TUNTEMEKE
Platinum Member
- Jun 15, 2009
- 4,587
- 580
Labda tu ningependa kutowa mchangu wangu wa mwisho kwenye thread hii kama ifuatavyo;
Mimi Matola si mwanachama wa Chadema na bado wala sijafikiria kuwa mwanachama, but/lakini Chadema is my life, kuna kitu kimoja ambacho nimekuja kukigunduwa sasa hivi kumbe ni heri ya Vijana wa UVCCM kuliko hili dubwasha linaloitwa Bavicha.
CHADEMA = Chaga Development Manifesto.
My take: kama unakubalian na hilo swali hapo juu je unasubili nini Chadema? je hamjui kwamba kuna chama cha Wakulima na Wafanyakazi?
Edwin Mtei ni mchaga na ndio muhasisi wa Chadema je ni watu gani wa kwanza waliopaswa kumpa mshikamano wa nguvu kufanikisha malengo yake ya kuianzisha Chadema? je mnafahamu vizuri chama kisichokuwa na lolote hakina ofisi wala ruzuku kukisimamia mpaka kilipofikia leo mtu anatumia pesa zake ngapi za mfukoni kwa mapenzi ya kile alichokiasisi!? inakuwaje leo mmevimbiwa mnaanza kuja kujamba jamba hapa na kuwavunjia watu heshima?
Hongera kwa James Mbatia:
Mwanzo sikumuelewa James Mbatia alivyomshughurikia kikamilifu huyu swahiba wa Zitto Kafulira, nilidhani Mbatia ni Dikteta kumbe Mbatia anaona mbali zaidi yangu na anajuwa fika kansa ikiwa mguuni dawa ni kukata mguu na ndivyo ilivyotokea.
Lakini cha kushangaza Zitto Kabwe mwanachama wa Chadema akaguswa na kukosoa maamuzi ya chama kingine kisichomuhusu kisa mapinduzi halamu aliyoyapanga yeye na Kafurila kumpinduwa Mbatia yalishindwa.
Sasa ningependa kutowa wito simple & clear kama Chadema ni chama cha wachaga walk out waacheni wachaga na chama chao kwa amani na kamwe nguvu ya Chadema wala si wanachama wake bali ni Umma tumeamuwa kuwa nyuma yao. Yatosha sasa wengine mgeukie kupromote Bongo fleva that is good ideal.
Bavicha ni vinyago vya mbowe vp nasikia katibu wa bavicha taifa ni mtoto wa mbowe.naona mumemuweza kumpangishia mwenyekiti wa bavicha taifa bango la nyumba pale mabibo na mshahara juu watumieni haohao waganga njaa.