Madiwani wa CHADEMA Arusha wagawanyika

Mangi,Usilete mipasho ya kwenye Kitchen Party, weke ushahidi hapa kama Madiwani wamechukuwa Rushwa kutoka Magamba JF, sio sehemu ya porojo!Naibu Meya wa CDM Mpambanaji Mallah, ni mtu mwenye uwezo mkubwa wa kifedha anamiliki makampuni, yake binafsi tumeona wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu katumia pesa za pamoja na magari yake kuitangaza CDM, sasa leo unasema kapewa milioni 7, halafu kagombania chakula, Mallah usikubali kuwa mateka wa mbowe na A loser Dr Slaa,Bora kufa umesimama kuliko kuhishi umepiga magoti
Sala yako nzuri sana Amen.
 
The crows cerebrate when grasshoppers fight, the CCM-CDM conflict has given the people of Arusha a bad check, a check which has come back marked "insufficient funds'', But we refuse to believe that the bank of justice is bankrupt. We refuse to believe that there are insufficient funds in the great vaults of opportunity of this nation... And so, i berg them to come and cash this check, a check that will give Arushans upon demand the riches of freedom and the security of justice.... And so It is better to dramatize a shameful condition.
Arusha is great than cdm. arusha is great than ccm.
Let us not seek to satisfy our thirst for freedom by drinking from the cup of bitterness and hatred. We must forever conduct our struggle on the high plane of dignity and discipline. We must not allow our creative protest to degenerate into physical violence. Again and again, we must rise to the majestic heights of meeting physical force with soul force.

SIO LAZIMA TUTOE MATAMKO KILA WAKATI, LEMA TAKE CARE WEWE NA MADIWANI MNADHAMANA KUBWA SANA KWA WANA ARUSHA..SO TAKE CARE SANA ..VITA YAKO NA WAO NI FEDHEHA KWA CHAMA NA ARUSHA NZIMA.

 
kupokea rushwa c lazima iwe pesa bali hata madaraka aliyopewa ni rushwa kwa kuaw hayapatikan kihalali bila kuffuata utaratibu, anahitji ushaidi wakati cheo chake tuu ni rushwa,

Tupe CV yako kama inafikia japo 10% ya CV ya Marando (ambae amewasafisha) kuhusu mambo ya sheria tutakuamini, kama huwezi tunamuamini Marando zaidi na wewe kaa kimya kwenye hili.
 
Tupe CV yako kama inafikia japo 10% ya CV ya Marando (ambae amewasafisha) kuhusu mambo ya sheria tutakuamini, kama huwezi tunamuamini Marando zaidi na wewe kaa kimya kwenye hili.

FaizaFoxy habari za leo ndugu yangu,
Kwanza umesema muafaka ulifikiwa kati ya Mbowe na Pinda.
sasa unasema Mabere Nyaucho Marando kwenye ripoti yake amewasafisha Madiwani kuhusika na ushawishi kwa Rushwa. Sina uhakika na Ripoti ya Marandu kwani sijaisoma wala muafaka wa Mbowe na Pinda kwani sio Pinda wala Mbowe wamekiri huo Muafaka.

Akiwa waziri wa Fedha professa Mbilinyi na Naibu wake mporogonyi walitakiwa kujiuzulu kwa kupokea rushwa ya minofu ya samaki. Ushahidi ulikuwa ni wa kimazingira.

Nikiwa ni mwana CDM mwaminifu nisiyependa migogoro ndani ya Chama changu. Nina amini kabisa mazingira ya muafaka kati ya madiwani wa CDM, CCM, na TLP kulikuwa na mazingira ya rushwa, ama ya fedha, vyeo ama kuahidiwa nafasi zaidi ndani ya jiji. Ama rushwa ya kibiashara, tender nk. Kulikuwa na uharaka gani kutangazwa kwa muafaka bila kuwepo ushiriki wa kutoka cdm wilaya, mkoa?

