Mafuriko mwezi ujao (September 2012)

Mafuriko mwezi ujao (September 2012)

Wakuu, I hope wote mko poa kabisa. Nataka kuwashirikisha jambo. Kuna hali ya mafuriko makubwa yanayokuja kutokea Tanzania mwezi ujao. Kuna watu ambao Mungu amesema nasi ili tuombe toba kwa ajili ya nchi ili hali hii isitokee na hasa kama itatokea basi isilete madhara ambayo yanaweza kutokea kama hatutaomba Mungu atunusuru na maafa.

Nchi yetu 'imemezwa na chatu'. Hii maana yake ni kwamba nchi hii imetumbukia katika uchawi na kumwabudu shetani as nyoka ni shetani as well as uchawi/ushirikina. Watu waliopewa dhamana kwenye taifa hili iwe serikalini au katika kanisa wamesahau wajibu wao na badala yake wanamkumbatia shetani na kazi zake zote i.e uuaji na umwagaji wa damu zisizo na hatia, uchawi, wizi, uongo na pia ukahaba umekithiri, uaminifu umepungua sana, ufisadi, upagani, ibada za mizimu, kuabudu shetani na mambo mengine yote yafananayo na hayo na kumchukiza Mungu na amekasirika. Mambo yote haya tunayaona day in day out. Na watu wanafurahia watu waovu na uovu kuliko uadilifu na watu wanaotetea haki.

Mungu anaipenda sana Tanzania lakini anachukia uovu huu ndio maana ameonyesha nini kinakuja ili tuombe toba atusamehe na atunusuru na hali hiyo na kama bado itatokea basi isilete madhara makubwa au yasitokee kabisa.

Picha ya mafuriko yanayokuja yanaonyesha mvua kubwa sana ya kutisha na nusu ya Dar ikiwa imemezwa na maji ambayo yamechanganyika na maji ya bahari. Hii inaashiria gharika au kimbunga chenye mvua kubwa.

Kwa yeyote mwenye mzigo wa kuliombea Taifa hili tafadhali omba toba kwa ajili ya nchi yetu na ufunge kwa siku tatu kawaida na sio tatu kavu (utachagua mwenyewe siku za kufunga) ili Mungu atuepushie na balaa hili. Tafadhali mshirikishe na mwenzio.
Nimewashirikisha ili isije kula kwetu tuliopewa huu ujumbe kama tutakaa kimya bila kushirikisha wengine pia waombe.

Usichangie kwa kukashifu na kama huna mchango au huamini basi wewe pita tu na Mungu atakubariki.
Mathayo 18:18, 2 Nyakati 7:14, Isaya 62:6, 45:11

Kumbe JF ina Nabii wake !
 
Kama mungu ni roho na uwezo wake uko mbali hivyo na uwezo wa binadamu unaotegemea milango mitano ya fahamu, wewe umemjuaje?

Tumwaminie ametujalia roho wa kutambua yale ambayo binadam walio gizan kama wewe hawayawezi,si kwa kuwa hawajapewa uwezo huo lah hasha bali ni kwa kuwa wamejikweza kupita kiasi wakisema wao ni wao katika yote mungu hayupo. Kuamini kwako kuwa mungu hayuko si issue,kwani binadam ano uhuru wakuamini apendavyo,tatizo linakuja pale unapotaka wote tuwaze na tuenende sawa na 'maono' yako mwenyewe huku ukituona kama tu wajinga kwa kuujua ukweli ambao wewe huujui...
 
Tumwaminie ametujalia roho wa kutambua yale ambayo binadam walio gizan kama wewe hawayawezi,si kwa kuwa hawajapewa uwezo huo lah hasha bali ni kwa kuwa wamejikweza kupita kiasi wakisema wao ni wao katika yote mungu hayupo. Kuamini kwako kuwa mungu hayuko si issue,kwani binadam ano uhuru wakuamini apendavyo,tatizo linakuja pale unapotaka wote tuwaze na tuenende sawa na 'maono' yako mwenyewe huku ukituona kama tu wajinga kwa kuujua ukweli ambao wewe huujui...

Sijataka yeyote aende kwa maono yangu.

Nime challenge waamini wanaosema kwamba imani yao ndiyo ya ukweli.

Quite the opposite. Waumini ndo wanataka wote waende kwa imani yao. Wasioamini wana challenge tu.

Ndio maana huwezi kukuta kanisa wala msikiti wa wasioamini on a par with makanisa/misikiti ya waumini.

Get it?
 
quote_icon.png
By Safari_ni_Safari
Mungu hajawahi kusema na watu weusi!!!


Sasa kama yeye ana uwezo wote na hataki kusema na watu weusi, kwa nini watu weusi watake kusema naye?

