Mafukara milioni 30, Mabilionea 30

Mafukara milioni 30, Mabilionea 30

We kule mbeya ni chaggaz.Inaelekea unawaogopa sana wachagga,kiasi kwamba mnaamini wao ndio watengeneza pesa,kwa ubongo mdogo mlionao mtatawaliwa sana na wachaga.Kwani mmeanza leo mbwembwe,si kila siku mnawaita washamba huku mkiwauzia kila kitu chenu kwa bei ya ukwaju.Katiba ya CDM ndio inaamua kushiriki kwake kupitia CDM.

Issue ni kwamba mpo too obsessed na wachaga,hata katk CCM yenyewe mnawapiga vita kuonyesha jinsi mlivyo na wakabila na wadini.
"Chagga phobia",nampenda mwalimu lakini kwa hili kamwe nitamlaumu.

Nimewaambia wanitajie viongozi wa chadema ili kuonyesha huo uchagga na udini hawawezi kufanya hivyo maana wataumbuka,eti wanakuja na ushahidi wa kuvuta na kamba kuwa "mama yake Slaa ni mchagga",kwahiyo ndiyo maana chadema ni chama cha kichagga,same thing kuhusu mwenyekiti wao.

Wao wanachotaka,eti ni kwamba wana mgombea wao mmoja ambaye ndo ataondoa uchagga na udini yeye kama individual,ukiwauliza kivipi hawawezi kujibu,wanakuja na matusi ya reja reja.
 
Halafu eti anajiita mkombozi, shame on him mkombozi huku anadhurumu fedha za watanzania kwa kujilipa mshahara mnono na kujikopesha mamilioni? ....Hana hata haya huyu babu mpenda wake za watu! ...

ni majungu tuu?Kwani Yeye ndio alipanga mshahara na kujilipa?Sasa Zitto kapata wapi hizo alizonazo?aliwahi jiajiri wapi tangu amalize chuo?Leo ndio unawaita wana CDM watanzania na si Wachagga kama mlivyozoea.Its funny kumbe rohoni mnajua kuwa CDM ni ya watanzania.Njaa zitawaua.
 
Kama unadhani maneno kama hayo ndiyo yatampatia Zitto urais basi utakuwa hutumii akili hata kidogo.Unavyoongea hapa,unaonekana ni mtu asiyejisumbuwa kufikiri hata kidogo.

Naomba nikuarifu,
Zitto hatapata kura za baadhi ya wachagga wanafiki kuingia ikulu! .
Zitto hatapata kura za baadhi ya wapare wanafiki kuingia ikulu! .
Zitto hatapata baadhi ya kura za wakaskazini wanafiki kuingia ikulu! .
Lakini zaidi ya yote, zitto hatapata na wala haitaji kura za mabilionea 30 kuingia ikulu! .
Zitto watapata kura za masikini wenzake kuingia ikulu.
Zitto Ataingia ikulu kwa kura za watoto wa wauza Kahawa wenzake,
Zitto Ataingia ikulu kwa kura za walalahoi hoi wenzake!...
Zitto Ataingia ikulu kwa kura za mafukara wenzake anaowasemea kila siku! .
Tunafahamu kama kuna watu hasa Josephine na slaa wataumia sana kuona masikini na mlala hoi annaingizwa ikulu na wakala hoi wenzie. Lakini ndo hivyo tena hakuna jinsi zaidi ya kuukubali ukweli.
Samahani sana kama nimekukwaza! .
 
"Chagga phobia",nampenda mwalimu lakini kwa hili kamwe nitamlaumu.

Nimewaambia wanitajie viongozi wa chadema ili kuonyesha huo uchagga na udini hawawezi kufanya hivyo maana wataumbuka,eti wanakuja na ushahidi wa kuvuta na kamba kuwa "mama yake Slaa ni mchagga",kwahiyo ndiyo maana chadema ni chama cha kichagga,same thing kuhusu mwenyekiti wao.