Ripoti ya marandu ndio iliyosema muafaka ni batili na wale Madiwani wanatakiwa kujiuzulu nafasi zao. Mpaka sasa hawajaiweka wazi ripoti ile kwani yale ni mambo ya ndani ya chama. Kama wamekaidi kutenda maazimio ya ripoti ni wazi watakuwa tayari na kadi za CCM mfukoni. Tutakutana kwenye uchaguzi mdogo wa madiwani Arusha na Ubunge igunga.
 
kupokea rushwa c lazima iwe pesa bali hata madaraka aliyopewa ni rushwa kwa kuaw hayapatikan kihalali bila kuffuata utaratibu, anahitji ushaidi wakati cheo chake tuu ni rushwa,
Kijana, thibitisha maneno yako JF, sio sehemu ya porojo
 
Wanajamvi hali ni ngumu kwa upande wa CDM NA Lema Arusha bila kuchukua hatua thabiti mapema hali itakuwa Tete na tutapoteza Jimbo.
Jimbo limeishapotea hilo, tena waliolipoteza wenye CDM wenyewe Mbowe na Dr Slaa
 
Labda wengine tungefahamu kitu kimoja. Hizo pesa za kuwahonga madiwani wa chadema zimetoka wapi, au zimetolewa na nani, na baada ya Makamanda hawa wa CHADEMA kupokea Mlungula na kukubali MUAFAKA, mtoaji Mlungula sasa anafaidika vp kurejesha huo mtaji na faida yake?

Nauliza hivyo hasa kutokana na viwango vya pesa zinazotajwa kuwa nyingi.
 
hahahaa hakuna rushwa hapo, aliyekurupuka ni slaa ili awahadae wananchi wamwone kuwa ana taarifa za ndani za kiutafiti, mm nimechoka na hawa wanasiasa, kumbe inawezekana ccm ikarudi tena madarakani.
padre mzushi hivi, ndio maana alijiondoa kwenye zizi la kondoo mapema.
 
ivi jina '' FOXY'' tafsiri yake nini vile!??.. So bizness yako inaendaje FOXY,kama imedoda nitafute ntakuungisha tu mi sina neno
Jibu hoja za madiwani usilete porojo JF, watu wanataka data! Mipasho nenda Facebook
 
we jamaa kigeugeu mnafiki sana, leo unamtazamo huu kesho ule,tunafurai twazidi kukufahamu
Mkuu,

Sidhani kama ninaweza kuwa mwanasiasa wa hovyo kiasi hicho...Hebu leta post yoyote inaoonyesha msimamo wangu kuhusu suala la Arusha umetofautiana.Kumbuka mimi nilikuwa wa kwanza kabisa kupinga hilo suala la muafaka jinsi lilivoendeshwa,Siku zote kwenye negotaiation lazima uangalie ni concession gani zinatolewa,ni lazima uangalie wewe unaleta nini mezani na wewe unachukua nini? Jamani hauhitaji kuwa na Masters Degree ya Diplomacy na the art of negotiation kujua hili...hili suala si mchezo ati,CHADEMA ndiyo yenye gharama kubwa zaidi kuleta mezani guess ni gharama ganai hiyo?......

Kuna mwandishi mmoja ambaye kwa bahati mbaya sana JF mmekuwa mkimuona mwanaharakati wa kweli alijenga hoja dhaifu juu ya umuhimu wa muafaka ule na kuniuliza ni nini msiammao wangu,nilimpa majibu na majibu yale yale ndiyo niliyoyaandika kuhusu hili suala la Arusha.No wonder kwenye gazeti lake linalochafua watu kila siku hajaandika anyathing kuhusu hilo,ni aibu tu.hakuna kitu kibaya kama mtu kuwa shabiki.Ninaamini ninachokisema

Sasa leta hoja yoyote ambayo unaona nimetofautiana kimsimamo ,au labda nikupe benefit of doubt kwamba huelewi hoja ninanzoziandika...you need to chew and digest.Good day....!

Sijakuelwa Comrade! ila nitachambua

Negotiation yeyote lazima iwe na pande mbili ambapo kila pande ina kitu inahitaji. Huwezi tu kukubali muafaka kama kasuku. Diplomatic solutions huwa zinashindikana kwani upande mmoja ukiona hakuna faida ya solution inakataa maafikiano. Ni ukweli Mbunge anahitaji sana Madiwani ili kufanya kazi zake vizuri na kuharakisha Maendeleo.

