Madhara ya kusomea British Common Law, yaonekana!

Madhara ya kusomea British Common Law, yaonekana!

Ni maajabu, Tundu Lisu anaumia zaidi kuliko Mzungu mwenyewe aliyezuiwa kusafirisha Mzigo, Tundu Lisu anashinda kutwa kutoka povu kumtetea Mzungu, hii ndiyo shida ya kwenda Shuleni maisha yote kusomea Utamaduni wa Mzungu (Muingereza), laiti kama tungekuwa na Sheria ya Kitanzania yaani inayotokana na utamaduni wetu, basi tungekuwa na Wanasheria wanaopigania Utanzania, lkn sasa hivi wanampigania Mzungu kwa maana ndicho walichosomea, binafsi nawachukia Wanasheria wote waliosomea British Common law kwa maana inatoa watu Wasaliti na Washenzi kama Tundu Lisu ambao wao hapa Duniani kwa ajili ya kupigania Maslahi ya Mzungu!
We ata huelewi unachokiongea
 
Pumba kabisa.... Yaani unatetea kitu miaka kibao halafu unakuja kukipinga kitu hicho hicho, sasa nani kichaa kati ya wewe uliyeandika uharo na Lissu????

Angalia mtu umetoka kuhara unadhani wote wagonjwa. Nikwambie kama upo kutafuta maendeleo kichama basi umepotea.kama unabisha nenda kaulize jimbo la "Mtakatifu "wako Lisu kama mwaka juzi hakuonga mtu kwenye kampeni. Ukishapata jibu uje na uharo wako hapa uniambie. Ndo uelewe kwako muhimu sio siasa. Shida yetu bongo ilikuwa pale juu. Hata ukiwa lisu wako awe Waziri mkuu na mbowe Rais. Hataweza kunpinga Rais wake. Common sense ndo mna hata wewe uharo wako unatawazia chooni. Mahali Pa siri. Heshimu mtu kutokana na matendo na nia zake. Acha kuwa na majibu kabla ya maswali. Pumbavu. Naandika lugha hizi kwa kuwa nimegundua ndo lugha za watu wajinga kama nyie. Ukitaka kingereza. Utanambia. Ukitak la lingua italiana pia sio shida. Ukitaka kifarasansa karibu na kijerumani pia. Kama Kiswahili cha kushinda
 
hapa umeongea kinafiki, tafuta video flani ipo kwa mitandao jamaa ana chambua tunavyo ibiwa na akasema kama akipewa nchi tutalimia meno.

cha ajabu wale walio pinga bungeni sasa ndo wanaunga mkono wizi huu
Hivi mtu anakuwa kiongozi ili kuwakomoa wananchi au alete nafuu kwao? Sehemu iliyokufurahisha kwenye hiyo clip ni hayo maneno ya kimaskini, baaasiii? Unasikitisha!
 
Hivi mtu anakuwa kiongozi ili kuwakomoa wananchi au alete nafuu kwao? Sehemu iliyokufurahisha kwenye hiyo clip ni hayo maneno ya kimaskini, baaasiii? Unasikitisha!
wapi nimesema hayo maneno ndo yamenifurahisha, nimetoa kama nukuu kwa kuwa ndo nimeyakumbuka mapema. ulitaka niandike mazungumzo yote hapa.

akili za nyie mboga 7 kutaka kupewa kila kitu nenda kaitafute youtube nawe uje na maneno yako yatakayo kupendeza humo.
 
Kumbe chama chakavu mlitaka Lisu awateteee nyie mwambie masaju ateteee kma anajua lolote
 
Wasaliti wa nchi ni ccm ndio waliosaini hii mikataba mibovu kwa manufaa ya matumbo yao ukweli lazima uelezwe naona mnajiandaa kuliingiza taifa kwenye hasara nyingine yaani mjatosheka kuingiza Tanzania hasara maana mnavyokopa mnaona Deni la taifa halitoshi sasa mnataka hadi tuwe Na madeni ya fidia hata kama mmefika ukomo wa kuongoza mnataka kuondoka tuachieni Tanzania Na kitu ata kidogo yaani mnataka kuacha madeni tu
 
hapa umeongea kinafiki, tafuta video flani ipo kwa mitandao jamaa ana chambua tunavyo ibiwa na akasema kama akipewa nchi tutalimia meno.

cha ajabu wale walio pinga bungeni sasa ndo wanaunga mkono wizi huu
Huo ndo tunaita unafiki kama ulikuwa hujui. Jamaa sio kwamba alikuwa hajui ubovu wa mikataba ala alikuwa analinda mkate wake kwa kutuumiza watanzania wengine. Akiwa kijiweni anasema tunaibiwa ukifika bungeni anaunga mkono hoja ya kuibiwa kwa 100%. Hao ndo wabunge wa ccm bwana bora umeliona hilo.
 
