cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 117,151
- 190,164
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Aagh,
Akifikisha huo umri,govi linajaaa unga. Akibinjua tu ukoko huu hapa..!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Aagh,
Akifikisha huo umri,govi linajaaa unga. Akibinjua tu ukoko huu hapa..!
19 yrs ndo ukatoa govi? Be4 ulikua na mzura? Je uchafu wake ukipinyua?Hii ya kutahiri kichanga siikubali kabisa.... Mimi mwenyewe nimekata nikiwa mkubwa kabisa... Nikiwa Form Four wa miaka 19 kipindi hicho.... Na naiona mashine mpya Kila wakati ikiwa katika ubora wake..... Maninaaaa....[emoji1787][emoji1787][emoji119]
Hongeraa asee SH, nje ya hilo, waliotahiriwa jando la porini.Yupo tayari kutolewa govi.
Ingekuwa ni Mimi ningempeleka jando la kienyeji kama nilivyofanyiwa Mimi.
Sipendi mb** iwe imezungushiwa nyuzi za hospital zinaleta manundu kwenye Njia- anakuwa siyo smooth.
Enzi zetu tulitahiriwa na viwembe,wakati wa kubadilisha na kuisha bidonda tulikuwa tunat*mb* vifuu vyenye maji kutoa plaster kisha inawekwa dawa. Full kienyeji.
Nipigie babyTamu hiloo, likioshwa vizuri linanyonywa mpaka linatoa maziwa meupe.
westerners hii sio culture yao wameiga toka central east.Western culture au sio
Daaaahhh! Safi sana.Mkuu umenikumbusha mbali sana!
Kuna wale wazee wa kusimamia watoto polini—asee, ni wakuda kinoma. Picha linaanza unakatwa bila ganzi kudadadekiii! 🤣🤣
Ukilia wakati wa kukatwa, unachekwa na kuchezewa mbata za mgongo huku unasindikizwa na maneno:
Babu yako anakupakata anakupa maneno ya kishujaa. Basi, kiume tu, chozi linakatika, unakaza!
Sasa, kimbembe kinakuja siku ya kuondoa bandage ya zamani uweke mpya pamoja na dawa. 🤣🤣🤣
Aseeh, ukitaka amani jitatue mwenyewe baba. Watakupa maji ya moto uloweshe dushe, alafu ujitatue taratibu mwenyewe. Oyaaaa yale maumivu sio kweli daaaah!!!
Unajitatua, af kuna sehemu lazima inakuwa na usumbufu fulani ilimradi tu ukwame, aje mrombo wa jando akutatue. Aaaah watu hawana huruma hao!
Pilika za jando aseeeh, zimetufanya tuwe wanaume haswaa!
Zamani hadi unakaa msituni mwezi na nusu—humuoni mama wala bibi, kifupi huoni mwanamke yeyote hadi siku ya kurudi home.
Na ile siku mnaambiwa
"Sasa leo ni siku ya kurudi nyumbani."
Lile boma (jengo la miti) la msituni linatakiwa lichomwe moto wakati mpo ndani. Likishawashwa tu, mnatakiwa mu-escape huo moto kwa namna yoyote (hii ishu mnakuw trained wiki mbili, so haiwi risk at all). Ni ishara ya ukomavu kwa watoto waliokaa msituni mwezi mmoja na wiki mbili.
Hii ishu ndo inafanya kwetu kusiwe na tabia ya kutahiri watoto wakiwa wadogo lazima apitie hizi ishu. Imagine unampeleka mtoto wa miaka 4, atatoboa hapo? Ngumu sana!
Tohara kwetu sio kuondoa govi tu; ni mafunzo ya kuandaa mtoto kuwa mwanaume jasiri.
Mtoto akirudi home, hatakiwi kuogeshwa na mama wala dada—ni kaka au baba tu. Ndololo haitakiwi ionekane na dada tena.
Oyaaa, kwetu kuna zile kamba wanafungaga ndololo ikiwa imepona, ili ipate kukua na kweli inakua kudadekiii!
Midume mnashindana kuonesha dushe tuuuu. Sio poa aseeh.
Hii mitoto ya sasa hivi inatahiriwa na kuogeshwa na bimkubwa—ovyo kabisa! Hahahahaha
Mtoto analilia soda! Hatari sana.
Zamani ukililia soda unasimamishwa juu bila nguo, unakunja mguu mmoja mtindo wa 4, halafu chini wanaweka makaa ya moto. Sasa shusha mguu uungueee! Hakuna huruma kwenye kuandaa mtoto wa kiume!
Sasa hivi? Looool!
Watoto hawa acha tu!
Miaka 6Mtoto wa umri gani?
Naam,Coca.Hongeraa asee SH, nje ya hilo, waliotahiriwa jando la porini.
Wana kitu fulaani spesho, ntasema siku ingine. Lol
Aaah ok...westerners hii sio culture yao wameiga toka central east.
We division four hilo komwe ni lako au umeazima??Tamu hiloo, likioshwa vizuri linanyonywa mpaka linatoa maziwa meupe.