Kwa miaka zaidi ya 18 sasa Tanzania tunalilia demokrasia ya uchaguzi, haki na kufuatwa sheria. Vyama vikongwe kwenye nchi Masikini dunia hutumia hila na ghiliba kushinda chaguzi. Utakuwa ni uhayawani kusahau nini wananchi wanapigania. Wananchi wanaililia Demokrasia ya kweli, haki kwenye sanduku la kura na usawa kwenye sheria. Uchumi imara na uongozi unaotoka kwa wananchi. Kama swala ni kukubaliana kwa nini tusikubaliane wote tuwe CCM???? Wengi tumeona CCM ni kichaka cha wezi, mafisadi, wabakaji wa demokrasia ndio maana tunaukataa huu muafaka mfu.

Mandela alipopewa uhuru bandia akiwa jela alitoa masharti atoke yeye na wapigania uhuru wote waliofungwa, na asipewe sharti lolote akiwa nje. CDM iliingia kwenye majadiliano na kauli mbiu uchaguzi wa Meya urudiwe apatikane mshindi kwa misingi ya haki, sheria, taratibu sheria za uchaguzi ule. Hii ina maana kubwa sana, kukomesha kabisa ghiliba za CCM. Kuonyesha sheria ni msumeno. Kaka Ben nachelea kusema siasa rahisi, muafaka rahisi, makubaliano ilimradi unapata paycheki hatuyataki. Sisi tupo kwenye mapambano ya kubadili mfumo wa utawala, mapambano ya kudai haki na usawa mbele ya sheria sio kujaza tu nafasi za uongozi. Yeyote anayetaka njia ya mkato aende CCM. Sisi tuliokuwepo CDM tangia kukiwa na wanachama wachache tuliamini tatizo kubwa la Maendeleo yetu ni utwala mbovu, na ubovu unaanzia kwenye kununua au kuhonga viongozi kwa njia ya vyeo, fedha nk na kupata watu wanaotumikia viongozi wachache. Tunahitaji viongozi wa watu kutoka kwa watu watakowajibika kwa watu.

Comrade Chief Mkwawa,

Thanks alot.Atleast wewe umeonyesha maturity na ustaarabu kwa kukiri hujanielewa....

Kuhusu hili jambo la muafaka msiamo wangu uko very clear katika post zote kuhusu suala la muafaka. Sasa kuhusu hoja za madiwani mbona hazijadiliwi?Suala la Muafaka madiwani kwa kweli hawakuliendesha vizuri na hilo suala nimeshalisema,haki inastahili kutendeka basi.

Madiwani nao wana madai yao pia ni lazima wasikilizwe,na chama kichore mstari.....umakini na busara za hali ya juu zitumike.Anyway,maamuzi yataamuliwa kwa mujibu wa katiba,ndiyo maana nikawaambia watu wavute subira au wajenge hoja nzito dhidi ya wale wanaowatetea madiwani.kuna madai ya personal issues nk.Hizi squables zinawanufaisha CCM zaidi,ni lazima tuwe waerevu kisiasa.Kila mtu aliyehusika kurudisha nyuma jitihada za CHADEMA ni Lazima awajibishwe,siyo madiwani tu na wengine wote waliohusika in the process hata awe nani,chama ni kikubwa kuliko diwani,mbunge,makatibu,wenyeviti na hata wakurugenzi wa idara za chama...that is my position !

Nakushukuru sana kwa kujenga hoja mkuu,umetofautiana na wengi waliokuwa wanatukana na wengine.Niliawaambia hiyo siyo identity ya chadema jamani.

The crows cerebrate when grasshoppers fight, the CCM-CDM conflict has given the people of Arusha a bad check, a check which has come back marked "insufficient funds'', But we refuse to believe that the bank of justice is bankrupt. We refuse to believe that there are insufficient funds in the great vaults of opportunity of this nation... And so, i berg them to come and cash this check, a check that will give Arushans upon demand the riches of freedom and the security of justice.... And so It is better to dramatize a shameful condition.
Arusha is great than cdm. arusha is great than ccm.
Let us not seek to satisfy our thirst for freedom by drinking from the cup of bitterness and hatred. We must forever conduct our struggle on the high plane of dignity and discipline. We must not allow our creative protest to degenerate into physical violence. Again and again, we must rise to the majestic heights of meeting physical force with soul force.

SIO LAZIMA TUTOE MATAMKO KILA WAKATI, LEMA TAKE CARE WEWE NA MADIWANI MNADHAMANA KUBWA SANA KWA WANA ARUSHA..SO TAKE CARE SANA ..VITA YAKO NA WAO NI FEDHEHA KWA CHAMA NA ARUSHA NZIMA.



