Madhara ya kutahiri mtoto mchanga

Madhara ya kutahiri mtoto mchanga

Tukubaliane tu majira,nyakati na watu (wa/zi)na badilika,
Kwa sasa huwezi kufanya mambo kama ulivyofanya miaka ya 1990 mpk 2000,
Tuheshimu process.
Mm nilitahiriwa miaka kabla ya 2000 kurudi nyuma,nikiwa chalii.
Lkn nikaja kushiriki ma camp ya jando ya wenzangu walio tahiriwa wakiwa wkubwa kuanzia 9-13.
Ilikuwa ya kibabe,,
Camp liko vichakani huko ni mbali na makazi ya watu..
Usiku ni disco km la jkt la ile 6week.
Ni nyimbo tu za kishujaa hamna redio hapo.
Mchana.
Ni kukaa apo uchiuchi ole wako uonekane umedindisha ,unalimwa rungu la ugoko,ama joint za miguu mpk ki Boro kilale kama mlinzi wa guest..
Ni mwendo wa kiaskari ,hakuna mtoto wa mama kule,
Mgeni anaekuja kuwa tembelea camp, hatua 20 kabla hujafikia lango kuna namna ya kupiga hodi (code)lazima upige km hujui utafundishwa wkt unatoka lkn tyr umeshapigwa bakora,utaenda kuwapa code wenzio huko ukishaijua.

Yapo mengi yakufurahisha..wakikaribia kupona labda week ya 3,apo sasa ni
kuzulura na minati wenye shabaha ndege zitawindwa ,week yote ni kuchoma ndege tu.
Siku ya kutoka sasa daa iyo ndo ina vibe yaani ni sherehe..
(Maana unakuta camp vijana wamekusanywa kutoka labda nyumba 5/7) kwaivyo vijana wataoga watapendeza ni mwendo kutembea nyumba hadi nyumba ,wtaokota 50 50 na 100 100 kama zote na soda mtakunywa siku hyo.
hapo wazee wetu ni mwendo wa pombe za kienyeji na disco uchwara ya redio cassette tena casio.

Nyakati hizi kumejengeka sana,maendeleo kibao wakulima wamevamia maeneo,wakata mikaa na mbao wamefyeka vby .. hata sehemu za kuwinda ndege hazipo tena.
Wazazi ndio hawa tena watoto 2000 hawaelewi kitu kuhusu ujamaa.
Juzi kati nimempeleka first born wangu ana miaka mitano kasoro.
Nikawaza nimpeleke kizamani lkn nyakati zinanigomea kabisa.
Nimewazaa Town huku bs taflani.


Ikiwa nykt kwa baadhi yetu hazikimbii mfn umasaini unaweza kutahiri kwa miaka hyo 9 nakuendelea..
Lkn wengineo 90% tunajikuta tunatahir Wachanga tumechelewa mpk wazazi kwa wazazi tunachekana miaka 4/6.
Ikifika 9 hajatahiriwa huyo mtto shuleni kazi anayo,atanyanyaswa kisaikolojia na wenzie.
Nyakati Shikamoo.
 
Tukubaliane tu majira,nyakati na watu (wa/zi)na badilika,
Kwa sasa huwezi kufanya mambo kama ulivyofanya miaka ya 1990 mpk 2000,
Tuheshimu process.
Mm nilitahiriwa miaka kabla ya 2000 kurudi nyuma,nikiwa chalii.
Lkn nikaja kushiriki ma camp ya jando ya wenzangu walio tahiriwa wakiwa wkubwa kuanzia 9-13.
Ilikuwa ya kibabe,,
Camp liko vichakani huko ni mbali na makazi ya watu..
Usiku ni disco km la jkt la ile 6week.
Ni nyimbo tu za kishujaa hamna redio hapo.
Mchana.
Ni kukaa apo uchiuchi ole wako uonekane umedindisha ,unalimwa rungu la ugoko,ama joint za miguu mpk ki Boro kilale kama mlinzi wa guest..
Ni mwendo wa kiaskari ,hakuna mtoto wa mama kule,
Mgeni anaekuja kuwa tembelea camp, hatua 20 kabla hujafikia lango kuna namna ya kupiga hodi (code)lazima upige km hujui utafundishwa wkt unatoka lkn tyr umeshapigwa bakora,utaenda kuwapa code wenzio huko ukishaijua.

