Mafukara milioni 30, Mabilionea 30

Mafukara milioni 30, Mabilionea 30

Vipi kuhusu ile gari aliyokabidhiwa mbowe ya kiongizi wa kambi ya upinzani bungenu(kub)nikumbushe ilikuwaje akairudisha kwa madai kwamba ni matumizi mabaya ya fedha za umma ,
Mala tukasikia kaenda kuichukua tena baada yakubadilishiwa na kupewa mpya.kumbe tatizo halikuwa matumizi mabaya bali ni uchakavu wake!hahaahaaa siasa bwana!

Kwanini wampe bovu?Ujumbe alifikisha hata kama protocol ilikuwa ni kwamba atumie gari ya office bado jukumu la kutokubalina na hiyo hali alilifanya.By the way mjue mbowe hakuwa njaa kali kihivyo so huko kuheuka na kushobokea vitu si utamaduni wake.Labda uje thibitisha hilo kuwa tatizo lilikuwa upya au ubovu wa gari.
 
Mwambie nae makengeza mbowe nae aweke makala yake kwenye gazeti lake la tanzania daima kama anauwezo huo.Nazani makala itahusu uuzazi wa miili ya dada zetu billcanas.

Pamoja na kuwa umekosa adabu sana labda nikuambie tuu kama ulidhani unataka msimamisha Zitto kwa appearance utakuwa umekosea sana.Nadhani ndi maeneo ambayo yatamfanya awe obsessed na watu wengi sana.Kwa ujumla hana hiyo quality.

Pa ujue tayari mmeshavuka mipaka mingi sana ya kibaguzi, mna ukabila,ukanda, udini na sasa mmeanza amia ktk maumbile ya watu.Sijui angekuwa hana miguu ingeuweje?

Bado kwa jinsi mmeamua ingia jumla katika hizi kampeni chafu, na mhusika nae kakiri maendeo kadhaa kwa mambo yahusuyo haya myasemayo,ni wazi kuna baraka zake.Labda tuu niwambie Zitto kwa background yake watu wenye akili walishaondoa matumaini ya kupata mtu hapo tena.Kijana yupo obsessed sana na vitu vingi kiu yake haiyomalizwa na chochote.Finally ataishia kuwa extremist.Na kama mpo this desperate hadi kuamia katika sura.Niseme tuu kwa moyo mweupe Zitto hana sura nzuri n akitamuuma for life, hata miwli wa kiume,na hiyo sifa hatokaa aipate kwa mwananke yeyote ktk ya hao anaokimbizana nao ili ajipe ujasiri kuwa ni mwanamume,na takayemwambia hivyo yeye mwenyewe atajua kuwa vi kuchorwa tuu.Ataishia wachukia wote waliomzimi kwa hilo.

BIllicanas ni Night club nyie wapuuzi, mbona msiwaulize wenye guest house na madangguro ya fasta fasta,mbona msiwaulize akina Komba, akina mudhihiri, asha baraka wa kigoma kama nyinyi, na wengine wenye band wanacheza uchi mitumbo ipo nje?mtakuw ana bouble standards hadi lini?Kweli mwenye laana ni laana tuu.Kama Zitto anabariki huu ujinga mwisho wa siku itabidi ajitume katika jiwe kwa disperations ila si ku derail njia watanzania walioichukua.
 
5+copy.jpg
4+copy.jpg

Poor boy...nashukuru kwa kuleta hizi pics....these pics tell much about whats going on this poor boy`s mind.Ningeweza mwona Wema kabla ya hii siku ningemwomba akipige sach na kukiamuru kiandike blank Cheque.Kujipima na wanaume wa kweli shida.Mwanaume gani unakuwa kama kasungura kwa demu?Kujipima na vilivyowazidi.Wanume dhaifu hujiongezea shida kijinga sana.Sasa alidhani analipa walichofanya wengine, sasa huu ufupi,hiyo sura kama analilia, kimwili dhaifu hivi kwanini mwisho wa siku asitoke na hasira badala ya furaha..?Next day akisikia kaingia asiye na hela,wala cheo, wala umaarufu alikuwa na naight nzui zaidi au demu anamtaja live ktk majambozii.Si ndio hizi shida tunapata ktk harakati...iam telling you live this poor boy is deep trouble psychologically.
 