Na kwa nini mungu mwenye uwezo wote na upendo wote achague, aseme na watu hawa na hawa asiseme nao?

ubishi mwingine wa kijinga kwa mtu mwenye hekima na busara, kasome biblia kuhusu uumbaji wake,kama tumeumbwa kwa sura na mfano wake atashindwaje kusema na watu weusi? Na je binadamu wa kwanza alikuwa mweusi,mweupe au?je unaweza kubishana na mjapani kuwa toyota ya kwanza haikuwa hivi ilikuwa vile? Chukua tahadhari unapobishania kuhusu uumbaye wa aliye mkuu wa wakuu au kama mungu wako ni mganga ni sawa
 
ubishi mwingine wa kijinga kwa mtu mwenye hekima na busara, kasome biblia kuhusu uumbaji wake,kama tumeumbwa kwa sura na mfano wake atashindwaje kusema na watu weusi? Na je binadamu wa kwanza alikuwa mweusi,mweupe au?je unaweza kubishana na mjapani kuwa toyota ya kwanza haikuwa hivi ilikuwa vile? Chukua tahadhari unapobishania kuhusu uumbaye wa aliye mkuu wa wakuu au kama mungu wako ni mganga ni sawa

Mimi siamini kwamba mungu yupo. Sijapata ushahidi wa kuniaminisha kwamba mungu yupo.

Wewe unaniambia, ili kuamini nikasome biblia, kitabu ambacho mungu kakiakndika.

Several problems with this line of thinking.

1. Inabidi uniaminishe kwamba mungu yupo kwanza, kabla ya kutaka nisome kitabu chake kwa mtazamo wa kusoma kitabu cha mungu.

2.Halafu una assume tu kwamba sijasoma biblia. This is wrong. Biblia nimeisoma kuanzia Mwanzo mpaka Ufunuo, halafu nikaisoma kinyumenyume kutoka Ufunuo mpaka Mwanzo, by age 11!

Hizo habari rejareja za binadamu wa kwanza kuwa mweusi au mweupe hazijibu swala la kuwapo kwa mungu.

Halafu concept nzima ya "binadamu wa kwanza" ina betray lack of knowledge of science.
 
huyu jamma anatuletea habari za enzi za Mchonga meno kwa kuwa alikuwa na tv peke yake pale ikulu akiona jambo anakuja kuhutubia Taifa tunamuona bonge la Mwalimu.

vyombo vya hali ya hewa vinasema kutakuwa na mvua nyingi mtu anaibuka kutuambia kuwa ameoteshwa hu si uhuni jamani
 
ubishi mwingine wa kijinga kwa mtu mwenye hekima na busara, kasome biblia kuhusu uumbaji wake,kama tumeumbwa kwa sura na mfano wake atashindwaje kusema na watu weusi? Na je binadamu wa kwanza alikuwa mweusi,mweupe au?je unaweza kubishana na mjapani kuwa toyota ya kwanza haikuwa hivi ilikuwa vile? Chukua tahadhari unapobishania kuhusu uumbaye wa aliye mkuu wa wakuu au kama mungu wako ni mganga ni sawa

......eti tumeumbwa kwa mfano wake, hivyo hata Wassira anafanana nae ? Ungekuwa karibu yangu ..........!
 
......eti tumeumbwa kwa mfano wake, hivyo hata Wassira anafanana nae ? Ungekuwa karibu yangu ..........!

By the way, hiyo quote inaonekana ya Kiranga kwa sababu kuna muumini mmoja inabidi ajifunze ku-quote.

"Tumeumbwa kwa mfano wake" inalenga kuwaweka binadamu katika minyororo siku zote.

Mie siikubali.
 
Namuomba Mungu haya machafuko yaanze na mshirikina namba 1 baba mwana..... wa pale feri, Mungu atakuwa ametupunguzi udhia na kichefuchefu cha kuongozwa na wagonjwa wa mwili mpaka akili....
 
Ooh vizuri!

Nilidhani labda wewe hakuna hata moja unaloamini. Kumbe lipo!!

Hakuna asiyeamini hata moja, huyo atakuwa anajidanganya.

Usipoamini hata moja huwezi kutoka kitandani asubuhi. In fact huwezi hata kukilalia kitanda.
 
Hakuna asiyeamini hata moja, huyo atakuwa anajidanganya.

Usipoamini hata moja huwezi kutoka kitandani asubuhi. In fact huwezi hata kukilalia kitanda.

Hmm....imani na kitanda vinahusianaje?
 
Mimi siamini kwamba mungu yupo. Sijapata ushahidi wa kuniaminisha kwamba mungu yupo.

Wewe unaniambia, ili kuamini nikasome biblia, kitabu ambacho mungu kakiakndika.

Several problems with this line of thinking.

1. Inabidi uniaminishe kwamba mungu yupo kwanza, kabla ya kutaka nisome kitabu chake kwa mtazamo wa kusoma kitabu cha mungu.

2.Halafu una assume tu kwamba sijasoma biblia. This is wrong. Biblia nimeisoma kuanzia Mwanzo mpaka Ufunuo, halafu nikaisoma kinyumenyume kutoka Ufunuo mpaka Mwanzo, by age 11!

Hizo habari rejareja za binadamu wa kwanza kuwa mweusi au mweupe hazijibu swala la kuwapo kwa mungu.

Halafu concept nzima ya "binadamu wa kwanza" ina betray lack of knowledge of science.

kiranga
kama uliisoma kuanzia mwanzo to ufunuo halafu ukarudi kinyumenyume toka ufunuo hadi mwanzo ili uelewe zaidi au?and at that age ya miaka 11 ulikuwa na uelewa na ulichokuwa unasoma kwa tafakuri ya kina?
kama uliisoma katika hiyo age ya miaka 11 no wonder hukuielewa nashauri usome tena sasa ukiwa na akili nzuri iliyojaa mambo mengi yatakayokusaidia kutafakari vzr.
 
Back
Top Bottom