Yapo mengi yakufurahisha..wakikaribia kupona labda week ya 3,apo sasa ni
kuzulura na minati wenye shabaha ndege zitawindwa ,week yote ni kuchoma ndege tu.
Siku ya kutoka sasa daa iyo ndo ina vibe yaani ni sherehe..
(Maana unakuta camp vijana wamekusanywa kutoka labda nyumba 5/7) kwaivyo vijana wataoga watapendeza ni mwendo kutembea nyumba hadi nyumba ,wtaokota 50 50 na 100 100 kama zote na soda mtakunywa siku hyo.
hapo wazee wetu ni mwendo wa pombe za kienyeji na disco uchwara ya redio cassette tena casio.

Nyakati hizi kumejengeka sana,maendeleo kibao wakulima wamevamia maeneo,wakata mikaa na mbao wamefyeka vby .. hata sehemu za kuwinda ndege hazipo tena.
Wazazi ndio hawa tena watoto 2000 hawaelewi kitu kuhusu ujamaa.
Juzi kati nimempeleka first born wangu ana miaka mitano kasoro.
Nikawaza nimpeleke kizamani lkn nyakati zinanigomea kabisa.
Nimewazaa Town huku bs taflani.


Ikiwa nykt kwa baadhi yetu hazikimbii mfn umasaini unaweza kutahiri kwa miaka hyo 9 nakuendelea..
Lkn wengineo 90% tunajikuta tunatahir Wachanga tumechelewa mpk wazazi tunachekana miaka 4/6.
Ikifika 9 hajatahiriwa huyo mtto shuleni kazi anayo,atanyanyaswa kisaikolojia na wenzie.
Nyakati Shi
Sahihi kabisa halafu hata milli imebadilika pia kutoka mtindo wa maisha. Vyakula walivyo kuwa wanakula mama zetu miaka ya themanini na tisini wakati tupo tumboni huwezi linganisha na vyakula wanavyo kula wana wake wa nyakati hizi.

Vyakula pia vinachangia kumjenga mtoto kimwili.

So ukienda kumtahiri mtoto aliezaliawa 2017 Kimasahi au kikurya bila ganzi utakuwa unafanya jambo la hatari Sana.

Watoto wa miaka hii wanatakiwa kutahiriwa hospitali na ganzi
 
  • Thanks
Reactions: 1gb
Sahihi kabisa halafu hata milli imebadilika pia kutoka mtindo wa maisha. Vyakula walivyo kuwa wanakula mama zetu miaka ya themanini na tisini wakati tupo tumboni huwezi linganisha na vyakula wanavyo kula wana wake wa nyakati hizi.

Vyakula pia vinachangia kumjenga mtoto kimwili.

So ukienda kumtahiri mtoto aliezaliawa 2017 Kimasahi au kikurya bila ganzi utakuwa unafanya jambo la hatari Sana.

Watoto wa miaka hii wanatakiwa kutahiriwa hospitali na ganzi
Kabisa mkuu!
Na wanaosema sijui nguvu za kiume na vibamia sijui ni kwasabb ya kutahiri akiwa mtoto mi nakataa,
UPUNGUFU WA NGUVU NA KIBAMIA sababu ziko chungu nzima tena! Tofauti kwa mtu mmoja mmoja.

Eti kijana wa miaka hii ulinganishe uboo na kijana wa miaka ya 70/80/90 ni tofauti kabisa hasa ukuaji wa maumbile kwa wakati ule na sasa.
Hata ukiangali darasa la kwanza wa miaka hiyo si sawa na wa sasa,
Hta anae maliza darasa la saba la sasa hampati kimaumbile,maarfa na ufahamu wa darasa la kwanza wa miaka 70/80/90.
Walikuwa wakubwa wengine wanaanza shule wanakoroma vi besi, na anakabidhiwa kundi la ndama kwnda kuchunga.
Huyo huyo la kwanza unakuta ana uboo mkubwa lkn hajui matusi maana demu anampata wapi kipindi hicho?? Hahahahah aisee.
Sasa huyo akianza mapenzi upungufu wa ngvu za kiume utatoka wapi.?
 
Kabisa mkuu!
Na wanaosema sijui nguvu za kiume na vibamia sijui ni kwasabb ya kutahiri akiwa mtoto mi nakataa,
UPUNGUFU WA NGUVU NA KIBAMIA sababu ziko chungu nzima tena! Tofauti kwa mtu mmoja mmoja.

