Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Bilioni 4 kutoka morocco hadi mwenge !!!!!!!!!! ufafanuzi tafadhari inamaana hii iliyopo inabomolewa na kujengwa barabara ya 2 kwa 4 au ????????
 
Kipindi alichopitia Nyerere ndio starting point za Marais wote, logically you can't compare.
 
Hahahaaaa duh hapo ndio utajua kuwa watu wanamahaba wahaangali uhalisia na wakati katka kupima mambo yani leo hii jpm kawa zaidi ya nyerere?, umesahau nyerere aliwabana watu hatakutoka ktk kijiji tu harusiwi? aaah mbona unalia lia tu na mahaba
 
Ni kweli kabisa. ila Hayo ni maamuzi MAKINI sio maamuzi magumu.

Pia kwenye comparison sio sahihi. JPM anafata nyayo za Mwl Nyerere.

Asante mpendwa.

Queen Esther

Kwa kazi anayoifanya Rais Magufuli ni kazi yenye kuhitaji, ujasiri na maamuzi magumu,.

Hata Nyerere asingeweza,.
 
Kwa kazi anayoifanya Rais Magufuli ni kazi yenye kuhitaji, ujasiri na maamuzi magumu,.

Hata Nyerere asingeweza,.

Acha, Mwl.Nyerere ni namba nyingine kabisa, Nyerere aliikuta nchi ziro hadi kuwa na hospitali za wilaya,mikoa, barabara,reli ya uhuru, viwanda vikubwa 11, mashirika, makampuni, elimu na afya bureeee hadi mwisho. alisaidia ukombozi msumbiji,angola,namibia,zimbabwe, nk. ...usafiri na uchukuzi ATC, Tacoshiri, kamata, etc

Magufuli kafanya nini? Hata tone la aliyofanya Nyerere, Magufuli hajafikia.

Kukamata makontena?

Hata kama mna mahaba na Magufuli, kumlinganisha Nyerere na Magu ni kuMDHALILISHA mwl.Nyerere.

Magufuli unaweza kwa sasa kumlinganisha na A.Mrema (kipindi kile Mrema ni Waziri wa Ndani na Naibu Waziri Mkuu).
 
Acha, Mwl.Nyerere ni namba nyingine kabisa, Nyerere aliikuta nchi ziro hadi kuwa na hospitali za wilaya,mikoa, barabara,reli ya uhuru, viwanda vikubwa 11, mashirika, makampuni, elimu na afya bureeee hadi mwisho. alisaidia ukombozi msumbiji,angola,namibia,zimbabwe, nk. ...usafiri na uchukuzi ATC, Tacoshiri, kamata, etcMagufuli kafanya nini? Hata tone la aliyofanya Nyerere, Magufuli hajafikia.Kukamata makontena? Hata kama mna mahaba na Magufuli, kumlinganisha Nyerere na Magu ni kuMDHALILISHA mwl.Nyerere.Magufuli unaweza kwa sasa kumlinganisha na A.Mrema (kipindi kile Mrema ni Waziri wa Ndani na Naibu Waziri Mkuu).
Hakunaga kama Nyerere. Magufuli huwezi Mfikia Nyerere Hata akae miaka yote kumi
 
Ninyi watu hivi Nyerere alifanya nini la la maana sana,sioni.He was too theoretical na mambo yake mengi yali fail.He only managed to provide free education and to bring about unity through the abolition of tribalism and to make us all swahili.Otherwise he destroyed the backbone of our economy by his utopian ideas of industrialization and socialism through ujamaa villages etc.He also destroyed work displine through his funny interpritation of "unyapara." Work discipline is extremely essential in any countrys' development.What we are facing today in Tanzania could be remnants of his "no unyapara" utopian idea.

Do you remember nationalization?This was a another disaster.He eventually however later regreted to have carried out nationalization at all.It was however too late,tremendous damage had already been done to our economy.Please remember that I wish I new are the words of a fool.I believe we will never recover from that terrible mistake.

And as to Magufuli?He is not utopian,he is not theoretical,he is a no nonsense president,he is a man of action.Viva Presida.Aluta continua.
Ni maamuzi magumu kweli lakini kwa Nyerere bado..labda (kama )ame mzidi mkwere wa awamu ya 4..
 
Ninyi watu hivi Nyerere alifanya nini la la maana sana,sioni.He was too theoretical na mambo yake mengi yali fail.He only managed to provide free education and to bring about unity through the abolition of tribalism and to make us all swahili.Otherwise he destroyed the backbone of our economy by his utopian ideas of industrialization and socialism through ujamaa villages etc.He also destroyed work displine through his funny interpritation of "unyapara."Work discipline is extremely essential in any countrys' development.What we are facing today in Tanzania could be remnants of his no unyapara utopian idea.

Do you remember nationalization?This was a another disaster.He eventually however later regreted to have carried out nationalization at all.It was however too late,tremendous damage had already been done to our economy.Please remember that I wish I new are words of a fool.Through natinalization he greatly damaged the economy of our country as I have already said.I believe we will never recover from that terrible mistake.
Soma comment ya #1954tanu , utaelewa
 
Wewe unayemfananisha Magu na Nyerere sijui unatumia kipimo gani, Nyerere kafanya kazi nchi hii, na dunia inajua hata Magu akaachiwa aongoze nchi kwa miaka 30 hatofikia hata nusu ya yale aliyofanya Nyerere.
 
Back
Top Bottom