Zaha na
mwavuli mnasikitisha sana.Yani mnatia huruma kishenzi.Mimi wala sina kadi ya chadema.Kama mmeshikwa pabaya humo kwenye chama chenu,basi mnakuja kota matusi humu,ndipo mnasikitisha kweli kweli.Hakuna kitakachowasaidia kwenye harakati hizi za matusi,mtajikuta mnakosa vyote,yani madaraka mnayoyalilia kwa nguvu zote pamoja kufa kisiasa moja kwa moja.Nyie mnadhani hamfahamiki na viongozi wenzenu?Wanafahamu fika,msidhani hamjulikani kwasababu ya kivuli cha jina feki humu!Na kwa taarifa yenu,hamumsaidii Zitto wala hammzisaidii juhudi zenu zozote zile,badala yake mnaonekana kama mamluki ambao ni desparate tu.Poor you.Miye nawaachia na matusi yenu maana ni wazi watanzania walio wengi wana imani na chadema.
Kama mmmekichukia chama kiasi hiki,ondokeni,mnasubiri nini?Si cha wachagga?fungueni na nyie vyama vya makabila yenu tuone nani atajiunga navyo.
Wenzenu wanajenga chama nyie mnasubiri kipate umaarufu ndo mdandie kwa ku blackmail watu,eti mara dini,mara kabila,eti ili mupewe madaraka.CDM wakifanya huo ujinga ndo watakuwa wamekosea.Nyie ni sumu mbaya dhidi ya ukombozi.
Kama hamkubaliani na chama,ondokeni.Anzisheni thread ya kumwambia Zitto aondoke kwasababu ni chama cha wachagga na wakristo,shida ikwapi?Mnajidhalilisha utu wenu na kuonyesha mlivyo na fikra finyu.Halafu eti ndo mmpewe uongozi,na nani?mnachekesha kweli.Hiki chama hata kingekuwa cha wangoni,madaraka watu kama nyie wasingewapa.