Mbowe alirudisha gari la kambi rasmi ya upinzani KUB na kisha akachukua kimyakimya.

Achukue kimya kimya ili akaliendeshe wapi?Masikini wa fikra hawakosi maelezo ya kujidanganya.
 
Mwambie na huyo mmachame mwenzako nae aweke makala yake! acha wivu wa hovyo.

We una hakika gani kuwa mimi ni m-machame?Mi nimuonee wivu huyo alikutuma kwa lipi zaidi ya kinyaa.Wivu mkaambiane huko palipo gizani.HIzi ni defense za watu duni katk tamaduni duni.
 
Mkuu hili Jeshi limeandaliwa kwa muda mrefu zzk hakuwa honeymoon alikuwa field na sasa kaingia kwenye battle field ni siasa m'bovu sana decide them and rule them Dah ccm naichukia kuliko shida




Pamoja na kuwa umekosa adabu sana labda nikuambie tuu kama ulidhani unataka msimamisha Zitto kwa appearance utakuwa umekosea sana.Nadhani ndi maeneo ambayo yatamfanya awe obsessed na watu wengi sana.Kwa ujumla hana hiyo quality.

Pa ujue tayari mmeshavuka mipaka mingi sana ya kibaguzi, mna ukabila,ukanda, udini na sasa mmeanza amia ktk maumbile ya watu.Sijui angekuwa hana miguu ingeuweje?

Bado kwa jinsi mmeamua ingia jumla katika hizi kampeni chafu, na mhusika nae kakiri maendeo kadhaa kwa mambo yahusuyo haya myasemayo,ni wazi kuna baraka zake.Labda tuu niwambie Zitto kwa background yake watu wenye akili walishaondoa matumaini ya kupata mtu hapo tena.Kijana yupo obsessed sana na vitu vingi kiu yake haiyomalizwa na chochote.Finally ataishia kuwa extremist.Na kama mpo this desperate hadi kuamia katika sura.Niseme tuu kwa moyo mweupe Zitto hana sura nzuri n akitamuuma for life, hata miwli wa kiume,na hiyo sifa hatokaa aipate kwa mwananke yeyote ktk ya hao anaokimbizana nao ili ajipe ujasiri kuwa ni mwanamume,na takayemwambia hivyo yeye mwenyewe atajua kuwa vi kuchorwa tuu.Ataishia wachukia wote waliomzimi kwa hilo.

BIllicanas ni Night club nyie wapuuzi, mbona msiwaulize wenye guest house na madangguro ya fasta fasta,mbona msiwaulize akina Komba, akina mudhihiri, asha baraka wa kigoma kama nyinyi, na wengine wenye band wanacheza uchi mitumbo ipo nje?mtakuw ana bouble standards hadi lini?Kweli mwenye laana ni laana tuu.Kama Zitto anabariki huu ujinga mwisho wa siku itabidi ajitume katika jiwe kwa disperations ila si ku derail njia watanzania walioichukua.
 
Ulikuwa wapi ndugu yangu maana naona ant zitto wamekukurupusha toka mafichoni ulikokuwa umejificha uje uwasaidie huku kujenga hoja dhaifu.msiwe wepesi wakusahau mambo,2009 mlimwambia zitto kwamba amwachie mbowe amalizie kipindi kimoja kwanza
Baada ya hapo mkaanza kumchafua kwamba ni fisadi na anatumiwa na ccm ili kumtengenezea mazingira magumu 2013 .tumeisha shtukia mchezo wenu .
Sasa ni mwendo mdundo tu ,na sasa sio uenyekiti tena maana ashapita hiyo level hivyo hata asipogombea tena wala sitashangaa.
Sasa hivi focus ni presidential position tu.

mimi nipo...naangalia jinsi mnajichafua.Unaniwekaji katk hilo kundi lililomwambia Zitto hivyo?Ningekuwa mimi ningemchoa live?ningevunja misingi ya democrasia bila ubishi kuondoa uozo wa fikra...Ni bora kuvunja democrasia kumwondoa mtu anaye abuse democrasia.Nani amchafue Zitto zaidi ya ajicahfuavyo?Umemowona katika picture alivyokuwa anamtolea Wema macho kama mtoto wa somalia kaonyeshwa roast wakati yeye hata mbichi ni taabu.He was a long way kuweza zoea maisha wenye pesa.Ndio sasa naanza waamini watu wasemao kuwa "haijalishi masikini kapa hela kiasi gani kupita matajiri katk club yao,its not worth it kupewa membership kwa hilo" CDM walikosea sana mwendekeza wakidhani kijana karidhika na mambo ya msingi n ahivyo angekuwa sasa anakimbizana na ukombozi.Iam sure mimi ningemchoa live akimbilie huko apendapo.Kwa upuuzi hata ktk list ya mademu aliotembea nao sijui kama atapa hata robo yake walio tyari kuzaa naye.

