Mafukara milioni 30, Mabilionea 30

Mafukara milioni 30, Mabilionea 30

Role model mwingine ni mchumba wa slaa(katerero)

Meshafikia kutamani wake za babazenu?Sioni ajabu kwani moto yenu ni kufanya kila alichofanya Mbowe, na Dr. Slaa ili mtafute amani, sasa naona mnaenda tafuta kwa wema kilichofanywa na machokoraa wa mjini.mkishindana na baba zenu mtalala na wazazi wenu wenu.Mme link ridhiko la roho zenu chafu na vitu duni sana.You will spend the rest of your lives chasing illusive things bafor you die in disperation.
 
Role model mwingine ni mchumba wa slaa(katerero)

Mtachungulia sana mama zenu.kaome historia hata ya watu muwapendao sana walioa na kuolewa na watu walipishana kiumri sana.Yet mkawaita mama zenu.
 
Ukiona babu anatafuta dogodogo ujue kalaamiwa ndio maana kakimbia familia na akaenda kufuata katerero.

Acha uzembe wewe?naturally wanaume wanastahili kuoa wanwake wadogo kwao kiumri.provided mwanamke kafikia umri wa kuweza fanya maamuzi, na ukomavu wa kutosha kimaumbile.Talaka ni kitu halali kisheria na ka taratibu hata za dini ya Zitto mwenyewe.KWa hiyo hiyo si hoja hapa.
 
Mungu ni mkubwa sana ndio maana akatuonyesha watanzania kwamba haka kazee ni kapika majungu,fitna na ni kadikteta pia hakana maadili ndio maana kakapigwa chini na sasa mungu kaamua kukafilisi akili na mwili.
2015 babubaba akigombea ataumbuka vibaya.
Ninamwita babubaba maana junior mwanae huwa anamwita baba muda mwingine babu maana mzee haeleweki kama ni baba au babu yaani umri wa miaka65 ndio anatafuta watoto yaani mzee amechelewa mpaka mambo yetu yale!

Shetani na watu wake huwa wana jicho la 3 yaani huona vitu vilivyofichika katika mafanikio ya baadaye ya mtu wa haki,kujituma kuzima nuru.Luckily Mungu huwapiga maisha yao yote wakikimbizana na imani za kuibiana na kusafishana nyota maisha yao yote.

God Bless CDM, God Bless Makamanda wote wakifuatana na Mbowe,Dr. Slaa.Viongozi simple kabisa wanaoweza fanya great thing through very basic principles.Nawaangalia Dr. Slaa, prfo Safari napata ridhiko,namwangalia Mnyika ,na Lissu, namwangalia Mr II, namwangalia Kamanda Lema, Namwangalia Msigwa na wengine,Naona Nguvu ya Mungu kukusanya watu sahihi kutupitisha kutoka Misri ya CCM kwenda nchi watu wasiopigwa rungu za vichwa,nchi akili ndogo zinajifinza kwa kubwa na si kutaka tawala kubwa.

Badala ya kupoteza muda na nguvu kidogo mlizo nazo kuwachukia wachaga kiasi hiki,mngejituma jifunza toka kwao, kwanini tamaduni zenu zimekuwa hivyo..baba zenu walijsifu kuwa ni wazuri wa kufanya mapenzi kuliko wachaga yeti mmekiri wenyewe kuwa waliolewa na wanawake wa kichaga(mmekiri kuwa wanawake wa kichaga wana thaani kuliko wanaume wa kwenu).Hili ni sikitiko la taifa kama si janga.Watu wasiokuwa tayari hata kuatua matatizo madogo sasa ndio wanachafua ikulu ,ndio wanataka endelea chafua nchi.

Mungu ahatowaruhusu hilo, Mungu atwapa haki la kula na kulala, na haki ya kusaidiwa kwani ndipo wengine watapata thawabu kwa kuwastaarabisha.Ingawa baad aya somo moja tuu tayari mndhani kuwa mmeshakuwa masters.Sasa mnashidnana na baba zenu juu ya mama zenu.

Dr. Slaa kapika majungu wapi?wapi kamsema mtu isiwekwe hadharani?Badala yake yeye ndiye anatetwa ktk sms chafu, na hapa sikitiko ni wafuasi wa Zitto wanashika bango kuteta mabaya.Ni hatari sana.NI disgrace kwa vijana walio na ambitions za kuleta mabadiliko,kuenda waliposhidnwa wazazi wetu
 
We una hakika gani kuwa mimi ni m-machame?Mi nimuonee wivu huyo alikutuma kwa lipi zaidi ya kinyaa.Wivu mkaambiane huko palipo gizani.HIzi ni defense za watu duni katk tamaduni duni.

Mkurupukaji mwingine huyu!
 
