba nchi hii imetumbukia katika uchawi na kumwabudu shetani as nyoka ni shetani as well as uchawi/ushirikina. Watu waliopewa dhamana kwenye taifa hili iwe serikalini au katika kanisa wamesahau wajibu wao na badala yake wanamkumbatia shetani na kazi zake zote i.e uuaji na umwagaji wa damu zisizo na hatia, uchawi, wizi, uongo na pia ukahaba umekithiri, uaminifu umepungua sana, ufisadi, upagani, ibada za mizimu, kuabudu shetani na mambo mengine yote yafananayo na hayo na kumchukiza Mungu na amekasirika. Mambo yote haya tunayaona day in day out. Na watu wanafurahia watu waovu na uovu kuliko uadilifu na watu wanaotetea haki.

Mungu anaipenda sana Tanzania lakini anachukia uovu huu ndio maana ameonyesha nini kinakuja ili tuombe toba atusamehe na atunusuru na hali hiyo na kama bado itatokea basi isilete madhara makubwa au yasitokee kabisa.

Picha ya mafuriko yanayokuja yanaonyesha mvua kubwa sana ya kutisha na nusu ya Dar ikiwa imemezwa na maji ambayo yamechanganyika na maji ya bahari. Hii inaashiria gharika au kimbunga chenye mvua kubwa.

Kwa yeyote mwenye mzigo wa kuliombea Taifa hili tafadhali omba toba kwa ajili ya nchi yetu na ufunge kwa siku tatu kawaida na sio tatu kavu (utachagua mwenyewe siku za kufunga) ili Mungu atuepushie na balaa hili. Tafadhali mshirikishe na mwenzio.
Nimewashirikisha ili isije kula kwetu tuliopewa huu ujumbe kama tutakaa kimya bila kushirikisha wengine pia waombe.

Usichangie kwa kukashifu na kama huna mchango au huamini basi wewe pita tu na Mungu atakubariki.

Mathayo 18:18, 2 Nyakati 7:14, Isaya 62:6, 45:11
 
lol haya bwana naona kizazi cha joshua wa emmanuel tv kipo Tanzania pia
Mungu alishesema hataangamiza tena binadamu kwa gharika kama ilivokuwa wakati wa Nuhu
kama wewe umefunuliwa hivo basi yelekea Mungu alitoa ahadi ya uwongo pale alipotupa ishara ya Upinde wa mvua.Genesis 9:8 hadi 11.
kama mafuriko yatakuepo ni kwa vile sisi wenyewe tumeharibu mazingira au ni matetemeko ya kawaida hayahusiani na ghadhabu ya Mungu.
hata hivo sikatai kuwa tanzania imetumbukia katika uovu wa kutisha hata shetani mwenyewe anatushangaa
nakuunga mkono kuwa tusali daima kuomba msamaha na tuwe na toba ya kweli
ila tusiseme ni ghadhabu ya Mungu kwani ametupa uhuru wa kuchagua kumfuata yeye au kumfuata Ibilisi;
 
Hamna mungu wala shetani.

Kama idara ya hali ya hewa inaona mvua zinakuja na kukuarifu, na wewe unakaa mabondeni bado, wewe ndiye shetani wako mwenyewe.

Ukiheshimu mazingira na kuhama utakuwa mungu wako mwenyewe.

Kwingine kote tnasingizia tu kwa kukosa kujua.
 
Ndugu yangu tumia akili au kalale mchana kwani kwetu Bara ni Kiangazi kikali mwezi huo, halafu huko ulikoota wala hujafika na wala aliyefika hajarudi kuja tueleza kukoje. Nyie ndio mliosema mwisho wa Dunia ulikuwa uwe 21 May 2011
Mimi naomba tukutane Oktober 2012 Maanani atujalie tukuimbushane, kwani kuna Amri ya 10 nya MUNGU aliyompa MUSA iansema USIMSHUHUDIE JIRANI YAKO UONGO km huu ni kutishana Mvua ya Kiangazi
 
Inawezekana Mungu amesikia kilio chetu. Angemuangamiza kwanza baba riz ningekuwa na amani ya moyoni...
 
Mkuu mleta uzi huu nina maswali kadhaa kwako:
1. Ujumbe ulioupata uliletewa kwa njia ya ndoto,ishara,ujio wa malaika,sauti, maono au?
2. Baada ya kupata huo ujumbe ni nini ulichoambiwa kifanyike ili kuepuka na hiyo gharika.
3. Wakati wa Nuhu au Lutu, Mungu aliwatenga wana wake na kiama kilichokuwa kinawakabili, je katika huo ujumbe uliopewa waathirika watakuwa ni watu wote au? hakuna wateule wenye kutengwa?
4. Hiyo gharika itagharikisha Dar es Salaam tu au nchi nzima.

