Kitambi noma mkuu, pombe zina umua mwili tofauti na hapo ningezimua kila siku😅Hakika bwashee, mi nikajua tunalewa kila siku
Wanasema ukiwa unakunywa kile kinywaji yule ndugu amenyanyua mikono juu na jamii ya hizo inakata mafuta na kupunguza viribatumbo bwasheeKitambi noma mkuu, pombe zina umua mwili tofauti na hapo ningezimua kila siku😅
Hahaha sio kweli inategemea una kula vipi, mfano mimi natumia sana supu ya samaki wabichi kuliko supu ya nyama hiyo sio rahisi ufutuke , nyama pombe na kitambi ni ndugu mmojaWanasema ukiwa unakunywa kile kinywaji yule ndugu amenyanyua mikono juu na jamii ya hizo inakata mafuta na kupunguza viribatumbo bwashee
Kumbe? Ndiyo maana huu ukanda wa Marangu mpaka Tarakea waume kwa wake wote wana viribatumboHahaha sio kweli inategemea una kula vipi, mfano mimi natumia sana supu ya samaki wabichi kuliko supu ya nyama hiyo sio rahisi ufutuke , nyama pombe na kitambi ni ndugu mmoja
Wakuone kama ulilewa ni mtambo!nafanya kazi na wenzetu wazungu wako makini sana pombe kwao ni part of celebration au furaha Fulani hivi na ukienda China kama unataka mke ukienda kwa wakwe lazima ukatie kidogo mpige stories ili wakujue vizuri😀
Sijajua mkuu, wamarangu sio wanywaji sana , rombo wanakunywa mno , pia wanajua kusaka pesa kama vichaa🤣Kumbe? Ndiyo maana huu ukanda wa Marangu mpaka Tarakea waume kwa wake wote wana viribatumbo
Tatizo watu wabishi sana.Madhara ya unywaji wa pombe:
- Uharibifu wa ini (fatty liver, hepatitis, cirrhosis)
- Saratani ya ini, koo, umio, matiti, na sehemu nyingine za mwili
- Magonjwa ya moyo na shinikizo la damu
- Uharibifu wa ubongo na kupungua kwa kumbukumbu
- Uraibu (ulevi wa kudumu / addiction)
- Kudhoofisha mfumo wa kinga ya mwili
- Matatizo ya kiafya ya akili (msongo wa mawazo, wasiwasi, mfadhaiko)
- Kuharibu uwezo wa uzazi na nguvu za kiume
- Hatari kwa mimba (mtoto kuzaliwa na matatizo ya kimaumbile - Fetal Alcohol Syndrome)
- Kuongeza hatari ya ajali (barabarani, kazini, nyumbani)
- Kudhoofisha uamuzi na tabia hatarishi (ngono zisizo salama, ugomvi)
- Uharibifu wa kongosho (pancreatitis)
- Kupungua kwa uwezo wa mwili kupambana na maambukizi
- Matatizo ya usingizi
- Kuongeza uzito kupitia kalori nyingi zisizo na virutubisho
- Migogoro ya kifamilia na kijamii kutokana na ulevi
- Vifo vinavyotokana na overdose au sumu ya pombe (alcohol poisoning)
Wanasema pombe inakadiriwa iligunduliwa 130000 iliyo pita , hizo notes bado hazitoshei kuipa heshima yake pombe bwasheeTatizo watu wabishi sana.
Nachojua kila kitu kina madhara cha msingi ni kuzingatia kiasi na pia mazoezi ya mwili ni muhimu na kula kiafya.Wanasema pombe inakadiriwa iligunduliwa 130000 iliyo pita , hizo notes bado hazitoshei kuipa heshima yake pombe bwashee
Daktari umegoma kabisa kuchukua notes sio🤣Ikiwa nilienda kucheza muhimbili basi endelea kunisimulia kuhusu afya yangu eti kisa pombe .
Ila nikuhakikishie sitaacha leo wala kesho pombe sababu hainitendei chochote kibaya kama unavyoishitakia kwangu
Anachukua notes za uraia anataka tuzitumie kwenye sayansi kimu anasahau huku ni mareactionDaktari umegoma kabisa kuchukua notes sio🤣