Maendeleo ya ujenzi wa fly over ya Ubungo

Maana yake,watu wafikirie alternative routes,kama unaenda mbezi,unatoka posta au kariakoo,unaweza ingilia shekilango utokee mawasiliano upite nyuma ya udsm..kukwepa ile jam ya mataa ubungo..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
pia kuna njia ambazo zingetengenezwa vzr zingesaidia sana kuondosha foleni ya ubungo hasa kwa magari madogo...mfano ile barabara inayopitia kanisa la Lusekelo ingetengenezwa mpk kufikia Mbezi/Kimara kwakua ipo njia ambayo inaenda tokea kimara Korogwe kwa kupitia njia ya kwa Lusekelo lkn ina mashimo makubwa sn na hasa kipindi cha mvua kubwa.
 
pia kuna njia ambazo zingetengenezwa vzr zingesaidia sana kuondosha foleni ya ubungo hasa kwa magari madogo...mfano ile barabara inayopitia kanisa la Lusekelo ingetengenezwa mpk kufikia Mbezi/Kimara kwakua ipo njia ambayo inaenda tokea kimara Korogwe kwa kupitia njia ya kwa Lusekelo lkn ina mashimo makubwa sn na hasa kipindi cha mvua kubwa.
tulia mtateseka kwa muda mfupi ila mtaejoy life miaka200
 
bbb3277c2fd3cdd341ea6485988e424f.jpg


Up close and clear.
A few minor changes might still occur to the design though.
According to the The Korean Consultants of this project.
 
Hawa wachina hawajabadili design? Wameruhusiwa.

Tuache kuangali na kuwapa tender wachina, sababu ya price tu
 
Back
Top Bottom