Rodwell mTZ
JF-Expert Member
- Nov 16, 2012
- 1,308
- 1,423
Sipati picha foleni za mbezi zitakavyo kuwa!
foleni ishaanza kuwa kubwaSasa n muda wa kujua chocho Nzuri maana co kwa folen za malori ya hapa kwetu
Sent using Jamii Forums mobile app
tulia mtateseka kwa muda mfupi ila mtaejoy life miaka200pia kuna njia ambazo zingetengenezwa vzr zingesaidia sana kuondosha foleni ya ubungo hasa kwa magari madogo...mfano ile barabara inayopitia kanisa la Lusekelo ingetengenezwa mpk kufikia Mbezi/Kimara kwakua ipo njia ambayo inaenda tokea kimara Korogwe kwa kupitia njia ya kwa Lusekelo lkn ina mashimo makubwa sn na hasa kipindi cha mvua kubwa.
Linapona. Watabomoa huu Upande wa WIZARA YA MAJIAisee,taarifa njema,jengo la Tanesco linapona kweli?
Likikaa sawa Mara paaaaa 2020 hiyoooo... unasimama kwanza pesa zinapelekwa kwenye ngonjera....Mwanzo walivyoweka lile bango la ramani walikuwa wamekosea, waliligeuza kichwa chini miguu juu sasa nadhani bado wapo kwenye mipango ya kupeleka wale mafundi walioliweka bango ili waligeuze likae sawa!
Sent using Jamii Forums mobile app
Inamaana mwendokasi wanaifumua tena?
Je ukiangalia hapa mwendokasi imefumuliwa? labda kuna marekebisho kidogo lakini kituo cha ubungo, na maji vyote vinaonekana hapo