Kitwa-Mulomoni
JF-Expert Member
- Oct 25, 2016
- 1,779
- 1,119
Sadam Husain alikuws raising wa Kuwait no kweli. No kweli kwa Iraqi chini ya Saddam. Maana hiyo ndiyo ilikuwa sababu kubwa ya kuivamia Kuwait. Na mwsnzo wa vita vya 1991. Saddam alikuwa Raising wa Kuwait kwa miezi saba baada ya kuivamia. = hivyo Saddam alikuwa raising wa Kuwait.Kwaalipo tufkisha hapa historia lazima itamkumbuka tuu hata asipokaza uzi unaousema,make kama sukari alikuta inauzwa 5000 yeye kafanya ishuke mpa 2800, kwanini asikumbukwe? Sadam Hussein kuwa raisi wa Kuwait kwanini asikumbukwe kwenye historia nakuwekwa kwenye front fed? Yaani huyu kashaingia kwenye kitabu cha Guineas tayari.
Mkuu kusali na kutubu siyo lazima iwe kanisaniWewe binafsi kanisa unalijua au ni kufuata mkumbo tu??
Sadam Husain alikuws raising wa Kuwait no kweli. No kweli kwa Iraqi chini ya Saddam. Maana hiyo ndiyo ilikuwa sababu kubwa ya kuivamia Kuwait. Na mwsnzo wa vita vya 1991. Saddam alikuwa Raising wa Kuwait kwa miezi saba baada ya kuivamia. = hivyo Saddam alikuwa raising wa Kuwait.Kwaalipo tufkisha hapa historia lazima itamkumbuka tuu hata asipokaza uzi unaousema,make kama sukari alikuta inauzwa 5000 yeye kafanya ishuke mpa 2800, kwanini asikumbukwe? Sadam Hussein kuwa raisi wa Kuwait kwanini asikumbukwe kwenye historia nakuwekwa kwenye front fed? Yaani huyu kashaingia kwenye kitabu cha Guineas tayari.
Sikushangai kama kumbe wewe ni mfuasi wa yule askofu anayehubiri siasa badala ya injili.
Nimejumuika pia kiongozi,ndo maana nikasema hizi "emotional feeling"Kusifu au kukosoa ni mtazamo wa mtu. Nakushangaa kama unalaumu emotional feelings wakati na wewe ukiwa humohumo ila kwa mtazamo tofauti! Huoni chochote chema alichokifanya Mheshimiwa Raisi ila mapungufu??? Utendee haki ubongo wako tafadhali.
Hujasema kuhusu lile joka linalosemekana kufugwa kanisani. Mbona unasisitiza hirizi tu?Hirizi inafanya kazi.
Hujasema kuhusu lile joka linalosemekana kufugwa kanisani. Mbona unasisitiza hirizi tu?
Kumbe na ile miujiza si ya kweli ni nguvu za giza zilezile unazozisema ila kwa kuwa unaziangalia ki-makengeza unaona upande mmoja.Mzee kavaa hirizi kiunoni.
Kumbe na ile miujiza si ya kweli ni nguvu za giza zilezile unazozisema ila kwa kuwa unaziangalia ki-makengeza unaona upande mmoja.
Kumbe hujui chochote. Heri ukanyamazaMiujiza mimi siijui, mimi najua Ngosha kavaa hirizi.
Tupe mfano wa fisadi mmoja tu ambaye yuko lupango?Wakati fulani tunaweza kusema tatizo la ufisadi na uporaji wa rasilimali zetu linatokana na mianya ya kikatiba na kisheria, hivyo tunahitaji Katiba mpya. Lakini ukitafakari kwa makini utagundua mbona sasa mafisadi na wabadhirifu wanakiona cha " mtema kuni" na Katiba ni ile ile, kumbe tatizo halikuwa Katiba bali aina ya uongozi. Basi mwaka huu 2018 tuunganishe nguvu zetu kumsaidia Rais Magufuli kuyatokomeza mafisadi na majizi yote na kuifanya ile hadithi ya shamba la bibi kubakia historia. Najua watuhumiwa wengi wa ufisadi wako lupango kwa sasa, lakini kuna wachache wamefichamia pahala fulani na wanatetewa kweli, basi watanzania kwa umoja wetu hima tuushinde ufisadi. Nawasilisha!
Wewe unasali na kutubu?. Au ndio ule ule ujinga wa halaiki?Mkuu kusali na kutubu siyo lazima iwe kanisani
Akikujibu nitag mkuuTupe mfano wa fisadi mmoja tu ambaye yuko lupango?