Meshafikia kutamani wake za babazenu?Sioni ajabu kwani moto yenu ni kufanya kila alichofanya Mbowe, na Dr. Slaa ili mtafute amani, sasa naona mnaenda tafuta kwa wema kilichofanywa na machokoraa wa mjini.mkishindana na baba zenu mtalala na wazazi wenu wenu.Mme link ridhiko la roho zenu chafu na vitu duni sana.You will spend the rest of your lives chasing illusive things bafor you die in disperation.

Unamzungumzia yule shangingi mshumbusi? mwambieni apunguze mkorogo ni aibu maana kawa mwekundu badala ya weupe aliokuwa anautaka(mwarabu wa bukoba)hahahaaaa!
Eti nae anazunguka mikoani nakusema "mimi kama mama nahakikisha namtunza rais vizuri "hahahaaaa!rais?labda magogoni ya chanika ,lakini hii nayoijua mimi ataingia kijana zzk.
 
Unamzungumzia yule shangingi mshumbusi? mwambieni apunguze mkorogo ni aibu maana kawa mwekundu badala ya weupe aliokuwa anautaka(mwarabu wa bukoba)hahahaaaa!
Eti nae anazunguka mikoani nakusema "mimi kama mama nahakikisha namtunza rais vizuri "hahahaaaa!rais?labda magogoni ya chanika ,lakini hii nayoijua mimi ataingia kijana zzk.
kwa mipasho upo juu...naye mmemtamani tayari?lahaulah hata mama znu mnawatamani na kuwaita majina hasimu kiasi hiki?Matashindana sana na baba zenu, mtaishia pata dhambi ya kukitumia kitanda cha baba.
 
Ahsante Mheshimiwa Zitto kwa uchambuzi uliojaa elimu ya kutosha juu ya hali ya mambo katika nchi yetu. Kama walivyosema wachangiaji wengine; ni vema ifike mahali baada ya kuwa na details kama hizi zinazoonyesha jinsi mafisadi wanavyotafuna raslimali za taifa letu, mtoe matamko au mhamasishe wananchi kuchukua hatua stahili kuonyesha kuwa tumechoka kuendelea kuibiwa mchana kweupe. Pigeni kelele kwenye mikutano yenu, wananchi tutawaunga mkono. Njooni na ushahidi tuonyesheni kama ulivyoonyesha hapa. Tangazeni maandamano nchi nzima kudai kila kilichoibiwa kirejeshwe na wahusika watiwe kitanzi, wakishindwa kutii bila shuruti; tuwalazimishe. Nchi ni yetu sote na raslimali hizo ni zetu sote. Nendeni katika mataifa makubwa huko Ulaya na Marekani, toeni presentation zinazoonyesha wizi na utapeli unaonfanywa na mafisadi. Naamini zipo nchi zitatuunga mkono. Kama watu wanapora raslimali zetu tunabaki kulalama tu, nini hatma yake? Tukumbuke kuwa kizazi kijacho kinategemea raslimali hizo pia. Kama wizi na utapeli utaendelea kwa kasi hii, wajukuu wetu watafaidi nini? Kilichopo sasa ni kupata uhakika wa nani kaiba nini, yuko wapi, kiasi alichoiba, kaficha wapi kisha tuchukue hatua na si kulalamika. Tuache uoga maana ni dhambi.
 
Kuna influx ya nyie members wapya siku ya leo,which siyo jambo baya kwa JF,lakini kwa mijadala hamwezi,ndo mnaoharibu,na mimi niko hapa kuhakikisha hatuwapotezi wale members waliokuwa wameshaanza kurudi jukwaa hili baada ya kuhamia kule GT ama hata kutokuchangia kwa muda.

Ndo hayo hayo ya ubinafsi,eti wivu wa maendeleo ya kisiasa.Mmmeshaharibiwa akili,ni heri mungekuwa munaijuwa JF toka kitambo,basi mngekuwa mnauwezo wa kufikiri kwa mapana kuhusiana na mustakabali wa taifa.Zitto alikuwa member huku toka kitambo tu,lakini tizama alivyorudi hapa na a few thread na some new members who got his back,halafu ona mnayoyasema.

Nakukumbusha kuwa utaijuwa JF.
Wewe usitake kujifanya kuwa hauko kwenye kundi la kina matola, tunajua wazi kuwa unatumiwa na kina Slaa kumpiga vita Zitto.
 
Hii ndio faida ya chama kuwa na vijana wasio na maadili, haya makundi ya CDM ni ya hatari kuliko yaliyoko CCM, naona vita yenu mnaileta humu JF.

Myukano wa CCM mnasema ni tamaa ya madaraka.
Myukano wa CDM mnasema ni mkono wa CCM.
 
Hii ndio faida ya chama kuwa na vijana wasio na maadili, haya makundi ya CDM ni ya hatari kuliko yaliyoko CCM, naona vita yenu mnaileta humu JF.