Eti kijana wa miaka hii ulinganishe uboo na kijana wa miaka ya 70/80/90 ni tofauti kabisa hasa ukuaji wa maumbile kwa wakati ule na sasa.
Hata ukiangali darasa la kwanza wa miaka hiyo si sawa na wa sasa,
Hta anae maliza darasa la saba la sasa hampati kimaumbile,maarfa na ufahamu wa darasa la kwanza wa miaka 70/80/90.
Walikuwa wakubwa wengine wanaanza shule wanakoroma vi besi, na anakabidhiwa kundi la ndama kwnda kuchunga.
Huyo huyo la kwanza unakuta ana uboo mkubwa lkn hajui matusi maana demu anampata wapi kipindi hicho?? Hahahahah aisee.
Sasa huyo akianza mapenzi upungufu wa ngvu za kiume utatoka wapi.?
100 percent Facts
 
That's too much
It is good hata akifika 18 . Unaacha misuli ya mtoto unakuwa vema. Ukimkata mdogo unapunguza growth rate ya muscles …. Not recommended

Nchi nyingine hawatahiri kabisa

Why umtahiri mtoto at 5 or 7 years ? Unamuaisha nini , ndio maana vitanzania mnaanza ngono mapema san 🤣

Kutahiri mapema ni mila za middle east ; muslims and Jews ….ndio mila zao Huo ni
Utaratibu wa kigeni sio wenu africa

Usi disturb muscles wacha dogo akuze mzigo, at age of 18 you càn proceed
 
Kabisa mkuu!
Na wanaosema sijui nguvu za kiume na vibamia sijui ni kwasabb ya kutahiri akiwa mtoto mi nakataa,
UPUNGUFU WA NGUVU NA KIBAMIA sababu ziko chungu nzima tena! Tofauti kwa mtu mmoja mmoja.

Eti kijana wa miaka hii ulinganishe uboo na kijana wa miaka ya 70/80/90 ni tofauti kabisa hasa ukuaji wa maumbile kwa wakati ule na sasa.
Hata ukiangali darasa la kwanza wa miaka hiyo si sawa na wa sasa,
Hta anae maliza darasa la saba la sasa hampati kimaumbile,maarfa na ufahamu wa darasa la kwanza wa miaka 70/80/90.
Walikuwa wakubwa wengine wanaanza shule wanakoroma vi besi, na anakabidhiwa kundi la ndama kwnda kuchunga.
Huyo huyo la kwanza unakuta ana uboo mkubwa lkn hajui matusi maana demu anampata wapi kipindi hicho?? Hahahahah aisee.
Sasa huyo akianza mapenzi upungufu wa ngvu za kiume utatoka wapi.?
Hakuna kitu nguvu ya kiume Tatizo mnakutana na wanawake ambao wametumika sana

A decent woman anafika sehemu yake chap just my talking

Hao wadada sampuli ya kina kajala na
Hamisa mtu anaishi kwa mwili wake ni lazima akuone huna nguvu

Wakat unapambana mwenzio anawqza vikoba na
Pesa ya ada
 
Ni hatari Sana mkuu. Hao wanao tahiriwa wachanga ndio hao vibamia na wanao lalamika kuhusu nguvu
Umeshaziona ngapi?.Njoo na takwimu.Maana kibamia ni maumbile kama ilivyo urefu na ufupi na nguvu ni changamoto tu zakiafya na kisaikolojia.Sasa hebu tuambie wewe utafiti wako umeufanyia wapi na umepimaje?.
 
It is good hata akifika 18 . Unaacha misuli ya mtoto unakuwa vema. Ukimkata mdogo unapunguza growth rate ya muscles …. Not recommended

Nchi nyingine hawatahiri kabisa

Why umtahiri mtoto at 5 or 7 years ? Unamuaisha nini , ndio maana vitanzania mnaanza ngono mapema san 🤣

Kutahiri mapema ni mila za middle east ; muslims and Jews ….ndio mila zao Huo ni
Utaratibu wa kigeni sio wenu africa

Usi disturb muscles wacha dogo akuze mzigo, at age of 18 you càn proceed
Govi halihusiki na ukuaji wa deshelele.Uume unakua kutokea ndani uko kwenye perinium eneo la katikati ya nus na makende.Ilo eneo ndilo linalodetermine uume mdogo chini ya kiwango au mkubwa.Uku mbele ni matokeo ubora au udhaifu wa kilichoko katikati ya mapaja.Lile ngozi la mbele lipo tu kufunika kile kichwa.Akipatikana mtaalamu analishona vizuri tu.
 
watu kibao wanatahiriwa wakiwa vichanga, wala hakuna tatizo

Ni mara chache sana kuna makosa ndio maana umtoa mfano wa miaka zaidi ya 50 iliyopita

Mbona hata bongo wapo waliotahiriwa vibaya kiasi cha uboho kutoonekana kabisa ila stories zao zinafichwa
 
Ni hatari Sana mkuu. Hao wanao tahiriwa wachanga ndio hao vibamia na wanao lalamika kuhusu nguvu
Hii ulidanganywa ndgu, haina ukweli wowote.
Kutahiriwa ukiwa mdogo na kukosa nguvu hapana kwakweli.

