min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 57,960
- 166,047
Haikubaliki kabisa bwasheeAnachukua notes za uraia anataka tuzitumie kwenye sayansi kimu anasahau huku ni mareaction
Haikubaliki kabisa bwasheeAnachukua notes za uraia anataka tuzitumie kwenye sayansi kimu anasahau huku ni mareaction
Naam...nafanya kazi na wenzetu wazungu wako makini sana pombe kwao ni part of celebration au furaha Fulani hivi na ukienda China kama unataka mke ukienda kwa wakwe lazima ukatie kidogo mpige stories ili wakujue vizuri😀
Hata sisi wamatumbi tunazo sababuNaam...
Wazungu naona wakinywa lazima awe na sababu kwanini anakunywa..
Atasema either ni weekend, ama anasheherekea jambo fulani.. ama kakutana na rafiki yake wa miaka mingi..
Kabla hajanywa anatafuta sababu ya kwanini ninywe pombe leo... japo sikatai kuna wengine walevi pia..
Lakini naona tamaduni zao wamelelewa kika anapokunywa pombe basi kuna sababu.. nadhani ni utamaduni mzuri..
Kuna jamaa anasema yeye ameanza kuchanganyiwa pombe kwenye uji 😆🤣🤣.. unafikiri mchezo..Hata sisi wamatumbi tunazo sababu
Mama zetu zamani walikua kabla ya kwenda shamba wanatulisha tunashiba , halafu tunapewa mbege kidogo , tunalala wao wanaenda porini / shamba wakirudi wanakuta bado tumelala 🤣Kuna jamaa anasema yeye ameanza kuchanganyiwa pombe kwenye uji 😆🤣🤣.. unafikiri mchezo..
Pombe ni sehemu ya tamaduni na mila za jamii zetu za Kiafrika, inaheshimika..Mama zetu zamani walikua kabla ya kwenda shamba wanatulisha tunashiba , halafu tunapewa mbege kidogo , tunalala wao wanaenda porini / shamba wakirudi wanakuta bado tumelala 🤣
Baba yako ana miaka 43?pombe ni nzuri ikiwa kwa kiasi maisha yamebadilika sana watu wanapitia changamoto nyingi sana nadhani hata aliegundua pombe alijua pombe ipi nzuri na ipi mbaya cha msingi ni kuwa makini tu sisi tumelelewa na Mzee wetu alikuwa mkali sana lakini akilewa mtakula chochote mnachotaka na mtacheza mziki shopping juu na outing nashindwa kuelewa ubaya WA pombe na uzuri wake wengine wakinywa wanakuwa wazuri wengine wakinywa wanakuwa wabaya na kila kitu kinaharibika baadae ya Mzee wangu wangu kuacha pombe sasa hivi anaichukia sana na aliweza kujenga na kubadili mfumo wake WA kiimani, uchumi na kiafya @43 Leo yuko fit sana na huwezi amini alikuwa Mlevi mbwa. pombe ni kipimo cha utu ikiwa kwa kiasi Haina shida ni dawa.
Mzungu gani huyo?Naam...
Wazungu naona wakinywa lazima awe na sababu kwanini anakunywa..
Atasema either ni weekend, ama anasheherekea jambo fulani.. ama kakutana na rafiki yake wa miaka mingi..
Kabla hajanywa anatafuta sababu ya kwanini ninywe pombe leo... japo sikatai kuna wengine walevi pia..
Lakini naona tamaduni zao wamelelewa kika anapokunywa pombe basi kuna sababu.. nadhani ni utamaduni mzuri..
Kama mzee Warioba hadi leo anajipigia vitu vyake..Haikubaliki kabisa bwashee
Nimesema walio wengi...Mzungu gani huyo?
Haya yote yanampata mtu mmoja? Au kila mmoja anajichagulia tatzo lake anaishi nalo?Madhara ya unywaji wa pombe:
- Uharibifu wa ini (fatty liver, hepatitis, cirrhosis)
- Saratani ya ini, koo, umio, matiti, na sehemu nyingine za mwili
- Magonjwa ya moyo na shinikizo la damu
- Uharibifu wa ubongo na kupungua kwa kumbukumbu
- Uraibu (ulevi wa kudumu / addiction)
- Kudhoofisha mfumo wa kinga ya mwili
- Matatizo ya kiafya ya akili (msongo wa mawazo, wasiwasi, mfadhaiko)
- Kuharibu uwezo wa uzazi na nguvu za kiume
- Hatari kwa mimba (mtoto kuzaliwa na matatizo ya kimaumbile - Fetal Alcohol Syndrome)
- Kuongeza hatari ya ajali (barabarani, kazini, nyumbani)
- Kudhoofisha uamuzi na tabia hatarishi (ngono zisizo salama, ugomvi)
- Uharibifu wa kongosho (pancreatitis)
- Kupungua kwa uwezo wa mwili kupambana na maambukizi
- Matatizo ya usingizi
- Kuongeza uzito kupitia kalori nyingi zisizo na virutubisho
- Migogoro ya kifamilia na kijamii kutokana na ulevi
- Vifo vinavyotokana na overdose au sumu ya pombe (alcohol poisoning)
Same kwa waafrika a.k.a blacks..Nimesema walio wengi...
Sio wote.. wengine ni walevi tu..
Aise mbona kam unasingizia pombe MkuuMadhara ya unywaji wa pombe:
- Uharibifu wa ini (fatty liver, hepatitis, cirrhosis)
- Saratani ya ini, koo, umio, matiti, na sehemu nyingine za mwili
- Magonjwa ya moyo na shinikizo la damu
- Uharibifu wa ubongo na kupungua kwa kumbukumbu
- Uraibu (ulevi wa kudumu / addiction)
- Kudhoofisha mfumo wa kinga ya mwili
- Matatizo ya kiafya ya akili (msongo wa mawazo, wasiwasi, mfadhaiko)
- Kuharibu uwezo wa uzazi na nguvu za kiume
- Hatari kwa mimba (mtoto kuzaliwa na matatizo ya kimaumbile - Fetal Alcohol Syndrome)
- Kuongeza hatari ya ajali (barabarani, kazini, nyumbani)
- Kudhoofisha uamuzi na tabia hatarishi (ngono zisizo salama, ugomvi)
- Uharibifu wa kongosho (pancreatitis)
- Kupungua kwa uwezo wa mwili kupambana na maambukizi
- Matatizo ya usingizi
- Kuongeza uzito kupitia kalori nyingi zisizo na virutubisho
- Migogoro ya kifamilia na kijamii kutokana na ulevi
- Vifo vinavyotokana na overdose au sumu ya pombe (alcohol poisoning)
Hivi kumbe ana kula vyombo 😅Kama mzee Warioba hadi leo anajipigia vitu vyake..
Na mzee huwa anapiga vikali lakini ukimuona kwa umri wake yupo vizuri.. anajielewa sana..
Kaanza kunywa kwenye ujana..
Mzee wake labda ndio mimi hapa bwashee 😅Baba yako ana miaka 43?
Mbona katundika daruga bado chalii? Wewe una umri gani sasa?