Mmh Nyerere usimlinganishe na Magufuli aisee, sana sana mi namwita Magufuli Nyerere Jr
Aendelee na kasi tu atakae jaribu kumzuiya ashindwe na alegee
Anachokifanya Magufuli ndio ilikuwa kilio cha UKAWA hivyo hawawezi kumkwamisha, bali atakwamishwa na majizi sugu yaliyobaki ndani ya CCM ambayo anayaumbua sasa kuanzia na former presidaaa
Huyu sasa hana mpinzani hata chagadema wanafahamu hilo.
Jamaa anasubiri kuapishwa tu 2020
UKAWA wakikusikia watatokwa mapovu ya Nyumbu kweli kweli
Anachokifanya Magufuli ndio ilikuwa kilio cha UKAWA hivyo hawawezi kumkwamisha, bali atakwamishwa na majizi sugu yaliyobaki ndani ya CCM ambayo anayaumbua sasa kuanzia na former presidaaa