Madiwani wengine wawili wa CHADEMA jiji la Arusha watimkia CCM

Na mimi namfahamu huyo mpuuzi mmoja. Si ni babaako eti!!??
Baba tangu alishafariki na alifia mikononi mwangu usiku wa SAA nane tarehe 23/05/2003 huyo atakua wa kwako! Na alikufa kutokana na uzembe, rushwa na uzandiki wa hao unaowashabikia hadi kunitukania baba! Nimekustahi!
 
Baba tangu alishafariki na alifia mikononi mwangu usiku wa SAA nane tarehe 23/05/2003 huyo atakua wa kwako! Na alikufa kutokana na uzembe, rushwa na uzandiki wa hao unaowashabikia hadi kunitukania baba! Nimekustahi!
Ukiyajua hayo, jua na kustahi wakati wa kukomenti. Huyo uliyemuita mpuuzi mmoja hukujua kuwa nae ni baba na ana familia? Pumbavu!
 
Ukiyajua hayo, jua na kustahi wakati wa kukomenti. Huyo uliyemuita mpuuzi mmoja hukujua kuwa nae ni baba na ana familia? Pumbavu!
Wee mbwa shut up! Huwezi kunipangia cha kupost! Mpuuzi tu wewe! Wewe sio saizi yangu! Naongea na mwenye mbwa sio mbwa;
 
Wee mbwa shut up! Huwezi kunipangia cha kupost! Mpuuzi tu wewe! Wewe sio saizi yangu! Naongea na mwenye mbwa sio mbwa;
Wewe na marehemu babaako ndio wajinga na wapumbavu! Babaako alizaa litoto lijinga na lipumbavu kama wewe ndio maana likafa mapema lisiendelee kuharibu kizazi tu! Na wewe umo humu unaonesha upumbavu wako tu! Eti hupangiwi cha cha kuandika, halafu unapangia wengine! Pumbavu!!!!!
 
Wewe na marehemu babaako ndio wajinga na wapumbavu! Babaako alizaa litoto lijinga na lipumbavu kama wewe ndio maana likafa mapema lisiendelee kuharibu kizazi tu! Na wewe umo humu unaonesha upumbavu wako tu! Eti hupangiwi cha cha kuandika, halafu unapangia wengine! Pumbavu!!!!!
Hahaahhaha unapaniki dogo! Mimi sio saizi yako kabisa! Nadhani umeamini sasa.
 
Leteni ushahidi wa wanachama wa CCM wanaohama kimya kimya kwenda vyama vingine.

Viongozi ni vielelezo vya watu. Kila mwanasiasa ana watu wake wanaomuunga mkono, msidhani wanaohama wanaondoka wenyewe wana wafuasi wao wanaondoka nao.

Huyo Sumaye mnaojitapa mmemsulubu kwa kura za hapana, kila mtu anajua ni kwa maelekezo ya uongozi wa juu wa chama siyo kwa utashi wa wanachama.

Ukweli ni kwamba, mambo yanayoendelea ndani ya CDM hali siyo shwari. Watu wamechoka na viongozi wamechoka wameamua kuwaachia wenye chama chao. Huyu Sumaye nae alikua anatafuta EXIT door siku nyingi tu. Sasa kaipata.

Halikadhalika, Sumaye alishapoteza mvuto wa kisiasa tangu akiwa CCM ndo maana alikimbia. Huwezi kutoka nafasi ya uwaziri Mkuu halfu ukagombanie uenyekiti wa kanda hii ni ushahidi tosha kwamba alishakufa kisiasa.

Prof. Safari nae kaamua kubwaga manyanga, Tundu Lissu kagoma kurudi Tz kuja kuongeza nguvu kwenye chama chenu, mnadanganywa eti anaogopa wasiojulikana. Kumbe ameshawajua, wasiojulikana wamejulikana, ameamua kuangalia maisha yake. Wabunge, Madiwani, Mameya n.k wote wanakimbia bado hamshtuki tu kwamba kuna tatizo.

Jiulizeni pia kwanini siku hizi hatuoni viongozi wa vyama vingine wakihamia CDM kama ilivyokua zamani? Kila siku viongozi wa CDM ndiyo wanaohamia vyama vingine au kuamua kuachana kabisa na siasa. Hili nalo mnalizungumziaje?

Sasa nyinyi endeleeni kujifariji na kujidanganya kwamba chama chenu kipo imara wakati kila siku jahazi linazidi kuzama. kila siku mnakimbiwa na viongozi.Mwanzo mlisingizia wananunuliwa, sasa hivi mnawaita wanaondooka ni mamluki na wasaliti.

