Hahahahaha mmevurugwaMchagulie jina wewe
Hahahahaha mmevurugwaMchagulie jina wewe
Hongereni wakuu kwa kuwa Chama cha Upinzani
Hahahahaha ngoja nifurahi! Kupita bila kupingwa? HayaDaaa jomba unajidanganya..waulize kwanza hao kabla hujakimbilia huko..Sasa unasema wametii kivipi wakati Kuna wanachama wenu wengine wamechukua nafasi zao Kama kawaida..hawakususia Kama chama kilivyosema..hao mtawafukuza uanachama au..unasema wananchi watii Nini Kama mlishasema mmegomea, Nani aje kituoni .au hujui maana ya kupita bila kupingwa..hahaa
Mbona unaogopa kusema uko chama gani.
Hhahahahahaha tumekujua!!!!Una definition ya adui wa taifa? Au unaropoka tu?
Hongereni wakuu kwa kuwa Chama cha Upinzani
Acha huyo hata magu akatangazia kanisani kuwa haendi "maana wapiga kura kituoni hawazidi wanne"Hahahaha Dogo tulia wewe, hatuna haja ya kuwauliza hao, wewe pata picha tu ya uchaguzi serikali za mitaa! Tamko moja tu ambalo halizidi hata page moja, wananchi wote wakatii hadi wewe mwenyewe....
Anafahamika kwa wasomi tu sio malofa.
unamaanisha wewe ni popo!Mkuu mimi ni Mtanzania kwanza,sina chama chochote. Maslahi ya Tanzania kwanza unaweza kuangalia michango yangu tangu 2006. Kama Chadema au CCM wanafanya jambo lolote zuri kwa Tanzania nita-wasupport kwa nguvu zote.
It make sense.So what?
Tuko mbioni kutaja pesa alizolipwa Kalist , akaunti zilikopitishwa na zilikotoka
Where?Hhahahahahaha tumekujua!!!!
OK
Mmeshinda kwa kishindo mmpeta kura ngapi vile?
Ifahamike kwamba alijiuza , Hakuna siri kudadeki ! kila kitu kimejulikana.Good for you.
Kama nakuona unavyouliza kwa kimalikia kwa lafudhi ya kizaramo!!Where?
Mkuu ujue utabaki pekeyako. Tunaomba mkanushe kwa vitendo yanayotamkwa hapa. Acheni kuburuza watu. Yanayoendelea ndani ya chama ni mazito. Tuweni wakweli na wawazi kwa masilahi ya vizazi vijavyo. Kuna mjumbe mwingine atajitoa muda wowote, tunaburuzwa mno, chama kimekuwabmali ya watu wachache, nmefungua ID kuna jambo ntaliweka wazi jumatatu siku ya Uhuru. Bora niwe huru.Tuko mbioni kutaja pesa alizolipwa Kalist , akaunti zilikopitishwa na zilikotoka
Mimi kila nikisikia kiongozi yoyote wa upinzani amehamia CCM, nasisitiza wasibezwe, wameona mbali.
PWanaohamia CCM wasibezwe! Wanaona mbali, 2020 Majimbo yote kurejeshwa. Je, tunarejea nchi ya chama kimoja?
Wanabodi. Hili ni bandiko la swali kuhusu Trend Reading. Wanaohamia CCM Wasibezwe, Wanaona Mbali, 2020 Majimbo Yote Kurejeshwa?, Jee Tunarejea Kuwa Nchi Chama Kimoja? Trend reading sio utabiri, bali ni matumizi ya analitical na logical thinking kwa kila jambo lililofanyika huangalii tuu hilo...www.jamiiforums.com
Hili la ndege liache lilivyo....mabeberu wanatuonea wivu.
Na mimi namfahamu huyo mpuuzi mmoja. Si ni babaako eti!!??Ni mpuuzi mmoja tu atakayetamka maneno ya kipuuzi kuwa Chadema kuna uzandiki. Nasema ni mwehu mmoja hivi