Wao wanachotaka,eti ni kwamba wana mgombea wao mmoja ambaye ndo ataondoa uchagga na udini yeye kama individual,ukiwauliza kivipi hawawezi kujibu,wanakuja na matusi ya reja reja.

hawa baba zao waliwaharibu sana akili ,wameshawafanya wachaga kuwa super race.Kila waendapo wanahisi wapo nyuma yao.Hata wezi wengi waliowahi iba kuliko wachaga wanaamini wachaga wamewazidi wizi.
 
Ansante sana mh.zitto nyie viongozi tunaowahitaji,mungu akulinde kutokana na maadui wasiokutakia mema
 
Naomba nikuarifu,
Zitto hatapata kura za baadhi ya wachagga wanafiki kuingia ikulu! .
Zitto hatapata kura za baadhi ya wapare wanafiki kuingia ikulu! .
Zitto hatapata baadhi ya kura za wakaskazini wanafiki kuingia ikulu! .
Lakini zaidi ya yote, zitto hatapata na wala haitaji kura za mabilionea 30 kuingia ikulu! .
Zitto watapata kura za masikini wenzake kuingia ikulu.
Zitto Ataingia ikulu kwa kura za watoto wa wauza Kahawa wenzake,
Zitto Ataingia ikulu kwa kura za walalahoi hoi wenzake!...
Zitto Ataingia ikulu kwa kura za mafukara wenzake anaowasemea kila siku! .
Tunafahamu kama kuna watu hasa Josephine na slaa wataumia sana kuona masikini na mlala hoi annaingizwa ikulu na wakala hoi wenzie. Lakini ndo hivyo tena hakuna jinsi zaidi ya kuukubali ukweli.
Samahani sana kama nimekukwaza! .
Kwanini usimshauri ajiondoe chadema aende kwenye hicho chama cha watanzania wote?

Na kama hamtaki kumshauri hivyo,na kwamba hataki kufanya hivyo,je ni mabadiliko gani mtakayoyafanya kulibadilisha hilo la kutokupendwa na mamilioni ya wanachama na wapenzi wa chadema kwenye kila kona ya nchi hadi vijijini?Acheni unafiki.

Hata hivyo naona unabadilika sasa na kusema "baadhi",nani alikwambia kuwa hata Mbowe akisimama ama Slaa ni wachagga wote watakaowapihia kura?Ama wakaskazini wote?Hamna hoja nyie,ni ubinafsi wenu tu.
 
mwambie slaa mwenyewe aje kukataa kama mama yake mzazi siyo mchagga! ...
Na nenda uchaggani kaulize mtoto aleyezaliwa na mwanamke wa kichagga na mwanaumme asiye mchagga hues ni Mali ya nani? ...
Kweli unayo shida.Baba Zenu walivyokuwa dhaifu mbele ya wanawake wachapa kazi wa kichagga ndipo palipowaponza hadi nyie mkawa uzao dhaifu.Nania kakuambia mtoto no property kama ilivyo sharti?huwezi futa nafasi ya mzazi kwa mwanae hata mtoto akimkana mzazi au kuchukuliwa kisheria.Sishngai kuona baba zenu wakitafuta sabbau za kutorudi kwenu.
Muulize slaa kama anampenda mama yake mzazi au hampendi? ...NA kama anampenda atawezaje kuikana kabila yake? ...
Na kwa taarifa yako mtoto huwa na kabila mbili ya kiumeni na kikeni ....slaa hawezi kuukwepa uchagga labda azaliwe upya! ...
Samahani kama nimekwaza! ...

We unaruhusu kichwa yako iwe mbofumbofu, sana huko kulazimisha kuwa mtoto ana kabila mbili inapingana na hata imani yako.

Watu wanawapenda wazazi wao hata kama wametoka kabila zenye ushenzi au dini za kishetani kwani wakipendacho si kabila wala dini ila ni yule mzazi,sasa kama huwezi on ahilo una matatizo.
 
