Nigrastratatract nerve
JF-Expert Member
- Sep 4, 2019
- 1,395
- 3,899
Hii imetokea Leo tarehe 6/12/2019 hii ni Taa nyekundu kwa CHADEMA
Taja majina tuwajue mkuuHii imetokea Leo tarehe 6/12/2019 hii ni Taa nyekundu kwa CHADEMA
Mwenyekiti wa kudumu anasemaje tuko imara kuliko wàkati mwingne wwteHii imetokea Leo tarehe 6/12/2019 hii ni Taa nyekundu kwa CHADEMA
Walitaka tuwapigie kura ili wahameHuko cdm wanahama viongozi tu, wananchi wala hawako nao, ndio maana idadi ya kujiandikisha kupiga kura ilikuwa ndogo ajabu.
Hili la ndege liache lilivyo....mabeberu wanatuonea wivu.Sisi wenye akili tunasubiri UPDATES ZA NDEGE YA MAGUFULI KULE CANADA
Kuna upotevu wa shs 2.4 trl serikalini zitakuwa zinanunua watuMimi kila nikisikia kiongozi yoyote wa upinzani amehamia CCM, nasisitiza wasibezwe, wameona mbali.
PWanaohamia CCM wasibezwe! Wanaona mbali, 2020 Majimbo yote kurejeshwa. Je, tunarejea nchi ya chama kimoja?
Wanabodi. Hili ni bandiko la swali kuhusu Trend Reading. Wanaohamia CCM Wasibezwe, Wanaona Mbali, 2020 Majimbo Yote Kurejeshwa?, Jee Tunarejea Kuwa Nchi Chama Kimoja? Trend reading sio utabiri, bali ni matumizi ya analitical na logical thinking kwa kila jambo lililofanyika huangalii tuu hilo...www.jamiiforums.com
Wanahama viongozi tuu lkn idadi ya wapiga kura inapungua.Mimi kila nikisikia kiongozi yoyote wa upinzani amehamia CCM, nasisitiza wasibezwe, wameona mbali.
PWanaohamia CCM wasibezwe! Wanaona mbali, 2020 Majimbo yote kurejeshwa. Je, tunarejea nchi ya chama kimoja?
Wanabodi. Hili ni bandiko la swali kuhusu Trend Reading. Wanaohamia CCM Wasibezwe, Wanaona Mbali, 2020 Majimbo Yote Kurejeshwa?, Jee Tunarejea Kuwa Nchi Chama Kimoja? Trend reading sio utabiri, bali ni matumizi ya analitical na logical thinking kwa kila jambo lililofanyika huangalii tuu hilo...www.jamiiforums.com
Matumizi mabaya ya fedha za wakipakodi maskini.Kuna upotevu wa shs 2.4 trl serikalini zitakuwa zinanunua watu
Nawa CCM akienda upinzani huyo ndio abezwe?Mimi kila nikisikia kiongozi yoyote wa upinzani amehamia CCM, nasisitiza wasibezwe, wameona mbali.
PWanaohamia CCM wasibezwe! Wanaona mbali, 2020 Majimbo yote kurejeshwa. Je, tunarejea nchi ya chama kimoja?
Wanabodi. Hili ni bandiko la swali kuhusu Trend Reading. Wanaohamia CCM Wasibezwe, Wanaona Mbali, 2020 Majimbo Yote Kurejeshwa?, Jee Tunarejea Kuwa Nchi Chama Kimoja? Trend reading sio utabiri, bali ni matumizi ya analitical na logical thinking kwa kila jambo lililofanyika huangalii tuu hilo...www.jamiiforums.com
Hii imetokea Leo tarehe 6/12/2019 hii ni Taa nyekundu kwa CHADEMA
Na si ajabu hujui kuwa hao viongozi ni sehemu ya hao wananchi. Hujui pia kuwa mwananchi wa kawaida anakuwa hajui mengi ya Chadema. Anapokuwa kiongozi ndio anaujua ukweli na uzandiki wa Chadema. Hapo ndio anabwaga manyanga. Hata wewe Tindo ukiwa kiongozi wa Chadema utakimbia tu, labda kama wewe ni MBOWE in pseudo name!!!Huko cdm wanahama viongozi tu, wananchi wala hawako nao, ndio maana idadi ya kujiandikisha kupiga kura ilikuwa ndogo ajabu.