Ni kweli Comrade ,sijui tunataka kumnufaisaha nani kwa hizi squables. Kashfa ya Rushwa ni mbaya sana kama kuna ushahidi.Kama hakuna ushahidi basi hapa kuna jambo na hatua za KINIDHAMU zichukuliwe ,muafaka wa holela bila kufuata taratibu na wide consultation kwa maslahi ya umma ni mbaya zaidi....!

We have locked ourselves in the sanctuary for too long a time, fasting, praying and preaching for Strong oppostion camp to put the government in check and ensure good governance in our nation. That in itself is not evil, but, we need to do more as the salt of the earth and the light of the world. It is time for the true change-mongers to come out of the closet and rebuild ancient ruins.Do not let our personal ambitions overshadow institutional ambitions and Legacy!

 
Ninapoona utetezi wa hawa madiwani vichwa ngumu kufanywa na magamba kwa nguvu zote najiuliza maslahi yao hapo ni nini?
Inanipa uhakika wa kuamini kuna maslahi kwa ccm hata kulazimisha kutoa rushwa ya vyeo.
Hivi huyu Malya kweli anawafahamu wanachadema vizuri? Maana kama angeliwafahamu asingethubutu kuwalazimishia ndoa, tena ya mkeka.
Mwisho niseme tu hawa madiwani waliokataa maagizo ya chama ni vyema watambue nchi hii bado haijaruhusu mgombea binafsi. Hivyo hapa walipofikia wawe tayari kumfuata Mama yao chitanda na baba yao Gambo. Hatutawavumilia tena hata kama chama kitawaacha. Uchaguzi wa kata zao unapaswa kuwa sambamba na wa jimbo la gamba kuu, Igunga.
.
 
Mkuu,

Sidhani kama ninaweza kuwa mwanasiasa wa hovyo kiasi hicho...Hebu leta post yoyote inaoonyesha msimamo wangu kuhusu suala la Arusha umetofautiana.Kumbuka mimi nilikuwa wa kwanza kabisa kupinga hilo suala la muafaka jinsi lilivoendeshwa,Siku zote kwenye negotaiation lazima uangalie ni concession gani zinatolewa,ni lazima uangalie wewe unaleta nini mezani na wewe unachukua nini? Jamani hauhitaji kuwa na Masters Degree ya Diplomacy na the art of negotiation kujua hili...hili suala si mchezo ati,CHADEMA ndiyo yenye gharama kubwa zaidi kuleta mezani guess ni gharama ganai hiyo?......

Kuna mwandishi mmoja ambaye kwa bahati mbaya sana JF mmekuwa mkimuona mwanaharakati wa kweli alijenga hoja dhaifu juu ya umuhimu wa muafaka ule na kuniuliza ni nini msiammao wangu,nilimpa majibu na majibu yale yale ndiyo niliyoyaandika kuhusu hili suala la Arusha.No wonder kwenye gazeti lake linalochafua watu kila siku hajaandika anyathing kuhusu hilo,ni aibu tu.hakuna kitu kibaya kama mtu kuwa shabiki.Ninaamini ninachokisema

Sasa leta hoja yoyote ambayo unaona nimetofautiana kimsimamo ,au labda nikupe benefit of doubt kwamba huelewi hoja ninanzoziandika...you need to chew and digest.Good day....!



Comrade Chief Mkwawa,

Thanks alot.Atleast wewe umeonyesha maturity na ustaarabu kwa kukiri hujanielewa....

Kuhusu hili jambo la muafaka msiamo wangu uko very clear katika post zote kuhusu suala la muafaka. Sasa kuhusu hoja za madiwani mbona hazijadiliwi?Suala la Muafaka madiwani kwa kweli hawakuliendesha vizuri na hilo suala nimeshalisema,haki inastahili kutendeka basi.