Kweli unayo shida.Baba Zenu walivyokuwa dhaifu mbele ya wanawake wachapa kazi wa kichagga ndipo palipowaponza hadi nyie mkawa uzao dhaifu.Nania kakuambia mtoto no property kama ilivyo sharti?huwezi futa nafasi ya mzazi kwa mwanae hata mtoto akimkana mzazi au kuchukuliwa kisheria.Sishngai kuona baba zenu wakitafuta sabbau za kutorudi kwenu.


We unaruhusu kichwa yako iwe mbofumbofu, sana huko kulazimisha kuwa mtoto ana kabila mbili inapingana na hata imani yako.

Watu wanawapenda wazazi wao hata kama wametoka kabila zenye ushenzi au dini za kishetani kwani wakipendacho si kabila wala dini ila ni yule mzazi,sasa kama huwezi on ahilo una matatizo.
Inaonekana nimekukwaza sana! ...mnamchukia zitto kwa sababu ya uwezo wake kichwani! ...
Umependa mpaka chongo sasa unaita kengeza Duhh! ....
 
Nijitenganishe na uchagga ili iweje?Jibu swali,Mwanga ni uchaggani wewe mkaririshwaji na mwenye chuki mbaya?

Mimi huwa siogopi kui confront hoja hata kama kuna wanoogopa kufanya hivyo,ndani ya tope lenu nitaingia humo na mimi kujaribu kuwaonyesha hapafai.Sitokaa pembeni wakati mnalisha watu chuki ili eti mtu wako awe rais.Acha ujinga.
Hao ni uzao wa baba waliojilaza chini mbele ya wanawake wachapa kazi wa kichaga.hawawezi jikomboa kifikra kwa lolote,watajipa moyo tuu for sometimes halafu wana collapse kama mkate uliowekwa soda.NI wepesi sana kukana identity yao.

wamejituma tangu uhuru kuufuta uchaga katik ramani ila bado wachaga wakawabana.Wachaga ni stateless.
 
Naomba nikuarifu,
Zitto hatapata kura za baadhi ya wachagga wanafiki kuingia ikulu! .
Zitto hatapata kura za baadhi ya wapare wanafiki kuingia ikulu! .
Zitto hatapata baadhi ya kura za wakaskazini wanafiki kuingia ikulu! .
Lakini zaidi ya yote, zitto hatapata na wala haitaji kura za mabilionea 30 kuingia ikulu! .
Zitto watapata kura za masikini wenzake kuingia ikulu.
Zitto Ataingia ikulu kwa kura za watoto wa wauza Kahawa wenzake,
Zitto Ataingia ikulu kwa kura za walalahoi hoi wenzake!...
Zitto Ataingia ikulu kwa kura za mafukara wenzake anaowasemea kila siku! .
Tunafahamu kama kuna watu hasa Josephine na slaa wataumia sana kuona masikini na mlala hoi annaingizwa ikulu na wakala hoi wenzie. Lakini ndo hivyo tena hakuna jinsi zaidi ya kuukubali ukweli.
Samahani sana kama nimekukwaza! .

Zitto atakuwa kimeo sana kama haya yote uliyoandika yanamhusu.Kwanza si masikini hivyo.Atakuwa msikini wa fikra tuu na background ya kimasikini ndio inamkimbiza.Ila wanaume wa kweli hawajilizi mbele ya wengine ili kujenga mazingira ya ku potezea umasikini wake.
 
Naomba nikuarifu,
Zitto hatapata kura za baadhi ya wachagga wanafiki kuingia ikulu! .
Zitto hatapata kura za baadhi ya wapare wanafiki kuingia ikulu! .
Zitto hatapata baadhi ya kura za wakaskazini wanafiki kuingia ikulu! .
Lakini zaidi ya yote, zitto hatapata na wala haitaji kura za mabilionea 30 kuingia ikulu! .
Zitto watapata kura za masikini wenzake kuingia ikulu.
Zitto Ataingia ikulu kwa kura za watoto wa wauza Kahawa wenzake,
Zitto Ataingia ikulu kwa kura za walalahoi hoi wenzake!...
Zitto Ataingia ikulu kwa kura za mafukara wenzake anaowasemea kila siku! .
Tunafahamu kama kuna watu hasa Josephine na slaa wataumia sana kuona masikini na mlala hoi annaingizwa ikulu na wakala hoi wenzie. Lakini ndo hivyo tena hakuna jinsi zaidi ya kuukubali ukweli.
Samahani sana kama nimekukwaza! .
Kwa ukweli nimekusoma ndugu yangu gemmy! . Nakubali kabisa kuwa zitto ana kila sababu ya kutuunganisha hasa sisi walalahoi! .
kwa kweli uchambuzi wako umenikuna sana. Naona kuna wenzako hapo wanakuoinga lakini kwa kweli umewashika pabaya! .
Nakubaliana na wewe kuwa zitto ana kila sababu ya kuwa rais wetu ajaye.
Wengi tumewaona lakini kweli zitto ni mwisho wa reli! ...
 
