Maeneo gani ni mazuri kwa kuishi na familia hapa DsM

Haya maeneo ni mazuri sana mkuu. Hata mimi nayapenda sana. Tatizo ni changamoto za usalama. Huko majambazi ni wengi sana. Tena ukijenga vzr na kuweka gate wanakulia timing getini wakati unarudi. Au siku mvua kubwa ikinyesha wanaruka ukuta na kuingia ndani. Kelele za mvua hata ukipiga kelele watu hawasikii hasa ukizingatia nyumba ziko mbali mbali
Teh teh hiyo ndy changamoto
Za sehemu tulivu...ukivamiwa hata
Ukipiga kelele hkuna msaada

Ova
 
Njoo kiluvya gogoni hapa jirani na kituo Cha police km 1 tu toka lami Kuna kiwanja ninakiuza pazuri Sana umeme, maji,vipo hapo hapo eneo Lina heka 2.5 Bei ml 120

Huku kelele Ni za ndege tu ,jirani labda umfwate au umwite kwako
 
Mzee Haule yupo?
Njoo kiluvya gogoni hapa jirani na kituo Cha police km 1 tu toka lami Kuna kiwanja ninakiuza pazuri Sana umeme, maji,vipo hapo hapo eneo Lina heka 2.5 Bei ml 120

Huku kelele Ni za ndege tu ,jirani labda umfwate au umwite kwako
 
Njoo kiluvya gogoni hapa jirani na kituo Cha police km 1 tu toka lami Kuna kiwanja ninakiuza pazuri Sana umeme, maji,vipo hapo hapo eneo Lina heka 2.5 Bei ml 120

Huku kelele Ni za ndege tu ,jirani labda umfwate au umwite kwako

Mkuu tuwasiliane
 
kwann skwata anaeza lia mkuu? em tupe uzoefu mana wengine ndo tuko kweny mipango
Anaweza kujenga choo chake mkabala na sitting room yako na huna la kumshawishi. Au akaziba njia kabisa na ukimuuliza atakwambia yeye amenunua sehemu yote na hana ulazima wa kuwacha sehemu ya barabara.

Ukipata jirani mkorofi hapo ndiyo utajuta. Lakini planned areas hata jirani akiwa mkorofi unajitahidi kutafuta fedha za kujenga ukuta basi mambo yameisha kila mtu na lake.
 
Temeke sio sehemu ya kuishi ,japo Kijichi kupo poa sana .Ila bahati mbaya ipo Temeke wandengereko na wamakonde wengi sana😂😂😂
Mdengereko atoke wapi huku Kijichi kwenye maeneo yaliyopimwa? Kila kiwanja siyo chini ya sqm 2500 ukijipigia ukuta wako umetulia.
Au unajibebesha flat moja ya NSSF basi huna wasiwasi.
 
kwann skwata anaeza lia mkuu? em tupe uzoefu mana wengine ndo tuko kweny mipango

Skwata ndio uswahilini matola ,mikelele mtindo mmoja ,dirisha la mtu linaangaliana na mlango wa chooni ,watu wanajenga bila kufuata taratibu za mipango miji,kama una gari inabidi upaki CCM maana barabara hadi kufika kwako ni uchochoro.
 
Back
Top Bottom