Labda wakosee kama huyo Brenda.
 
Govi halihusiki na ukuaji wa deshelele.Uume unakua kutokea ndani uko kwenye perinium eneo la katikati ya nus na makende.Ilo eneo ndilo linalodetermine uume mdogo chini ya kiwango au mkubwa.Uku mbele ni matokeo ubora au udhaifu wa kilichoko katikati ya mapaja.Lile ngozi la mbele lipo tu kufunika kile kichwa.Akipatikana mtaalamu analishona vizuri tu.
We endelea kuwadanganya wenzako na sayansi za CHATGPT.

Sisi tunaongea mambo ya KUONA LAIVU, na sio kusomea kwenye whatsApp.
 
Tukubaliane tu majira,nyakati na watu (wa/zi)na badilika,
Kwa sasa huwezi kufanya mambo kama ulivyofanya miaka ya 1990 mpk 2000,
Tuheshimu process.
Mm nilitahiriwa miaka kabla ya 2000 kurudi nyuma,nikiwa chalii.
Lkn nikaja kushiriki ma camp ya jando ya wenzangu walio tahiriwa wakiwa wkubwa kuanzia 9-13.
Ilikuwa ya kibabe,,
Camp liko vichakani huko ni mbali na makazi ya watu..
Usiku ni disco km la jkt la ile 6week.
Ni nyimbo tu za kishujaa hamna redio hapo.
Mchana.
Ni kukaa apo uchiuchi ole wako uonekane umedindisha ,unalimwa rungu la ugoko,ama joint za miguu mpk ki Boro kilale kama mlinzi wa guest..
Ni mwendo wa kiaskari ,hakuna mtoto wa mama kule,
Mgeni anaekuja kuwa tembelea camp, hatua 20 kabla hujafikia lango kuna namna ya kupiga hodi (code)lazima upige km hujui utafundishwa wkt unatoka lkn tyr umeshapigwa bakora,utaenda kuwapa code wenzio huko ukishaijua.

Yapo mengi yakufurahisha..wakikaribia kupona labda week ya 3,apo sasa ni
kuzulura na minati wenye shabaha ndege zitawindwa ,week yote ni kuchoma ndege tu.
Siku ya kutoka sasa daa iyo ndo ina vibe yaani ni sherehe..
(Maana unakuta camp vijana wamekusanywa kutoka labda nyumba 5/7) kwaivyo vijana wataoga watapendeza ni mwendo kutembea nyumba hadi nyumba ,wtaokota 50 50 na 100 100 kama zote na soda mtakunywa siku hyo.
hapo wazee wetu ni mwendo wa pombe za kienyeji na disco uchwara ya redio cassette tena casio.

Nyakati hizi kumejengeka sana,maendeleo kibao wakulima wamevamia maeneo,wakata mikaa na mbao wamefyeka vby .. hata sehemu za kuwinda ndege hazipo tena.
Wazazi ndio hawa tena watoto 2000 hawaelewi kitu kuhusu ujamaa.
Juzi kati nimempeleka first born wangu ana miaka mitano kasoro.
Nikawaza nimpeleke kizamani lkn nyakati zinanigomea kabisa.
Nimewazaa Town huku bs taflani.


Ikiwa nykt kwa baadhi yetu hazikimbii mfn umasaini unaweza kutahiri kwa miaka hyo 9 nakuendelea..
Lkn wengineo 90% tunajikuta tunatahir Wachanga tumechelewa mpk wazazi kwa wazazi tunachekana miaka 4/6.
Ikifika 9 hajatahiriwa huyo mtto shuleni kazi anayo,atanyanyaswa kisaikolojia na wenzie.
Nyakati Shikamoo.
Lucas Mwashambwa endelea kuchota ujuzi hapa wa kuongezea kwenye syllabus.
 
Back
Top Bottom