Madiwani nao wana madai yao pia ni lazima wasikilizwe,na chama kichore mstari.....umakini na busara za hali ya juu zitumike.Anyway,maamuzi yataamuliwa kwa mujibu wa katiba,ndiyo maana nikawaambia watu wavute subira au wajenge hoja nzito dhidi ya wale wanaowatetea madiwani.kuna madai ya personal issues nk.Hizi squables zinawanufaisha CCM zaidi,ni lazima tuwe waerevu kisiasa.Kila mtu aliyehusika kurudisha nyuma jitihada za CHADEMA ni Lazima awajibishwe,siyo madiwani tu na wengine wote waliohusika in the process hata awe nani,chama ni kikubwa kuliko diwani,mbunge,makatibu,wenyeviti na hata wakurugenzi wa idara za chama...that is my position !

Nakushukuru sana kwa kujenga hoja mkuu,umetofautiana na wengi waliokuwa wanatukana na wengine.Niliawaambia hiyo siyo identity ya chadema jamani.




Ni kweli Comrade ,sijui tunataka kumnufaisaha nani kwa hizi squables. Kashfa ya Rushwa ni mbaya sana kama kuna ushahidi.Kama hakuna ushahidi basi hapa kuna jambo na hatua za KINIDHAMU zichukuliwe ,muafaka wa holela bila kufuata taratibu na wide consultation kwa maslahi ya umma ni mbaya zaidi....!

We have locked ourselves in the sanctuary for too long a time, fasting, praying and preaching for Strong oppostion camp to put the government in check and ensure good governance in our nation. That in itself is not evil, but, we need to do more as the salt of the earth and the light of the world. It is time for the true change-mongers to come out of the closet and rebuild ancient ruins.Do not let our personal ambitions overshadow institutional ambitions and Legacy!






YES BEN,
In whese symbolic shadows we stand today, signed the Emancipation Proclamation. This momentous decree came as a great beacon light of hope to millions of Tanzanians who had been seared in the flames of withering injustice, It came as a joyous daybreak to end the long night of their captivity

But the way it run..,it solace by gones among ourselves, instead of enhancing, we are demertoting the society.
What is needed is just a natural justice for both sides ''HQ and Those chancellors''
 
Kwa kweli hakuna mahali popote nimeunga mkono madiwani wa arusha,na hakuna mahali popote nimewapinga.Pia kuna thread nyingine tangu mwanzo nilitoa msimamo wangu juu ya swala la Arusha.Ndiyo maana sasa nikasema tuvute subira,maamuzi ya busara yachukuliwe....Ilimradi haki itendeke kwa pande Zote kwa kuzingatia pillars nilizozitaja hapo mwanzo
Ben

Unaonekana wewe si tu mnafiki kama wengi wanavyosema bali pia huna heshima kwa wazee wa chama na viongozi wako wakuu. Nakumbuka mara baada ya kuenguliwa BAVICHA ulikuja na maneno mengi ya kuishutumu ile kamati ya wazee ukasema hukubaliani nayo na ukaahidi kutafuta haki sehemu yeyote kupinga (mahakamani?). Katika suala hili la madiwani unaonekana kujificha kwa mgongo wa kuwa huungi mkono upande wowote lakini kutokana na maelezo yako mengi wengine tumekuelewa kwanini unajificha kutokana na matukio ya nyuma.

Katika sakata hili kuna mambo makuu mawili utovu wa nidhamu na vitendo vya rushwa. Tume ya Marando imesema hawakugundua rushwa lakini si kwamba rushwa haikuwepo kutopata evidence si kwamba tukio halikutendeka, tume ikashauri wajiuzulu kwa utovu wa nidhamu yaani kwenda kinyume na katiba na misingi ya chama hawakutakiwa kujiuzulu kwa kosa la kutoa rushwa. Hiyo ni kesi moja kesi nyingine ni ya Lema kuwatuhumu kuwa walikula rushwa na Mallah kujibu kwa kuita waandishi wa habari, hii kesi ya pili ni ya kibinafsi zaidi haina maslahi kwa chama ambayo nafikiri wewe na Ngongo ndiyo mnayoishadidia.

Nje ya topic, ben nakuomba utulize akili yako siasa za chuoni ni tofauti na siasa za uraiani na majukwaani vinginevyo usipokuwa na mshikamano na viongozi wako kwa kujifanya 'unajua sana' kuwazidi waliopo wakiwemo wazee wa chama hutafika popote utaishia kuwa na siasa za kina Mrema sijui kama unapenda Mrema awe political model wako.
 
