Nyakarungu
JF-Expert Member
- May 1, 2011
- 472
- 375
Mzee wa Maono,
Pamoja na kwamba kuna wakati huwa unaniudhi sana hadi nikafikia hatua ya kufikiria hauna mapenzi mema au haututakii mema mimi na chama changu ninachokipenda,but hapo kwenye Red nashukuru kwa kunielewa.
My position is, justice has no boundary
Yaani Ben sio wewe tu ndugu yangu,
huyu bwana amenishangaza sana hata mimi.
But kondoo akipotea hurudi kundini na kupokelewa