Sasa kama hawa viongozi mlokuwa mkiwaita Makamanda wananunuliwa tungewapaje hii nchi aiseepesa nyingi ya walipakodi inatumika kuwanunua malofa.
Nyie wapinzani bado kabisa maana naona wote ni wa kununuliwa tu
Na Kubenea kuwa against system ya chama kanunuliwa?
Zitto mlimuita msaliti nashangaa leo mnamuita shujaa?
Jitafakarini sana