Zion Train
JF-Expert Member
- Jun 5, 2008
- 501
- 78
kuna watu humu wanaleta mambo ya vyama, lakini mkae mkijua mwisho wa siku sisi sote ni watanzania, maskini na matajiri wote ni watanzania. ndugu Zitto usikatishwe tamaa na baadhi ya maneno ya kejeli ya baadhi yetu, binafsi sina jinsi tu, lakini nina imani kubwa sana na wewe!
nafikiri tungeanzia kuangalia thamani ya UTU nchini kwetu ikoje?
nafikiri tungeanzia kuangalia thamani ya UTU nchini kwetu ikoje?