Madhara ya unywaji wa Pombe

Madhara ya unywaji wa Pombe

Hayo ni madhara ya pombe ( kimpumu, mataputapu,pingu,kangala etc) wanywa bia haiwahusu kwa pamoja tuupinge huu uzushi.
BIA SIO POMBE NI BIERE
 
muogope mtu anayekunywa pombe mwenyewe ana maumivu mengi sana afu pombe inachangia sana kuharibu u bongo wa mtu unakuta mtu anakunywa pombe sana Leo kesho hakumbuki kitu lakini mlipanga vitu vingi vya msingi na ideas za ushindi
Pole Sana kama ideas za ushindi unapanga na watu
 
Kama furaha yako ni uji focus na uji.

Nipo najiandaa apa by 1100hrs inatakiwa niwe Beach Resort nianze na cocktails kwanza mpaka ifike night kitakuwa kimeeleweka 🥂
 
Tumepewa figo na ini nzima unataka turudi nazo zikiwa nzima sasa, tutalaaniwa mkuu.

Acha tuzimalize tukifika huko tunapewa mwili mpya

Beer forever
 
Sijajua mkuu, wamarangu sio wanywaji sana , rombo wanakunywa mno , pia wanajua kusaka pesa kama vichaa🤣
Kuna kipindi nilikuwa marangu aisee saa 3 asubuhi unakuta mtu yuko tungi mbaya, wengine wanapepesuka na kuanguka, kule gongo ndo shida
 
Back
Top Bottom