Maendeleo ya ujenzi wa fly over ya Ubungo

Kamuulize Mbarawa
Elewe tu Zitto alipomuuliza kupitia mtandao wa twitter kuhusu kutowasili kwa ndege yetu katika muda walioahidi,Mbarawa alimwambia wanakamilisha taratibu ila baadae Lissu akautangazia Ulimwengu kuwa ndege yetu imekamatwa na ndio maana haijawasili.
 
Kwa aliyekusoma vizuri kwenye hili bandiko, umeuliza pasipo NIA NJEMA. Essentially kwa akili yako unataka mradi ufail iwe aibu kwa Maghufuli na CCM yake. Unachoshindwa kujua ni kwamba Tanzania is bigger than JPM na wanasiasa. Tanzania ilikuwepo na itaendelea kuwepo. Kwa hiyo wote tuna maslahi kuona miradi yote inafanikiwa kwa faida ya vizazi vya leo na kesho.

Ukitaka kila kitu kinachofanywa na Magufuli kukiangalia kwa mrengo wa siasa utakuwa disappointed big time!
Tatizo mkuu mambo mengi yanafanyika kisiasa, wakati wa uzinduzi tuliambiwa ni interchange, kwa hiyo Mkuu alikua anatudanganya. nchi nyingine hili ni kosa kubwa sana
 
Tazara ni flyover ama interchange? Interchange na flyover tofauti zao ni nini?
Msije mkanisorora nimeomba kujuzwa
Flyover ni barabara au rail inayopita juu while interchange ni makutano ya barabara ambayo hayahitaji sana mataa kutokana na barabara kupishana kinamna namna kwenye makutano.
Kwa uelewa wangu wenye idea kubwa wanaweza shade mwanga zaidi.
 
Flyover ni barabara au rail inayopita juu while interchange ni makutano ya barabara ambayo hayahitaji sana mataa kutokana na barabara kupishana kinamna namna kwenye makutano.
Kwa uelewa wangu wenye idea kubwa wanaweza shade mwanga zaidi.
Nimekuelewa hapa. Kwa maana hiyo TAZARA ile ni interchange
 
Tazara ni flyover ama interchange? Interchange na flyover tofauti zao ni nini?
Msije mkanisorora nimeomba kujuzwa
Teh teh hahahahh. Unavyojihami wewe Mzigua90. Usiogope, uoga wako ndio umaskini wako. Lakin ni vyema aulizaye ataka kujua.

Ninavyojua mimi flyover ni barabara inayopita juu ya barabara ingine, jengo au hata juu ya reli. Changeover ni flyover lakini sasa inanyongeza. Nyongeza ni kwamba inaruhusu magari kubadili uelekeo kama gari ilikuwa inatoka kimara inaweza badili kwenda mwenge badala ya kunyooka na Morogoro Road. Anaweza pia kugeuza hapo na kurudi kimara.
 
We should be agile, kama mabadiliko yalihitajika ili kumeet goal(s) at a cheaper price, si tatizo kabisa. That's what projects are about.

Tatizo ni kama mabadiliko hayatakidhi matarajio na malengo.
Yes we should be agile, but never to allow politicians to cheat us !!!!!
 
Elewe tu Zitto alipomuuliza kupitia mtandao wa twitter kuhusu kutowasili kwa ndege yetu katika muda walioahidi,Mbarawa alimwambia wanakamilisha taratibu ila baadae Lissu akautangazia Ulimwengu kuwa ndege yetu imekamatwa na ndio maana haijawasili.
Nimekumbuka,

Basi aulizwe aliyekuwa waziri wa ujenzi zamani huenda atakuwa na Majibu
 
Jamani wenye habari kamili, nasikia Ubungo interchange sio interchange tena bali itakua kama flyover ya Tanzara? wenye details ya hii issue mtujuze wenzenu.
kama kweli, zile kiki zote za uwekaji jiwe la msingi wa interchange zilikua za nini?
What's the difference? Forgive my ignorance!
 
Whats is the goal and objective(s) of proposed Ubungo interchange? And how will the alleged flyover affect goals and objectives of previously proposed interchange?

Kutokana na traffic volume, Ubungo panahitaji interchange kubwa. Ukijenga kidude kama kinachojengwa pale tazara, itabidi ukibomoe baada ya miaka michache na kujenga interchange kubwa. Zingatia kuwa idadi ya magari inaongezeka kila siku kadhri population na uchumi unavyokuwa.
 
Kutokana na traffic volume, Ubungo panahitaji interchange kubwa. Ukijenga kidude kama kinachojengwa pale tazara, itabidi ukibomoe baada ya miaka michache na kujenga interchange kubwa. Zingatia kuwa idadi ya magari inaongezeka kila siku kadhri population na uchumi unavyokuwa.

Traffic volume can be relative as it is kwa miaka michache, kiasi gani na miaka mingapi bado ni swali la msingi. Without numbers, it will be a mere speculation as why proposed project modification is a bad thing for now.
 
Traffic volume can be relative as it is kwa miaka michache, kiasi gani na miaka mingapi bado ni swali la msingi. Without numbers, it will be a mere speculation as why proposed project modification is a bad thing for now.

Kwani mpaka world bank wakakubali kufadhili ujenzi wa interchage, unafikiri hawakuyumia numbers? Unafikiri afisa mmoja aliota na kuspecualate halafu fasta wb wakasema pesa hizo
 
Back
Top Bottom