Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Mleta mada anaonekana hajafika hata kigali.. anyway hizo pesa hakutoa mfukoni kwake
Mkuu,kwahiyo ukitaka kufurahia Daraja la nchi yako unatakiwa kwanza ufike Kigali?

Jirani yako akimiliki Range rover kisha wewe ukaja ukanunua Vits hutakiwi kufurahia maendeleo yako kisa jirani yako yeye anamilili Range rover?
 
Mwendakuzimu alikuwa mbinafsi sana, alituaminisha hatatokea rais mwngne wa kujenga reli na madaraja, lkn cha ajab hata kabla mzoga wake funza hawajaumaliza, maza Huyo tayari kaanza kujenga daraja kubwa la busisi na reli kutoka isaka to mwanza.
Ona haka kataahira!

Daraja la busisi anaanza kujenga maza?

Na hiyo reli unajua kama ni mwendelezo wa hii ya dar to moro?

Vijana piganeni muondokane na umasikini kwenye koo zenu kwanza haya mambo yapo juu ya uwezo wenu,
 
Ni bonge la mega structure.

Vyombo vinapishana tu.

Mzee alikuwa anaona mbali kwa sababu hii ni solution ya vizazi na vizazi.

Namshangaa mama anayatoa jela majizi.

JPM peponi!
Akili hizi ata punda ana afadhali
 
Ni bonge la mega structure.

Vyombo vinapishana tu.

Mzee alikuwa anaona mbali kwa sababu hii ni solution ya vizazi na vizazi.

Namshangaa mama anayatoa jela majizi.

JPM peponi!
Nenda nairobi ukashangae zaidi ,na nairobians wala hawana habari na Rais Uhuru
Haki yako halafu unataka kuwa mtumwa nayo.
 
Kwanza una matatizo mawili ya msingi.
1.Wewe ni mshamba, na kutokana na ushamba wako unaona kilichofanyika Ubungo ni kama muujiza na unadhani hakijawahi kufanyika mahali pengine duniani.

Wakati ukweli ni kwamba kwa mji kama dar, kilichofanyika hakifanani na interchange katika miji na majiji ya nchi za wenzetu. Lakini wewe nakufanananisha na hadithi ya kipofu ambaye hakuwahi kuona kabisa katika maisha yake, lakini siku moja akafunuliwa na kubahatika kumuona mbwa kwa dakika moja kisha upofu ukamrudia. Basi toka siku hiyo ikawa kila akifika mahali watu wanapiga stori kusifia kitu kizuri au kikubwa basi yeye akawa akiuliza hicho kitu kinaweza kuwa kizuri au kikubwa kumzidi mbwa? Hata hivyo hakuwa na makosa maana maishani mwake hakuwahi kuviona vitu vingine zaidi ya mbwa. Ni sawa na wewe kwasababu hujawahi kuona interchange yoyote zaidi ya hiyo ya ubungo hivyo kwako unaona huo ni muujiza.

2.Hujui wajibu wa serikali ni nini. Kwako wewe unaona serikali ikifanya kitu ni kama hisani.
Hapa kinachokusumbua ni ukosefu wa elimu ya uraia.
Jielimishe.
Mipovu mingi point mavi
 
Ila isipotimiza wajibu wake unatakiwa kuishutumu?

Umeandika ujinga
Ndiyo... Haki yako ni kuishutumu...kuidai...kuilalamikia...kuipigia kelele serikali itimize wajibu wake kikamilifu!

Tatizo lenu mnajenga urafiki na watawala na vitengo vya serikali hadi mnakuwa hamnazo!
Mkipewa haki zenu mnahisi kama mmepewa vile msivyostahiki!!
Shame!!
 
TANZANIA ILIKUWA BADO INAMUHITAJI SANA MH.JOHN JOSEPH POMBE MAGUFULI.

TUTAMKUMBUKA MPAKA TUTAKAPO KUTANA NAE KWA MUNGU.

LEO NIMEMLILIA TENA UPYA.
Uzuri ni idadi ya wanaomkumbuka mtukufu Hamnazo inazidi kupungua kila sekunde!
 
Daraja limeanza kujengwa huu ni mwaka wa pili na pia reli ya Mwanza Isaka ilisha aanza kujengwa toka mwaka jana
Kwa hiyo ukikamilika credits zinaenda kwa mwendakuzimu? Hebu tuwekee asilimia za utekelezaji mpaka sasa?
 
Ni bonge la mega structure. Vyombo vinapishana tu. Mzee alikuwa anaona mbali kwa sababu hii ni solution ya vizazi na vizazi. Namshangaa mama anayatoa jela majizi. JPM peponi!
Yaelekea hujavuka border kupitia anga, na pengine hata passport huna. Zipo zilizokata kona kulia, kushoto, na u-turn, zote za juu, chini ni kwa waenda kwa miguu
 
IMG_20210517_172754.jpg
 
Back
Top Bottom