"Ikiwa watu wangu walioitwa kwa JINA langu watageuka na kutubu, nitaiponya nchi yao..."
 
Gosh!!, who will resque this land?, people still live in idealistic world while the world is in post-modern stage. Floods Tanzania in September!!!! real!!, are you crazy??!!!!
 
sasa mbona mtoa mada kasepa??? mh, hizo zitakuwa mvua za vuli au masika? SIOGOPI!
 
Hamna mungu wala shetani.

Kama idara ya hali ya hewa inaona mvua zinakuja na kukuarifu, na wewe unakaa mabondeni bado, wewe ndiye shetani wako mwenyewe.

Ukiheshimu mazingira na kuhama utakuwa mungu wako mwenyewe.

Kwingine kote tnasingizia tu kwa kukosa kujua.

ahahahahahaaaaaaaaaaa_chezea kiranga wewe!
 
Wakuu, I hope wote mko poa kabisa. Nataka kuwashirikisha jambo. Kuna hali ya mafuriko makubwa yanayokuja kutokea Tanzania mwezi ujao. Kuna watu ambao Mungu amesema nasi ili tuombe toba kwa ajili ya nchi ili hali hii isitokee na hasa kama itatokea basi isilete madhara ambayo yanaweza kutokea kama hatutaomba Mungu atunusuru na maafa.

Mungu hajawahi kusema na watu weusi!!!
 
Wakuu, I hope wote mko poa kabisa. Nataka kuwashirikisha jambo. Kuna hali ya mafuriko makubwa yanayokuja kutokea Tanzania mwezi ujao. Kuna watu ambao Mungu amesema nasi ili tuombe toba kwa ajili ya nchi ili hali hii isitokee na hasa kama itatokea basi isilete madhara ambayo yanaweza kutokea kama hatutaomba Mungu atunusuru na maafa.

Nchi yetu 'imemezwa na chatu'. Hii maana yake ni kwamba nchi hii imetumbukia katika uchawi na kumwabudu shetani as nyoka ni shetani as well as uchawi/ushirikina. Watu waliopewa dhamana kwenye taifa hili iwe serikalini au katika kanisa wamesahau wajibu wao na badala yake wanamkumbatia shetani na kazi zake zote i.e uuaji na umwagaji wa damu zisizo na hatia, uchawi, wizi, uongo na pia ukahaba umekithiri, uaminifu umepungua sana, ufisadi, upagani, ibada za mizimu, kuabudu shetani na mambo mengine yote yafananayo na hayo na kumchukiza Mungu na amekasirika. Mambo yote haya tunayaona day in day out. Na watu wanafurahia watu waovu na uovu kuliko uadilifu na watu wanaotetea haki.

Mungu anaipenda sana Tanzania lakini anachukia uovu huu ndio maana ameonyesha nini kinakuja ili tuombe toba atusamehe na atunusuru na hali hiyo na kama bado itatokea basi isilete madhara makubwa au yasitokee kabisa.

Picha ya mafuriko yanayokuja yanaonyesha mvua kubwa sana ya kutisha na nusu ya Dar ikiwa imemezwa na maji ambayo yamechanganyika na maji ya bahari. Hii inaashiria gharika au kimbunga chenye mvua kubwa.

Kwa yeyote mwenye mzigo wa kuliombea Taifa hili tafadhali omba toba kwa ajili ya nchi yetu na ufunge kwa siku tatu kawaida na sio tatu kavu (utachagua mwenyewe siku za kufunga) ili Mungu atuepushie na balaa hili. Tafadhali mshirikishe na mwenzio.
Nimewashirikisha ili isije kula kwetu tuliopewa huu ujumbe kama tutakaa kimya bila kushirikisha wengine pia waombe.

Usichangie kwa kukashifu na kama huna mchango au huamini basi wewe pita tu na Mungu atakubariki.
Mathayo 18:18, 2 Nyakati 7:14, Isaya 62:6, 45:11

Mungu yupi..wa_waisrael ama wa_waarabu,...maake hao ndio tunajipendekeza kwao.

Anyway'miafrika ndio tulivyo'...by Nyani Ngabu..a jf member
 
Mtoa mada ni mfuasi wa kakobe nini? Mbona kala kona kama kakobe katachia tukilumbana tu!
 
We ni Wakala wa Mamlaka ya hali ya hewa?.....au ndo life ishakupiga unata kuanza uzushi...?
 
Back
Top Bottom