Mjadala umeanza vizuri lakini baada ya kuingiia taarabu hata sina hamu ya kuendelea kusoma
 
Zitto atakuwa kimeo sana kama haya yote uliyoandika yanamhusu.Kwanza si masikini hivyo.Atakuwa msikini wa fikra tuu na background ya kimasikini ndio inamkimbiza.Ila wanaume wa kweli hawajilizi mbele ya wengine ili kujenga mazingira ya ku potezea umasikini wake.
Naanza kukubali kuwa mnaomchukia zitto hamna sababu yoyote ya msingi zaidi ya Wivu wa maedeleo ya kisiasa.
Acheni basi kumuonea kijana WA watu! .
 
Inaonekana nimekukwaza sana! ...mnamchukia zitto kwa sababu ya uwezo wake kichwani! ...
Umependa mpaka chongo sasa unaita kengeza Duhh! ....

Sidhani kama zitto anao huo uwezo unaousema.Hii article yenyewe inamkana.Chingi nani sasa CDM?Halafu nyie ndio mnamponza Zitto aidi kuwa na tabia za kitoto.Yeye kupta hela ghafla ndio najipima na kila mtu?Majibu yake kuhusu magari aliyokuwa akimiliki jinsi alivyojibu ni wazi kuwa umaskini wake ndio ulimponza akaanza tafuta kuboost esteem yake kwa kumuoyesha Mbowe magari aliyokuwa kiletewa.

Sasa anapima akili?yet macho macho.Akili si kukariri terminologies na kujileka mbele.Akili si kuzifikia dreams zako bila ethics.Akili nyingi si kuwa selfishi namna hii.
 
Naanza kukubali kuwa mnaomchukia zitto hamna sababu yoyote ya msingi zaidi ya Wivu wa maedeleo ya kisiasa.
Acheni basi kumuonea kijana WA watu! .
Kuna influx ya nyie members wapya siku ya leo,which siyo jambo baya kwa JF,lakini kwa mijadala hamwezi,ndo mnaoharibu,na mimi niko hapa kuhakikisha hatuwapotezi wale members waliokuwa wameshaanza kurudi jukwaa hili baada ya kuhamia kule GT ama hata kutokuchangia kwa muda.

Ndo hayo hayo ya ubinafsi,eti wivu wa maendeleo ya kisiasa.Mmmeshaharibiwa akili,ni heri mungekuwa munaijuwa JF toka kitambo,basi mngekuwa mnauwezo wa kufikiri kwa mapana kuhusiana na mustakabali wa taifa.Zitto alikuwa member huku toka kitambo tu,lakini tizama alivyorudi hapa na a few thread na some new members who got his back,halafu ona mnayoyasema.

Nakukumbusha kuwa utaijuwa JF.
 
