Madhara ya unywaji wa Pombe

Madhara ya unywaji wa Pombe

Madhara ya unywaji wa pombe:

  • Uharibifu wa ini (fatty liver, hepatitis, cirrhosis)
  • Saratani ya ini, koo, umio, matiti, na sehemu nyingine za mwili
  • Magonjwa ya moyo na shinikizo la damu
  • Uharibifu wa ubongo na kupungua kwa kumbukumbu
  • Uraibu (ulevi wa kudumu / addiction)
  • Kudhoofisha mfumo wa kinga ya mwili
  • Matatizo ya kiafya ya akili (msongo wa mawazo, wasiwasi, mfadhaiko)
  • Kuharibu uwezo wa uzazi na nguvu za kiume
  • Hatari kwa mimba (mtoto kuzaliwa na matatizo ya kimaumbile - Fetal Alcohol Syndrome)
  • Kuongeza hatari ya ajali (barabarani, kazini, nyumbani)
  • Kudhoofisha uamuzi na tabia hatarishi (ngono zisizo salama, ugomvi)
  • Uharibifu wa kongosho (pancreatitis)
  • Kupungua kwa uwezo wa mwili kupambana na maambukizi
  • Matatizo ya usingizi
  • Kuongeza uzito kupitia kalori nyingi zisizo na virutubisho
  • Migogoro ya kifamilia na kijamii kutokana na ulevi
  • Vifo vinavyotokana na overdose au sumu ya pombe (alcohol poisoning)
Ni baada ya muda gani hayo madhara yanayokea ?
Maana kijijini kwetu kule kuna wazee wa miaka 90 wanakunywa pombe tokea ujana wao.

Kwa lugha rahisi ana miaka zaidi ya 50 tokea aanze kunywa pombe na yupo fiti kiafya.
 
Ni baada ya muda gani hayo madhara yanayokea ?
Maana kijijini kwetu kule kuna wazee wa miaka 90 wanakunywa pombe tokea ujana wao.

Kwa lugha rahisi ana miaka zaidi ya 50 tokea aanze kunywa pombe na yupo fiti kiafya.
Msesewe una ondoa cholesterol bwashee😅
 
pombe ni nzuri ikiwa kwa kiasi maisha yamebadilika sana watu wanapitia changamoto nyingi sana nadhani hata aliegundua pombe alijua pombe ipi nzuri na ipi mbaya cha msingi ni kuwa makini tu sisi tumelelewa na Mzee wetu alikuwa mkali sana lakini akilewa mtakula chochote mnachotaka na mtacheza mziki shopping juu na outing nashindwa kuelewa ubaya WA pombe na uzuri wake wengine wakinywa wanakuwa wazuri wengine wakinywa wanakuwa wabaya na kila kitu kinaharibika baadae ya Mzee wangu wangu kuacha pombe sasa hivi anaichukia sana na aliweza kujenga na kubadili mfumo wake WA kiimani, uchumi na kiafya @43 Leo yuko fit sana na huwezi amini alikuwa Mlevi mbwa. pombe ni kipimo cha utu ikiwa kwa kiasi Haina shida ni dawa.
 
H
Madhara ya unywaji wa pombe:

  • Uharibifu wa ini (fatty liver, hepatitis, cirrhosis)
  • Saratani ya ini, koo, umio, matiti, na sehemu nyingine za mwili
  • Magonjwa ya moyo na shinikizo la damu
  • Uharibifu wa ubongo na kupungua kwa kumbukumbu
  • Uraibu (ulevi wa kudumu / addiction)
  • Kudhoofisha mfumo wa kinga ya mwili
  • Matatizo ya kiafya ya akili (msongo wa mawazo, wasiwasi, mfadhaiko)
  • Kuharibu uwezo wa uzazi na nguvu za kiume
  • Hatari kwa mimba (mtoto kuzaliwa na matatizo ya kimaumbile - Fetal Alcohol Syndrome)
  • Kuongeza hatari ya ajali (barabarani, kazini, nyumbani)
  • Kudhoofisha uamuzi na tabia hatarishi (ngono zisizo salama, ugomvi)
  • Uharibifu wa kongosho (pancreatitis)
  • Kupungua kwa uwezo wa mwili kupambana na maambukizi
  • Matatizo ya usingizi
  • Kuongeza uzito kupitia kalori nyingi zisizo na virutubisho
  • Migogoro ya kifamilia na kijamii kutokana na ulevi
  • Vifo vinavyotokana na overdose au sumu ya pombe (alcohol poisoning)
Hata kuchakata mbususu kuna madhara,Kuvuta sigara,Kutumia vipodozi,Kula chips mara kwa mara,Kunywa soda kwa wingi,Kula nyama nyekundu kunaua figi,chumvi nyingi nk
 
Back
Top Bottom