Kuna shida anaweza kuja kuwa shoga ...tofauti na zamani kulikuwa hakuna shida ...kuchelewa kumtahiri kunafanya mtoto wa kiume kuwa na aibu zaidi hata kwa wavulana wenzake na zaidi kwa wasichana kunamfanya asijiamini ...zamani ilikuwa hakuna madhara kwa sababu wavulana wote kwa pamoja walikuwa wanachelewa kutahiri au wanatahiliwa kwa wakati mmojaHata akifika 15 hakuna shida
Umri sahihi ni kabla ya kuanza shuleNadhani umri sahihi ni angalau miaka 9 mtoto akianza kuwa kijana mdogo ile balehe ya mwanzo mwanzo hapo unampeleka jando. Hizi za utotoni ni kucheza bikko na uzao wako
Uhakikaa sanaNaam,Coca.
Sisi wa jando la porini hatujapooza kama embe la mtoni.
Andaa Uzi kabisa kisha unitag.
Kabla ya kuanza shule ndio umri gani huo?, una maanisha miaka 5 kushuka chini?. Kama ni hivyo basi mnawakisea sana hao watoto.Umri sahihi ni kabla ya kuanza shule
Wayahudi wana madktari specialist kwa ajili ya kutahiri tu na wanalipwa vizuri Sana. Na wengi wao wanaanza kufundishwa kazi hiyo kuanzia wakiwa wadogo. Wanafundishwa na baba zao nao wanawarithisha watoto wao.wayahudi huwa wanatahiri mtoto akifikisha siku 8. watoto wangu mimi huwa natahiri wakifikisha walau miaka 5. binafsi nilitahiri baada ya kubalehe, naamini pia masai hutahiri wakati wa kuvukia balehe, na wakurya pia. ningepewa kushauri watu ningesema watahiri wakiwa na miaka walau 12 wakati tayari kanaanza kusimama ili kakisimama utengano wa govi na yenyewe uonekane vizuri na ikatwe ngozi tu bila kukata maeneo yaliyobeba hisia. kukata kakiwa kachang a kadudu kanakuwa kadogo mno na kuna uwezekano kufanya vibaya/kukata kupita kiasi though wengine wanasema ukikata kakiwa kachanga kanapata nafasi zaidi ya kunenepa/kuvimba sehemu ulizokata jambo ambalo linaboresha wakati wa tendo na kurefuka zaidi. madaktari wanajua.
Nilikua naangaza hii Comment. Nikumbuke KijijiniMkuu umenikumbusha mbali sana!
Kuna wale wazee wa kusimamia watoto polini—asee, ni wakuda kinoma. Picha linaanza unakatwa bila ganzi kudadadekiii! 🤣🤣
Ukilia wakati wa kukatwa, unachekwa na kuchezewa mbata za mgongo huku unasindikizwa na maneno:
Babu yako anakupakata anakupa maneno ya kishujaa. Basi, kiume tu, chozi linakatika, unakaza!
Sasa, kimbembe kinakuja siku ya kuondoa bandage ya zamani uweke mpya pamoja na dawa. 🤣🤣🤣
Aseeh, ukitaka amani jitatue mwenyewe baba. Watakupa maji ya moto uloweshe dushe, alafu ujitatue taratibu mwenyewe. Oyaaaa yale maumivu sio kweli daaaah!!!
Unajitatua, af kuna sehemu lazima inakuwa na usumbufu fulani ilimradi tu ukwame, aje mrombo wa jando akutatue. Aaaah watu hawana huruma hao!
Pilika za jando aseeeh, zimetufanya tuwe wanaume haswaa!
Zamani hadi unakaa msituni mwezi na nusu—humuoni mama wala bibi, kifupi huoni mwanamke yeyote hadi siku ya kurudi home.
Na ile siku mnaambiwa
"Sasa leo ni siku ya kurudi nyumbani."
Lile boma (jengo la miti) la msituni linatakiwa lichomwe moto wakati mpo ndani. Likishawashwa tu, mnatakiwa mu-escape huo moto kwa namna yoyote (hii ishu mnakuw trained wiki mbili, so haiwi risk at all). Ni ishara ya ukomavu kwa watoto waliokaa msituni mwezi mmoja na wiki mbili.
Hii ishu ndo inafanya kwetu kusiwe na tabia ya kutahiri watoto wakiwa wadogo lazima apitie hizi ishu. Imagine unampeleka mtoto wa miaka 4, atatoboa hapo? Ngumu sana!
Tohara kwetu sio kuondoa govi tu; ni mafunzo ya kuandaa mtoto kuwa mwanaume jasiri.
Mtoto akirudi home, hatakiwi kuogeshwa na mama wala dada—ni kaka au baba tu. Ndololo haitakiwi ionekane na dada tena.
Oyaaa, kwetu kuna zile kamba wanafungaga ndololo ikiwa imepona, ili ipate kukua na kweli inakua kudadekiii!
Midume mnashindana kuonesha dushe tuuuu. Sio poa aseeh.
Hii mitoto ya sasa hivi inatahiriwa na kuogeshwa na bimkubwa—ovyo kabisa! Hahahahaha
Mtoto analilia soda! Hatari sana.
Zamani ukililia soda unasimamishwa juu bila nguo, unakunja mguu mmoja mtindo wa 4, halafu chini wanaweka makaa ya moto. Sasa shusha mguu uungueee! Hakuna huruma kwenye kuandaa mtoto wa kiume!
Sasa hivi? Looool!
Watoto hawa acha tu!