Mkuu hope ure kidding, but if ure serious im so sorry to tell you that i cant go that lowMkuu bado sijakuelewa unaposema iko wazi kivipi.
Mkuu hope ure kidding, but if ure serious im so sorry to tell you that i cant go that lowMkuu bado sijakuelewa unaposema iko wazi kivipi.
Mbona mkuu hoja zako sizioni au kusema utapambana hadi nikae chini ndizo hizo, hakuna mtu anayepambana hapa,FEEDBACK,
Nilikwisha kuahidi siwezi kupambana na wewe kwa kutarajia kutoa majibu ya ndiyo au hapana.
Nakuhakikishia utaiona chadema ikiwa wima na utafahamu na wasiwasi wako utaisha pale umri wako kisiasa utakua matured.
Vita yako ni baina ya mtu na mtu wala sio hoja kwa hoja,so am not such kind guy!! pole na kazi.
Nikikuita mwanaccm unaetaka cdm isiwe na watu wanaojenga hoja utapinga? maana unataka wale wanaotukana tu, wasioweza kujibu hoja kama wanaccm wengi mlivyo,ili mijadala ipoteze mwelekeo.
Basi hapa umepambana na kazi, tena sio kazi ya kitoto, hadi ukae chini ujipange upya mkuu.
Na ujue kabisa ukileta matusi sisi tunasimama na hoja, na ukileta hoja tunaipiga kwa hoja, haya kawambie wajipange tena.
Kuna watu wanataka kutufanya sisi wengine hatujui kiswahili.Ila hapa Ben usijitetee sentensi iko wazi kabisa kuwa wewe ulichotaka ni kuwa Mwenyekiti wa Bavicha na si kingine kukubali nako ni uungwana
Mkuu Nyakarungu mimi nilikuwa nauliza tu ulikuwa na maana gani uliposema unapinga hukumu na vitisho nafikiri ulimaanisha vya kamati kuu ya CDM nikajiuliza inakuwaje wewe tuliyekuwa tunakutegemea kuwa m/kiti wa vijana upinge hadharani maamuzi ya vikao vya chama?
Hawa jamaa Nyakarungu na Ben hata mimi nina wasiwasi sana na uwepo wao ndani ya Chadema nasikia hata Heche anasita kuwapa hata nafasi za uongozi ndani ya Bavicha.
Feedback,
Before you all break your arms patting yourselves on the back and require tongue retreads from hailing each other, can I just say something please?
Thank you for your kind accomodation! Let me say this
Naona uko Obsessed na majina ya watu sana.Sijui jina la Ben linaingiaje kwenye huu mjadala......Unapenda sana kuingia kwenye personal issues...kwako personal vendatta ndiyo hoja.Unastahili kuonyesha ni kitu gani kimekufanya au kuhalalisha wewe kunihusisha na hayo mambo uliyoandika hapo juu otherwise utuache tufanye kazi ya kukijenga chama chetu.hizo grudges zako zihifadhi kwenye friji mkuu,tuwe objective.the fact kwamba uko nyuma ya ID fake isikufanye uandike vitu ambavyo ni vya kinafiki,iam sure nikutana na wewe huna courage ya kuniambia hayo unayoandika kuhusu mimi au wengine,are you?
Kuwapa nafasi za uongozi? Eboh ! Unamaanisha mimi kupewa nini vile?... kwa nipewe nafasi ya uongozi?kwa misingi ipi?For your information mimi siwezi kuwa mwanasiasa wa hovyo kiasi hicho.Unaonekana unahusudu sana vyeo vya kupewa bila tathmini.Sijawahi kujitathmini na kuona kwamba ninastahili kingine ndani ya Bavicha zaidi ya MWENYEKITI WA VIJANA.So,kuanzia leo uelewe hilo.
Sijui unajua maana ya kiiongozi/uongozi. What we need is leadership. Someone who inspires people to follow him by his words and actions. Someone who has vision,energy and youth that can lead a team of similar traits to formulate and implement agendas/policies that will unite,impact positively on the lives of the populace.
Poor Ben yaani wewe unajiona matawi ya juu kuwa huwezi kufanyakazi zingine za chama hadi uwe mwenyekiti duh! itabidi niiweke kwenye signature yangu, ila sidhani kama chama kinahitaji watu wa aina hiyo.
Ila hapa Ben usijitetee sentensi iko wazi kabisa kuwa wewe ulichotaka ni kuwa Mwenyekiti wa Bavicha na si kingine kukubali nako ni uungwana
wana chadema tuweke tofauti pembeni ili tuweze kujikita kupambana na ccm; hawa akina ben ambao hawapo tayari kuongoza pasipo kupata nafasi ya uenyekiti wa vijana, hawatufai!!! tuwapotezee kabisa, walifuata vyeo wamekosa, hawana utashi tena wa kufanya kazi za chama
Nilipobold umeonyesha ulivyo mimi nimekuelewa labda yeye hakukuelewa, na mimi nimemaliza sitarajii kukujibu tena....Nimemaliza.Baada ya hapo huyu akarukia...................................! ! He he he,this is hillarious Angalia hapa chini
Hatimaye na wewe ukagonga gonga keyboards hatimaye ukaibuka na busara hizi....................!
haya nimemaliza na nimefanya uungwana,sitarajiii kukujibu tena labda kama kuna mahali kuna tatizo la kweli....Nimemaliza.
Tutake radhi sisi kampeni yetu na mikutano tunafanyia Ubungo Plaza sana sana Manzese TipTop nani aende kwenye vumbi Igunga vijijini.Wish all the best by the way huko Igunga umeme unapatikana.
Nafurahia hii bifu.....ila mnatafsiri vibaya,hajawahi kujiona kama yeye ni bab kubwa na kutaka kitengo alipokosa uenyekiti.Ila hapa Ben usijitetee sentensi iko wazi kabisa kuwa wewe ulichotaka ni kuwa Mwenyekiti wa Bavicha na si kingine kukubali nako ni uungwana
Utakuwa uanishi ughaibuni Sarawatti wa Raia Mwema alikuwa akivuta vijisenti vya Lema tangu mwaka jana ukitaka fuatilia makala za Sarawatti kuanzia mwaka jana kipindi cha uchaguzi.Binafsi niliwahi kumuuliza Sarawatti ni kwanini makala zinazomhusu Lema suala la elimu hajawahi kulizungumzia akabaki anacheka !.Raia Mwema ni gazeti langu kabla Rai haijavamiwa na mafisadi nilijaribu mara kadhaa kuwasiliana na mhariri azifuatilie habari za Arusha kwa umakini sana kwakuwa hazikuwa balanced kabisa.Nafurahi toleo jipya Sarawatti kaanza kuandika habari balanced pengine wakuu wake waligundua mauza uza ya mwandishi.
Moja ya vitu ambavyo vinasababisha ufisadi kushamiri hapa nchini ni tabia ya watu kuwapima watu kutkana na vyeti na shahada na sio utendaji wao. Hii katika elimu ya Tanzania iliyojaa ufisadi unaweza kumuamini nani hata madokta wengi ni vihiyo tu!!