Presidential kwa ticket ya nani?Aende NCCR kwa Kafulila,CDM wakimpitisha huyu kimeo , next year naanzisha chama changu au nakuwa gamba kama magaba watakuwepo.
 
Ze pumbaaaz!

utasema hivyo sana.Ila sibadili kauli ..Kijana ana shida ya Esteem...hata CCM wenyewe na udhaifu wao hakuna mtu anawekeza kupambana na seniors wao achilia mbali waasisi.Kupotea kwa waasis wengine hakumaanishi waliopo ndio wafanyiwe mzaha hivyo.

Si mkaanzishe chenu cha kigoma..nilidhani nyie mngekuwa mmesataarabika kuliko wenzenu waliokuwa hawajui waliposimamia kitaifa,kumbe nyie ndio mmepata elimu ili mzidi kupotoka.How come kila muendapo mnawafuata wachaga?Akili zenu haizjazidi masikio.Wachaga wananunua kule mlipo zaliwa bado mnadhani mtawafuata hata panaporuhusiwa wengine?
 
Mkuu hili Jeshi limeandaliwa kwa muda mrefu zzk hakuwa honeymoon alikuwa field na sasa kaingia kwenye battle field ni siasa m'bovu sana decide them and rule them Dah ccm naichukia kuliko shida

Naona..napata huruma sana kwake na kwa CDM.Kwanini hawakuona huu ni uchafu walipaswa kuusafisha haraka bila shida.Mimi ni muumini mzuri wa democrasia ila ningekuwepo ktk chama kitaifa wala singekuw ana haja ya kumwacha ajinyonge mwenyewe.We love our dogs very much much but when they become rabid there is no way than loading our guns.

Kwani yeye ni nani?mwanzilishi wa chama?mtoto pekee?tunao akina Mnyika, sugu na wengine ambao bado ni assets ktk chama.Aende akakamilishe penzi lake kwa aliyekuo anamtolea madenda.Sidhani kama ni lazima CDM itafute uawakilishi wa makundi yote kwa kuchukua uchafu, kwani itakuwa ni kudhalilisha hayo makundi.

Zitto alinitia kichefuchefu alipodai bungeni kuwa waziri hajawataja wana kigoma na idadi yao katk timu ya watoto iliyofanya vizuri katk mashindano.NIliimpuuza sana,kabla ya kumalizia kwa kujipa sifa kuwa nazo sifa za kuwa Amir Jeshi mkuu wa nchi.Hapakuwa na sababu ya kuliongea hilo tena wakati akitakiwa kukaa.The boy is too naive,with very low self esteem, and very much obsessed na wachaga kama Hitler na Jews.Wachaga wali dare kwenda kigoma kufanya biashara enzi hizo hata wafanyakazi wa serikali wakiwa bora kuacha kazi kuliko kwenda huko, bado badala awashukuru kwa hilo kaishia geuza kuwa chuki.

Its not the first time naona watoto masikini wakipata wanageuza mafanikio yao kuwa chuki kwa wale waliowazidi long time hata kama waliwasaidia sana.Hata niliowalea mimi nimewakuta hivyo.Sishngai kwa zzk il anasikitika kwanini kashindwa grab hii nafasi.Hakuna tena mahali atapata aminika hata kwa wale alidhani kuwa ni wake.

Mtei na wazee wengine walikuwa sahihi, kumweka jasiri mbowe,ZZK ataenda ongelea uchafu nje ya macho yake.Hata wafanya biashara makini hu wa hawafunulii milango kila kitu kiingie,kwani kuna uchafu mwingine mauzo ya siku moja watataka mgao, wakati mambo muhimu hayajafanyika, sasa wanataka mgao wa madaraka kwa njia yoyote.Imagine angekuwa muasisi leo ingekuweje?

