Giddy Mangi
JF-Expert Member
- Feb 14, 2011
- 830
- 184
Sala yako nzuri sana Amen.Mangi,Usilete mipasho ya kwenye Kitchen Party, weke ushahidi hapa kama Madiwani wamechukuwa Rushwa kutoka Magamba JF, sio sehemu ya porojo!Naibu Meya wa CDM Mpambanaji Mallah, ni mtu mwenye uwezo mkubwa wa kifedha anamiliki makampuni, yake binafsi tumeona wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu katumia pesa za pamoja na magari yake kuitangaza CDM, sasa leo unasema kapewa milioni 7, halafu kagombania chakula, Mallah usikubali kuwa mateka wa mbowe na A loser Dr Slaa,Bora kufa umesimama kuliko kuhishi umepiga magoti