kifusi boy
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 1,141
- 1,750
wanatazamana na ile njia ( lami ) inayoenda NHC primary school au nyuma ya ubungo plazaHivi hawa jamaa wanaojenga hizi projects ofisi zao zipo wapi hasa? Ninashida nao aisee
wanatazamana na ile njia ( lami ) inayoenda NHC primary school au nyuma ya ubungo plazaHivi hawa jamaa wanaojenga hizi projects ofisi zao zipo wapi hasa? Ninashida nao aisee
Asante mkuuwanatazamana na ile njia ( lami ) inayoenda NHC primary school au nyuma ya ubungo plaza
interchange ni niniJamani wenye habari kamili, nasikia Ubungo interchange sio interchange tena bali itakua kama flyover ya Tanzara? wenye details ya hii issue mtujuze wenzenu.
kama kweli, zile kiki zote za uwekaji jiwe la msingi wa interchange zilikua za nini?
Jamani wenye habari kamili, nasikia Ubungo interchange sio interchange tena bali itakua kama flyover ya Tanzara? wenye details ya hii issue mtujuze wenzenu.
kama kweli, zile kiki zote za uwekaji jiwe la msingi wa interchange zilikua za nini?
Nchi gani ambako hakuna kazi sana?Watanzania tuna kazi sana...
Jamani wenye habari kamili, nasikia Ubungo interchange sio interchange tena bali itakua kama flyover ya Tanzara? wenye details ya hii issue mtujuze wenzenu.
kama kweli, zile kiki zote za uwekaji jiwe la msingi wa interchange zilikua za nini?
Kwani Tazara ni flyover au interchange?Jamani wenye habari kamili, nasikia Ubungo interchange sio interchange tena bali itakua kama flyover ya Tanzara? wenye details ya hii issue mtujuze wenzenu.
kama kweli, zile kiki zote za uwekaji jiwe la msingi wa interchange zilikua za nini?
Jamani wenye habari kamili, nasikia Ubungo interchange sio interchange tena bali itakua kama flyover ya Tanzara? wenye details ya hii issue mtujuze wenzenu.
kama kweli, zile kiki zote za uwekaji jiwe la msingi wa interchange zilikua za nini?
Mange ni taasisi.DaMange kasema
Mimi siyo mjuvi wa haya mambo ila kilichonitia hamasa ni kwamba na huku (jukwaa la siasa) umo!Tazara ni flyover ama interchange? Interchange na flyover tofauti zao ni nini?
Msije mkanisorora nimeomba kujuzwa