DIVISHENI FOO
JF-Expert Member
- Jan 31, 2023
- 2,308
- 5,025
Hivi kwanini mnawatahiri watoto?Jamani hii sichuesheni ya kulea mtoto katika kipindi amekatwa ni mziki mnene....hongereni wamama wenzangu wote maana hakuna kulala...🥲🥲🥲🥲
Hivi kwanini mnawatahiri watoto?Jamani hii sichuesheni ya kulea mtoto katika kipindi amekatwa ni mziki mnene....hongereni wamama wenzangu wote maana hakuna kulala...🥲🥲🥲🥲
Hivi kwanini mnawatahiri watotoJamani hii sichuesheni ya kulea mtoto katika kipindi amekatwa ni mziki mnene....hongereni wamama wenzangu wote maana hakuna kulala...🥲🥲🥲🥲
Hamna madhara yoyote. Ni ujinga tuKwani usipomtahiri inakuaje?
Usitumie pdf tumia live examples za makabila ambayo hawatahiri
Western culture au sioHivi kwanini mnawatahiri watoto
Hamna madhara yoyote. Ni ujinga tu
Na wee bichwa komwe bwana sasa tuwaache? 🙄🙄🙄Hivi kwanini mnawatahiri watoto?
Aagh,Hata akifika 15 hakuna shida
Ukitahiri mtoto akiwa mchanga Kuna uwezekano mkubwa akaja kuwa kibamia.Tunaomba maelezo zaidi kwasababu umetuletea David Tu ... madhara hayo ni yapi tudadavulie
Hujui unachoongea, Marekani watoto wa kiume karibia wote hutahiriwa wanapozaliwa, wamarekani weusi maniga wana vibamia ?Ni hatari Sana mkuu. Hao wanao tahiriwa wachanga ndio hao vibamia na wanao lalamika kuhusu nguvu
Muache akue, afikishe hata miaka 15 huko wakati ameshabalehe ndo ukate govi.Na wee bichwa komwe bwana sasa tuwaache? 🙄🙄🙄
Sasa unga una shida gani?Aagh,
Akifikisha huo umri,govi linajaaa unga. Akibinjua tu ukoko huu hapa..!
Mtahiri mwanao angalau akifikisha hata miaka5,6 hadi 7.Na wee bichwa komwe bwana sasa tuwaache? 🙄🙄🙄
Hakuna madhara yoyote. Ni ujinga tu wa hawa akina MA MTU na BA MTU.Kwani usipomtahiri inakuaje?
Usitumie pdf tumia live examples za makabila ambayo hawatahiri
Nimeona hapo juu unasema unapenda kunyonya unga wa mkono wa sweta,unaona kama unanyonya maziwa.Sasa unga una shida gani?
Bora unga kuliko kibamia
Amefikisha 6yrs mkuuu....Mtahiri mwanao angalau akifikisha hata miaka 6, hadi 7.
Mwachd Akue kule na govi lake maana halina madhara yoyote,nje ya hapo itamfanya aje kwa na maumbile madogo kama wachina.
🤣🤣🤣🤣umeshindikana...Muache akue, afikishe hata miaka 15 huko wakati ameshabalehe ndo ukate govi.
Ndo maana kaka yangu Lucas Mwashambwa ameanzisha chuo cha mafunzo ya jando ili vijana waliobalehe wapate ujuzi wa kiutu uzima ikiwa ni pamoja na tohara.
Sasa kichanga cha wiki moja kinajua nini?
Mboro yenyewe kama nukta halafu unaifyeka na mikasi. Yaani nyiee!
Mkuu kwenye hilo nakupinga. Mimi nimepata tohara nikiwa darasa la sita nikiwa na miaka 14 kwa wakati huo lakini napitia changamoto sana upande wa nguvu na sikuwahi kujihusisha kwenye maswala ya kipuuzi. Kwahyo kwenye hilo nakukatalia abadaniNi hatari Sana mkuu. Hao wanao tahiriwa wachanga ndio hao vibamia na wanao lalamika kuhusu nguvu
Hapa nakuunga mkono.Muache akue, afikishe hata miaka 15 huko wakati ameshabalehe ndo ukate govi.
Ndo maana kaka yangu Lucas Mwashambwa ameanzisha chuo cha mafunzo ya jando ili vijana waliobalehe wapate ujuzi wa kiutu uzima ikiwa ni pamoja na tohara.
Sasa kichanga cha wiki moja kinajua nini?
Mboro yenyewe kama nukta halafu unaifyeka na mikasi. Yaani nyiee!