Nimespendi more than 8 yrs Tz sijapata kijana yoyte wa kuanzisha business naye kwani wote walikuwa wamekaa kimavuno zaidi ya kukaza mikanda na kupambana ili kujenga a powerful brand.I know how this poor bor is real poor.
 
Nimejitahidi kutafuta ni wapi mada kuu imeishia, nimeshindwa kabisa...omg!
 
Ukiona wachaga wameungana ujue kuna maslahi hapo.vp jmushi naona tunamkatisha ulaji boss wetu na mwakani ndo mwisho wenu maana tutafanya operation ondoa wachaga ndani ya chadema maana tumechoka na ubinafsi wetu ndani ya chadema.
Mbowe aliweka vitu right kabisa...kwa Bob kama alivyoweka kwa waanzilishi wengine.Bob alijitolea kwa hali na mali.Sidhani kama CDM ilikuwa na hela hivyo na huyo mumtakaye alikuwa na huo uwezo wa kuchangia kihivyo?Kizuri ni kwamba mnaojibizana nao michango yao ni mikubwa kuliko na kuwepo na nguvu kilicho nacho ni ushahidi kuwa wamefanya kazi kupita vipingamizi vyote.HIzi tabia muonyeshazo hapa zinajengea watu picture kuwa kuna baadhi ya makundi hayana faina ktk mwendo wa harakati positive.Zinajenga picture kuna mkundi ya watu yanahitaji kuja pewa mavuno tuu kama huruma,kwani kipindi cha kupanda na kupalilia wakiwepo hupunguza mazao kama si kuua kabisa.Mna nafasi ya kubadili hii taswira na si kuipandikiza.
 
Your talking about m4c?movement for chaggaz?vipi zile hela za m4c alizokimbia nazo lema(kibororoni)ooh my God !kwani zitto ni mchagga mpaka ashiriki?haujajiuliza tu kwanini makamu mwenyekiti bara mh arfi haonekani m4c?mwenyeji wa nyanda za juu kusini mkoa wa rukwa.
kusoma hujui hata picha tu hujaiona bado?
Kwanini nafasi ya kiutendaji na uenyekiti wamejipa wakaskazini pekee?hujaona tu?
na mbona hamumzungumziagi arfi?kwamba ni mamluki kwakuwa hashiriki m4c?zitto na arfi nani ana nafasi ya juu zaidi?hata picha huoni tu?
Hahahaa!au kwakuwa arfi hajaonyesha interest yoyote yakiuongozi?hajagusa maslahi yenu yakikanda?
Zitto kweli amewaweza.
Poleni sana mwarobaini mchungu lakini unaponyesha.

kama kafikia hapa basi anasubiri stage ya kushangaza..au role model wenu ni Sepetu?Mna role model wengi.
 
Ni wapumbavu tuu ndio waingiapo sehemu ahadi zao za kwanza ni wengine waondoke na si wao wafikie malengo ya kuleta mafanikio.Kwanza nyie ndio wakabila na wadeni kupindukia, sijawahi sikia mchaga akisema anaenda watoa kabila ingine.Yeye huweka nadhiri kuwa naenda tafuta maisha.Luckily wanamake it.Taratibu napata fahamu kwanini wanafanikiwa miongoni mwa hostile group of people.

Sasa wachaga wameamua kutafuta kwa kuwalaghai watanzania.
 
Kama mwenyezi Mungu kapanga hamna ujanja.Kwani huu upuuzi wa kupambana na mtu haukuanza kwenu ,ulianza kwa wazazi wenu.Kwani wameawaachia nini katk maisha.Pengine ni uchawi na huu ujinga.

Mungu ni mkubwa sana ndio maana akatuonyesha watanzania kwamba haka kazee ni kapika majungu,fitna na ni kadikteta pia hakana maadili ndio maana kakapigwa chini na sasa mungu kaamua kukafilisi akili na mwili.
2015 babubaba akigombea ataumbuka vibaya.
Ninamwita babubaba maana junior mwanae huwa anamwita baba muda mwingine babu maana mzee haeleweki kama ni baba au babu yaani umri wa miaka65 ndio anatafuta watoto yaani mzee amechelewa mpaka mambo yetu yale!
 
Pamoja na kuwa umekosa adabu sana labda nikuambie tuu kama ulidhani unataka msimamisha Zitto kwa appearance utakuwa umekosea sana.Nadhani ndi maeneo ambayo yatamfanya awe obsessed na watu wengi sana.Kwa ujumla hana hiyo quality.