YES BEN,
In whese symbolic shadows we stand today, signed the Emancipation Proclamation. This momentous decree came as a great beacon light of hope to millions of Tanzanians who had been seared in the flames of withering injustice, It came as a joyous daybreak to end the long night of their captivity

But the way it run..,it solace by gones among ourselves, instead of enhancing, we are demertoting the society.
What is needed is just a natural justice for both sides ''HQ and Those chancellors''

Mzee wa Maono,

Pamoja na kwamba kuna wakati huwa unaniudhi sana hadi nikafikia hatua ya kufikiria hauna mapenzi mema au haututakii mema mimi na chama changu ninachokipenda,but hapo kwenye Red nashukuru kwa kunielewa.

My position is, justice has no boundary
 
YES BEN,
In whese symbolic shadows we stand today, signed the Emancipation Proclamation. This momentous decree came as a great beacon light of hope to millions of Tanzanians who had been seared in the flames of withering injustice, It came as a joyous daybreak to end the long night of their captivity

But the way it run..,it solace by gones among ourselves, instead of enhancing, we are demertoting the society.
What is needed is just a natural justice for both sides ''HQ and Those chancellors''

mimi nakukubali kwa hili ila lile la kuita bavicha majina yako sio zuri, sasa wapi umetoa busara hizi? keep it up na ubadilike kabisa utakuwa mshauri mzuri.
 
Hapa naona suala sio vyeo tena, bali suala limebadilika na limekua ni suala la heshima baina ya viongozi wao wenyewe,
kwani madiwani wanaomba waombwe radhi kwa kuchafuliwa kwa tuhuma wanazodai hawahusiki nazo,
Uongozi wa kitaifa unawataka wao wachuke hatua ya kujiweka safi, kwa kujivua hayo madaraka na kuomba radhi kwa umma,
Hapo ndipo penye utata na mvutano kwa sasa!!
Ushauri wangu ni kwamba, ungozi wa taifa unatakiwa uwe makini sana na hili suala, kwani hii ndio njia ccm wanayotarajia kupitia,
Sio kwamba uogope kuwachukulia hatua za kinidhamu, ila wawape haki ya kuwasikilia, kama tume iliundwa ichunguze tuhuma zao,
Basi iheshimiwe kwani hiki ndicho chombo cha mwisho cha kueleza ukweli,
Hapa naona kuna vita kubwa kati ya mbunge na hawa madiwani tena ni vita isyojificha,
Ni vita ya sauti ndani ya arusha ni vita ya kutaka kuheshimika kuliko wengine ndani ya arusha,
Ni vita ya kutaka kuwa juu zaidi ya wengine
Ni vita inayochochewa na vitisho/vivuno vya mtu kuwa karibu na viongozi wa juu kuliko wengine.
Hebu tuheshimu matokeo ya tume, hebu tuache kutoa kauli kwa kusoma upepo wa siasa,
Mimi siungi mkono muafaka huu, lakini tusiwahukumu watu wachache tu kumbe nyuma kuna kitu zaidi NA pengine ndio maana wanakua wakali,
Sio wote wenye moyo wa uvumilivu pale wanaona wanasemewa yasiyo sahihi.
LEMA NARUDIA TENA MVUTANO WAKO HAWA MADIWANI NI FEDHEHA KWA CHAMA NA TAIFA
.
 
mkaka ben.

ushauri wa bure siasa za kwetu zinatanguliwa na unafiki asilimia 120.

kama unataka ufanikiwe chadema ondoa busara na logic tumbukiza unafiki kiasi. kama huwezi baki kama sisi ambao magamba na magwanda hawatuyumbishi.

vinginevyo nenda magamba. wao ukisema ya kuwapinga hawatakusikiliza lakini pia hawatakuadhibu. watadharau kimya kimya kama wanavyofanya kwa sita.

hao magwanda ukisema tofauti na wazee wa chama jua mwisho unakaribia. labda uwe na nguvu kama zito.

na vibaraka wao hapa jf ndio balaa kabisa. wametumwa kutukana watu ili jioni wakapewe ujira wao.

ukiendelee kusema sema sana wazee watakuadhibu sana.

uongozi bora ni pale mkubwa anapomheshimu mdogo na mdogo naye humheshimu mkubwa. hata mtoto ukimtukana kila siku kwamba ni kikojozi siku moja atakuambia na wewe baba kikojozi. hawa wazee wa chadema wanaua demokrasia ya chama.
 
Back
Top Bottom