Kibanga Ampiga Mkoloni
JF-Expert Member
- Aug 9, 2007
- 18,697
- 8,843
Mkuu labda ungepitia tena kamusi ya kiswahili neno "mpuuzi' lina maana gani halafu ujitazame kati yako wewe na aliyetoa hoja nani mpuuzi.
PUUZI=SILLY=showing a lack of common sense or judgment;
Na hii aina TOFAUTI na wewe, naamini ni MMOJA wao amabye unaamini kuwa Barabara anajenga Diwani au Mbunge kwa kuhudhuria VIKAO.
Na mbaya zaidi utakuwa unaamini kuwa CCM wanaleta maendeleo ya nchi hii kwa kutumia hela zao kutoka CCM kwa hiyo bila muafaka na CCM au kuwapigia magoti CCM maendeleo HAKUNA .
Pole sana ila unajulikana jinsi ulivyo na chuki na ulivyokuwa tayari kUTETEA UPUUZI kwa kuwa tu unashabihiana na wewe .