Pa ujue tayari mmeshavuka mipaka mingi sana ya kibaguzi, mna ukabila,ukanda, udini na sasa mmeanza amia ktk maumbile ya watu.Sijui angekuwa hana miguu ingeuweje?

Bado kwa jinsi mmeamua ingia jumla katika hizi kampeni chafu, na mhusika nae kakiri maendeo kadhaa kwa mambo yahusuyo haya myasemayo,ni wazi kuna baraka zake.Labda tuu niwambie Zitto kwa background yake watu wenye akili walishaondoa matumaini ya kupata mtu hapo tena.Kijana yupo obsessed sana na vitu vingi kiu yake haiyomalizwa na chochote.Finally ataishia kuwa extremist.Na kama mpo this desperate hadi kuamia katika sura.Niseme tuu kwa moyo mweupe Zitto hana sura nzuri n akitamuuma for life, hata miwli wa kiume,na hiyo sifa hatokaa aipate kwa mwananke yeyote ktk ya hao anaokimbizana nao ili ajipe ujasiri kuwa ni mwanamume,na takayemwambia hivyo yeye mwenyewe atajua kuwa vi kuchorwa tuu.Ataishia wachukia wote waliomzimi kwa hilo.

BIllicanas ni Night club nyie wapuuzi, mbona msiwaulize wenye guest house na madangguro ya fasta fasta,mbona msiwaulize akina Komba, akina mudhihiri, asha baraka wa kigoma kama nyinyi, na wengine wenye band wanacheza uchi mitumbo ipo nje?mtakuw ana bouble standards hadi lini?Kweli mwenye laana ni laana tuu.Kama Zitto anabariki huu ujinga mwisho wa siku itabidi ajitume katika jiwe kwa disperations ila si ku derail njia watanzania walioichukua.

Ukiona babu anatafuta dogodogo ujue kalaamiwa ndio maana kakimbia familia na akaenda kufuata katerero.
 
Poor boy...nashukuru kwa kuleta hizi pics....these pics tell much about whats going on this poor boy`s mind.Ningeweza mwona Wema kabla ya hii siku ningemwomba akipige sach na kukiamuru kiandike blank Cheque.Kujipima na wanaume wa kweli shida.Mwanaume gani unakuwa kama kasungura kwa demu?Kujipima na vilivyowazidi.Wanume dhaifu hujiongezea shida kijinga sana.Sasa alidhani analipa walichofanya wengine, sasa huu ufupi,hiyo sura kama analilia, kimwili dhaifu hivi kwanini mwisho wa siku asitoke na hasira badala ya furaha..?Next day akisikia kaingia asiye na hela,wala cheo, wala umaarufu alikuwa na naight nzui zaidi au demu anamtaja live ktk majambozii.Si ndio hizi shida tunapata ktk harakati...iam telling you live this poor boy is deep trouble psychologically.

Ni bora wema sepetu mwigizaji kuliko josephine mshumbusi demu wa saloon mzee alifanyiwa massage mpaka akaoa!madem wa saloon ni noma wakamscrub mzee katoka kachanganyikiwa kabisa yaani mapenzi ya uzeeni noma kwelikweli.
 
We una hakika gani kuwa mimi ni m-machame?Mi nimuonee wivu huyo alikutuma kwa lipi zaidi ya kinyaa.Wivu mkaambiane huko palipo gizani.HIzi ni defense za watu duni katk tamaduni duni.

Hakuna mwanachadema asiekuwa mchaga anaeweza kutetea ujinga unaofanywa na mbowe akishilikiana na wakurugenzi wenzake wa kichaga pale mako makuu.
 
Sasa wachaga wameamua kutafuta kwa kuwalaghai watanzania.

Acha ujinga wewe..kwani wachaga wametoka Mass na si watanzania?Mnawaabudu wachaga..si ajabu mkawaita ndio watoa roho wenu ..mkawaita "mchaga mtoa roho".hadi hapo inaonyesha jisni mkiwasikia uti wa mgongo una shake.Sasa tutawatumaje nje ya nchi kama humu ndani tuu mnapaogopa?Tunaangalia mbalia sana ktk psychology zenu nyie watu duni kifikra.
 
Back
Top Bottom