Sasa hivi Chadema haina msingi tena. Kuanzia Ngazi ya shina mpaka tawi. Viongozi wa mtaa hakuna tena. Sasa sijui watatumia miujiza gani kupata hata wabunge watano tu kwenye uchaguzi ujao.

Lowassa ameondoka na kura zake milioni sita. Nani mwingine atakaeweza kuzileta kura hizo ili chama kipate ruzuku ya kujiendesha. Au ndo tunawavizia kina membe na kuendelea kumbembeleza Tundu Lissu arejee nchini.

Tuwe na akiba ya maneno, tuweke ushabiki pembeni. Baada ya Uchaguzi Mkuu wa 2020 ndo tutajua kama kweli Chadema ipo imara.
Unasema Sumaye kaondolewa kwa sababu ya maelekezo kutoka kwa mwenyekiti then unasema alishapoteza mvuto, kutoka waziri mkuu mpaka kwenda CDM!, akawa anatafuta sababu ya kuondokea!, hivi wewe unajielewa ulichoandika kweli?!

Unasema siku hizi huoni viongozi wa vyama vingine wakijiunga CDM, kwani viongozi wakihamia CDM ndio kuimarika kwa chama?, CDM haihitaji tena viongozi toka nje, huu ni wakati wa kuwa na viongozi wao waliowatengeneza wenyewe, wanao vijana wakutosha, mambo ya kumsubiri sijui nani toka wapi yameshapitwa na wakati.

Eti Lissu hataki kurudi nchini kwa sababu CDM haina muelekeo!, kwamba yale yaliyompata Lissu unayaona madogo sio, unatunga kisababu chako cha ajabu kujidanganya hapa, Lissu harudi kwasababu ya usalama wake, hiyo ndio sababu anayoitoa yeye kila akiulizwa kuhusu hilo suala, sasa wewe unajitungia tu kisababu chako!, km unataka arudi muhakikishieni usalama wake.

Kwenye mazingira ya sasa ya ufinywaji wa demokrasia, chama tawala pekee ndio kinafanya shughuli zake za siasa freely, ni mwendawazimu pekee atakaesema CDM inakufa, toeni nafasi sawa kwa vyama vyote uone nguvu ya CDM, chaguzi ndogo za ubunge zote mmeiba kura kwa kutumia wakuu wa wilaya na mikoa, OCD, na wakurugenzi wa majiji na manispaa, wakati CDM wala hawakuwa wanafanya mikutano ya hadhara!, wake up...
umelala usingizi wa pono!
 
Mngekuwa mnawanunua na waliowapigia kura ningewaona mna akili sana, lakini mnanunua waliopigiwa kura wakati mnajua wenye maamuzi ya mwisho ni wananchi!, na huko Arusha nyie nunueni tu, si hamna kumbukukumbu kilichowapata mwaka ule mlionunua halafu kwenye uchaguzi mdogo hamkuamini kilichowapata, na safari hii hamtaamini tena.

Chama kinachojiita kikongwe barani Afrika kutwa kununua wapinzani wao, ajabu sana!, na msijitetee hamuwanunui, kwanini muwarudishe kugombea nafasi zao kwani ccm hamna watu wakugombea hizo nafasi?!
Wananunulika?
 
Leteni ushahidi wa wanachama wa CCM wanaohama kimya kimya kwenda vyama vingine.

Viongozi ni vielelezo vya watu. Kila mwanasiasa ana watu wake wanaomuunga mkono, msidhani wanaohama wanaondoka wenyewe wana wafuasi wao wanaondoka nao.

Huyo Sumaye mnaojitapa mmemsulubu kwa kura za hapana, kila mtu anajua ni kwa maelekezo ya uongozi wa juu wa chama siyo kwa utashi wa wanachama.

Ukweli ni kwamba, mambo yanayoendelea ndani ya CDM hali siyo shwari. Watu wamechoka na viongozi wamechoka wameamua kuwaachia wenye chama chao. Huyu Sumaye nae alikua anatafuta EXIT door siku nyingi tu. Sasa kaipata.

Halikadhalika, Sumaye alishapoteza mvuto wa kisiasa tangu akiwa CCM ndo maana alikimbia. Huwezi kutoka nafasi ya uwaziri Mkuu halfu ukagombanie uenyekiti wa kanda hii ni ushahidi tosha kwamba alishakufa kisiasa.

Prof. Safari nae kaamua kubwaga manyanga, Tundu Lissu kagoma kurudi Tz kuja kuongeza nguvu kwenye chama chenu, mnadanganywa eti anaogopa wasiojulikana. Kumbe ameshawajua, wasiojulikana wamejulikana, ameamua kuangalia maisha yake. Wabunge, Madiwani, Mameya n.k wote wanakimbia bado hamshtuki tu kwamba kuna tatizo.