Myukano wa CCM mnasema ni tamaa ya madaraka.
Myukano wa CDM mnasema ni mkono wa CCM.

CDM hakuna mnyukano,ila kuna anayejinyuka...
 
Zitto ana kila sababu ya kuwa rais wa nchi hii aisee ....ana akili za kipekee na ajabu sana ....hongera sana! ...

This is a serious case. Hivi umesoma alichokiandika Bw. Zitto? Au wewe ni staunch supporter wa Bw. Zitto, no matter what. Ninasema hivyo kwa sababu umeacha kujadili hoja na kujadili mtoa hoja. Bw. Zitto anasisitiza tujadili hoja. That said, hoja ya Bw. Zitto theoretically and emperically is flawed. Hoja imeshindwa kuchambua uhusiano kati ya economic growth and poverty or impovershment for that matter (depending on the concepts of poverty and therefore definition of poverty you employ in the analysis. Mr. Zitto seems to combine poverty as capability deprivation, poverty as lack of resources and poverty (impoverishment) as a process. I would argue confusion in conceptualizing poverty partly obscure clarity in Mr. Zitto's argument.). From literature, we know that economic growth that is not backed with human development does little to reduce poverty. This is not well captured in the argument. Instead, Mr. Zitto seem to suggest that economic growth will reduce poverty if and only if a country attain agricultural growth as well. This is to forget the fact a handful of farmers can take agricultural productivity of this country to the next level (refer schemes like SAGCOT), leaving the majority of people in poverty. Human development (investment in human capital) is key. With human development, economic growth becomes more inclusive, pro-poor and sustainable.

Of course I agree with mheshimiwa that distributional-neutral growth do nothing to reduce poverty. It's income to the poor that matters and not income to the 30 billionaires.
 
Wewe usitake kujifanya kuwa hauko kwenye kundi la kina matola, tunajua wazi kuwa unatumiwa na kina Slaa kumpiga vita Zitto.

Unafiki unamsumbua huyu,hakuna asiejua kwamba ni msukule wa slaa!
 
Mtoa mada kaweka statistics, na maswali, ila tatizo si gap wala (umasikini na ufukara), ila ni ile hali ya raia kutazama shida zao na kuzifanya chuki kwa waliojilimbikizia hela nyingi.NIlianza na Mfano wa India ila kuna nchi nyingi san watu wachache wana hela hadi kufuru.Ila masikini hawakulichukulia suala hilo kama base ya chuki ila base ya furaha na shukrani pale mtajiri wanavyojituma kushirikik raia kujikwamua.

Tulitegemea mtoa mada na waenzake kutoa solutions na si kulalama.Hizo ndio quality za good leade.Sidhani kama hii dhambi ya kuchukia wachaga itawalipa sana.
 
Wewe usitake kujifanya kuwa hauko kwenye kundi la kina matola, tunajua wazi kuwa unatumiwa na kina Slaa kumpiga vita Zitto.

Unafiki unamsumbua huyu,hakuna asiejua kwamba ni msukule wa slaa!
 
Natamani cku moja niione makala iliyoandikwa na Mbowe DJ wangu mzoefu .....sijui atazungumzia bongo flava ama taarabu na maendeleo ya tanzania! ....natamani jamani niione atiko yake! ...

You are too young to know these stuff. Ni wewe tu hujaona makala za Bw. Mbowe. Watu wengine wote wanaotaka kuona makala hizo walishaziona. Na unataka kuziona hizo "atiko" ili upate kujifunza na kukosoa hoja au unataka tu kumjadili mtoa hoja? What is your motive? And what difference will that make? Try to be a little objective and everything will be alright. Otherwise, you will continue to constrain yourself to your own disadvantage. To help you, dig and read the then Rai - Nguvu ya Hoja (Under Jenerali and co).
 
A Brilliant Article Zitto safi sana. In short ni kwamba uchumi wa Tanzania unapoenda utamilikiwa na familia za watu 10. Hilo ni hatari kwani inaweza kuleta machafuko. Kama CCM hawakuwa makini na watanzania kwa ujumla Ardhi na Ufisadi ni mambo yatakayopelekea kwenye machafuko huko mbeleni. Safi Zitto kwa kutahadharisha hilo jambo uko makini.
 
Wewe usitake kujifanya kuwa hauko kwenye kundi la kina matola, tunajua wazi kuwa unatumiwa na kina Slaa kumpiga vita Zitto.
Sina kundi na wala situmiki na yeyote yule.Kama wewe unatumika siyo kila mtu.I like unity with a purpose.

Live your life with a purpose,make sure its for the better of your nation's well being.Taifa lilipofikia,ni wazi maadui wake mnajitenga dhahiri.You will be held accountable.
 
Back
Top Bottom