Andromeda Galaxy
JF-Expert Member
- Feb 7, 2025
- 8,613
- 13,946
Kule pombe imekithiri mno bwasheeHawajitambui hao bwashee
Kule pombe imekithiri mno bwasheeHawajitambui hao bwashee
Yeah sehemu nyingi tu pombe imeharibu ukienda iringa mpaka wameota vunza , pombe chafu zipigwe marufukuKule pombe imekithiri mno bwashee
Kabisa bwashee, kama wakishindwa waziongeze beiYeah sehemu nyingi tu pombe imeharibu ukienda iringa mpaka wameota vunza , pombe chafu zipigwe marufuku
Zile mbaya sana zinaharibu mpaka ubongoKabisa bwashee, kama wakishindwa waziongeze bei
ijumaa ya leo pombe na nyama karibuMadhara ya unywaji wa pombe:
- Uharibifu wa ini (fatty liver, hepatitis, cirrhosis)
- Saratani ya ini, koo, umio, matiti, na sehemu nyingine za mwili
- Magonjwa ya moyo na shinikizo la damu
- Uharibifu wa ubongo na kupungua kwa kumbukumbu
- Uraibu (ulevi wa kudumu / addiction)
- Kudhoofisha mfumo wa kinga ya mwili
- Matatizo ya kiafya ya akili (msongo wa mawazo, wasiwasi, mfadhaiko)
- Kuharibu uwezo wa uzazi na nguvu za kiume
- Hatari kwa mimba (mtoto kuzaliwa na matatizo ya kimaumbile - Fetal Alcohol Syndrome)
- Kuongeza hatari ya ajali (barabarani, kazini, nyumbani)
- Kudhoofisha uamuzi na tabia hatarishi (ngono zisizo salama, ugomvi)
- Uharibifu wa kongosho (pancreatitis)
- Kupungua kwa uwezo wa mwili kupambana na maambukizi
- Matatizo ya usingizi
- Kuongeza uzito kupitia kalori nyingi zisizo na virutubisho
- Migogoro ya kifamilia na kijamii kutokana na ulevi
- Vifo vinavyotokana na overdose au sumu ya pombe (alcohol poisoning)
Kabisa bwashee mtu unawehukaZile mbaya sana zinaharibu mpaka ubongo