Uzuri wenu nyinyi mkipenda huita kengeza, ina maana ni kweli haujui kama slaa ameiba mke wa mtu na amemzalisha mtoto na sasa anaitwa baba junior? ...
Au wewe unaona ni busara kwa mzee wa miaka zaidi ya 60 kuwa na mtoto sawa na mjukuu wake? ...
Yaani ni kupenda au ni kweli hujui kuwa slaa ametelekeza familia yake kwa kufuata katerero? ...
Unanisikitisha unapojidai haujui kuwa slaa na mbowe wanahidai watetezi wa masikini wakati wenyewe ni matajiri wa kutupwa! ...
Ndio maana sisi masikini tunasema tutatetewa na masikini mwenzetu na sio waigizaji wenu hao wanaosukumwa na ukabila hasa uchagga! ...
samahani kama nimekukwaza!.
Unikwaze mimi au mkwaze Zitto?Kama ndio mnamfunza huuu upuuzi basi hamna huruma juu yake.Hizi vita za wazi zinachosha sana wana CDM.Na mbaya alisimama bungeni akaongea hayo kipuuzi sana.Sasa anakimbiza kivuli chake.CDM itabaki na yeye nje ya CDM si kitu.Kama anabisha akamuulize mrema kutoka NCCR alipoteza kura zakekiasi gani.Mwambie ahimize PHD yake ili awe king`ang`anizi sana kuwa sasa hivi anastahili hata CDM iwe mfukoni mwake.Hana tofauti na watoto wa mama wengine ambao wakipata shule kidogo tuu mama zao hutaka wapewe kila office.NIlidhani ZItto kakomaa kidogo kwa kiasi cha kutosha waambia wanamhimiza leta chao kuwa anaheshimu taratibu za chama.Ila yeye hata bungeni akiongea utadhani mwanafunzi ajifanyaye mjuaji anavyodai marks hata pasipo na kitu ili aweze wapita watu aliodhani kawazidi.Atadai sana point ili awapite akina Slaa na Mbowe,Mnyika etc ila bado halamashauri kuu itaamua.Na akidhnai ataanza dram za Kibaraka wake Kafulila na Hamad Rashid,wanachama watamchomoa jukwaani.

Ningumu sana kukubadili wewe kama baba zenu ambao ndio role models wenu walijiozesha kwa wachaga.Lazima watawapa picture kubwa ili msiwaone wa hovyo.Zitto ana umasikini wa fikra kuliko wa material things.Zitto ana esteem ndogo sana.Ndio maana haya mambo yanatokea,sasa anapiga kelele zote za kujichafua kuanzia bungeni hadi hapa.Ila halamashauri kuu itaamua.Kizuri ni kwamba tabia lizoonyesha na kauli zake tayrai wana CDM hawatashtuka akishindwa ktk halmashauri kuu.

Mnamdanganya dogo sana,kwani yeye kwanini asioe?Au mpaka atembee nao wengi akidhani anaboost esteem?Ataumia roho sana wakimpiga chini kipindi anatafuta wa kuoa.Nani kasema Muislam safi anastahili chelewa oa bila sababu kama yeye?

Kwani kuzaa ni kukosa kuwa na busara?Kuchelewa pata watoto hakumaanishi kuwa hastahili kuwa na mtoto.
 
wingi wa watu namna hii,na support yake kwa Zitto si siri anahusika na kaweza juhudi kubwa sana.Hili ni sikitiko kwa taifa,sikitiko kwa mwanamapinduzi kuamua chukua njia finyu.Njia ya loosers.Kwani ZItto kwa umri wake hawezi subiri hata kipindi kimoja hadi CDM iingie ktk power wakati anajenga reputations na umri ukienda.Sijui anataka aingie ktk guness book of reords kuwa kaingia akiwa mdogo kuliko?

Alexander the greata lifanya kiwa na 20, na pamekuwa na wapinduaji nchi za africa kibao wenye umri wa miaka 20,nyingine kabla keshafanya.

Ima sure hata Mh. Zitto mwenyewe anajua roho itakavyokuwa haijawahi furahishwa na vitu vingi alivyowahi achieve katika maisha yake. Watu wanaichukia hii attitude na si yeye.

Ni wazi kuwa kila mtu alijua next ni wafuasi wake kuingia kwa fujo na kuibadili thread kuwa ya propaganda kwa fujo.
 
Pamoja na makala yako nzuri Mh.Zito bado unatakiwa kufunguka zaidi ni nini kifanyike tutoke hapo tulipokwamia.
 
Back
Top Bottom