Jiulizeni pia kwanini siku hizi hatuoni viongozi wa vyama vingine wakihamia CDM kama ilivyokua zamani? Kila siku viongozi wa CDM ndiyo wanaohamia vyama vingine au kuamua kuachana kabisa na siasa. Hili nalo mnalizungumziaje?

Sasa nyinyi endeleeni kujifariji na kujidanganya kwamba chama chenu kipo imara wakati kila siku jahazi linazidi kuzama. kila siku mnakimbiwa na viongozi.Mwanzo mlisingizia wananunuliwa, sasa hivi mnawaita wanaondooka ni mamluki na wasaliti.

Sasa hivi Chadema haina msingi tena. Kuanzia Ngazi ya shina mpaka tawi. Viongozi wa mtaa hakuna tena. Sasa sijui watatumia miujiza gani kupata hata wabunge watano tu kwenye uchaguzi ujao.

Lowassa ameondoka na kura zake milioni sita. Nani mwingine atakaeweza kuzileta kura hizo ili chama kipate ruzuku ya kujiendesha. Au ndo tunawavizia kina membe na kuendelea kumbembeleza Tundu Lissu arejee nchini.

Tuwe na akiba ya maneno, tuweke ushabiki pembeni. Baada ya Uchaguzi Mkuu wa 2020 ndo tutajua kama kweli Chadema ipo imara.
Haya baada ya kubwabwaja yote hayo, tuambie hiyo Chadema ikifa Wewe utapata faida gani!!?
 
Unasema Sumaye kaondolewa kwa sababu ya maelekezo kutoka kwa mwenyekiti then unasema alishapoteza mvuto, kutoka waziri mkuu mpaka kwenda CDM!, akawa anatafuta sababu ya kuondokea!, hivi wewe unajielewa ulichoandika kweli?!

Unasema siku hizi huoni viongozi wa vyama vingine wakijiunga CDM, kwani viongozi wakihamia CDM ndio kuimarika kwa chama?, CDM haihitaji tena viongozi toka nje, huu ni wakati wa kuwa na viongozi wao waliowatengeneza wenyewe, wanao vijana wakutosha, mambo ya kumsubiri sijui nani toka wapi yameshapitwa na wakati.

Eti Lissu hataki kurudi nchini kwa sababu CDM haina muelekeo!, kwamba yale yaliyompata Lissu unayaona madogo sio, unatunga kisababu chako cha ajabu kujidanganya hapa, Lissu harudi kwasababu ya usalama wake, hiyo ndio sababu anayoitoa yeye kila akiulizwa kuhusu hilo suala, sasa wewe unajitungia tu kisababu chako!, km unataka arudi muhakikishieni usalama wake.

Kwenye mazingira ya sasa ya ufinywaji wa demokrasia, chama tawala pekee ndio kinafanya shughuli zake za siasa freely, ni mwendawazimu pekee atakaesema CDM inakufa, toeni nafasi sawa kwa vyama vyote uone nguvu ya CDM, chaguzi ndogo za ubunge zote mmeiba kura kwa kutumia wakuu wa wilaya na mikoa, OCD, na wakurugenzi wa majiji na manispaa, wakati CDM wala hawakuwa wanafanya mikutano ya hadhara!, wake up...
umelala usingizi wa pono!
Nadhani ulitakiwa kulinganisha andiko langu na kile nilichokua namjibu mmoja wa wachangiaji wa mada then ungeelewa nilichoandika. Sasa matokeo yake umekurupuka kunijibu bila kuelewa nilichokua nakilenga kwenye andiko langu.

Kuhusu Sumaye kuenguliwa kwa maelekezo ya uongozi wa juu wa CDM siyo maneno yangu ni maelezo aliyoyatoa yeye mwenyewe Sumaye. Lakini ushahidi pia umejidhihirisha kwa wapiga kura wenyewe waliohojiwa kwa kuweka bayana wanamuondoa Sumaye kwasbb maalum.

Kuhusu Lissu, sijatunga visababu vyangu huo ndo uhalisia kwamba ni kweli anaogopa usalama wake. Ndo maana akaiomba Serikali imhakikishie usalama wake atakaporejea. Kwa maneno mengine ameomba Serikali imlinde. Sasa swali la kujiuliza unawezaje kumuomba mtu alietaka kukuua akulinde usiuwawe? Ni jambo lisiloingia akilini, Hapa ina maana kuna muuaji mwingine ambae Lissu anaiomba Serikali imlinde ili asimdhuru. sasa wewe kwasababu una upeo mdogo huwezi kung'amua fumbo hili.
 
Back
Top Bottom