Hoja yako n dhaifu Sana hao kina TL walipigia Sana hili kelele lakini kipindi ile nyie Lumumba buku 7 mlikuwq mnaona hawana maana unajua kwamba haya ndiyo yaliyomfukuzisha bungeni ZZK kpindi ile akitaka mikataba iletwe bungeni????
Leo TL Anatupa ushauri Kama taifa bado mnampinga vipi JPM akija kufanya tena haya TL anayotoa ushauri si mtakuja kumshangilia???
Tupende kupokea ushauri hata Kama wanaotoa n wapinzani.
Mimi nafikiri bado hujaelewa nini nimemaanisha......ni kweli CCM ndio tatizo ya hapa tulipo,lakini upande wa pili haupo serious na zile weakness za CCM...Leo hii tumekuwa tukishuhudia matatizo yeyote Yale yanapotaka kutatuliwa na RAIS basi upande wa pili hutumia kigezo cha kua CCM ndio ilikuwa tatizo ......lazima tujua kwamba (the past cannot be changed) ....na kama unao umakini vizuri wa kisiasa ,basi utagundua UPINZANI SIO MUARUBAINI WA MATATIZO ya TAIFA letu badala yake huhitaji madaraka......
 
Mimi nafikiri bado hujaelewa nini nimemaanisha......ni kweli CCM ndio tatizo ya hapa tulipo,lakini upande wa pili haupo serious na zile weakness za CCM...Leo hii tumekuwa tukishuhudia matatizo yeyote Yale yanapotaka kutatuliwa na RAIS basi upande wa pili hutumia kigezo cha kua CCM ndio ilikuwa tatizo ......lazima tujua kwamba (the past cannot be changed) ....na kama unao umakini vizuri wa kisiasa ,basi utagundua UPINZANI SIO MUARUBAINI WA MATATIZO ya TAIFA letu badala yake huhitaji madaraka......

Kwanza yakupasa ufahamu chama chochote cha Siasa malengo yake ni kushika madaraka.
Sasa ulitaka waseme wapinzani ndiyo tatizo??? N kweli raisi ndo tatizo Kama ulitizama vyema siku ile ya ripoti ya mchanga kweli ripoti ile n ya raisi kwenda kwa dakika 10 na kuiletea majibu seriously?????
Tafakari mkuu hata Kama wewe n Lumumba fc.
Kingine umesikia kina werema na chenge Leo wamesemaje?? Na hao n Lumumba wenzenu.
Na bado tunasema kwa kukurupuka kwake wacha yatukute.
TL kasema tunaibiwa haya madini kisheria halali kabisa walizotunga hawa Lumumba.
Wakati TL Anapambana nayo haya miaka ya 1998 walimkamata wakamweka sero. na wakina magufuli chenge na wengine wakayapitisha bungeni kwa kisema ndioooooooooooooooo.
Tunasema na bado wacha tuibiwe
 
Duniani kuna either common law na civil law sasa wewe unachukia nini?


Siyo kweli hata wewe ni muathirika wa kusomea Utamaduni wa Uingereza kama Tundu Lisu, na unafikri Dunia nzima inazunguka hapo, nchi zote zinazojitambua zina sheria zake, English Common law ni inatokana na Utamaduniwa Muingereza, Ufaransa wana yao, Ujerumani wana yao, Uswidi wana yao , Uchina wana yao hata Nchi ndogo kama Katar wana yao, ...
 
Siyo kweli hata wewe ni muathirika wa kusomea Utamaduni wa Uingereza kama Tundu Lisu, na unafikri Dunia nzima inazunguka hapo, nchi zote zinazojitambua zina sheria zake, English Common law ni inatokana na Utamaduniwa Muingereza, Ufaransa wana yao, Ujerumani wana yao, Uswidi wana yao , Uchina wana yao hata Nchi ndogo kama Katar wana yao, ...
Si kwamba hatuna sheria zetu, huu ni ufinyu wa mawazo, bunge letu linatunga, linarekebisha na kufanyia marejeo sheria zetu. Usichofahamu wewe ni kwa namna gani common law inatumika kama mfumo wa sheria (applicability of common law). Vivyo hivyo hujui major classification of World legal systems maana ungejua usingesema kwamba hatuna sheria zetu na nchi ulizotaja eti kwamba wao ndo wana sheria zao wenyewe( yaonyesha hujasoma kwa undani) ungekuwa na msingi angalau wa taaluma ya sheria ningekwambia soma JALA (Judicature and Applications of Laws Act) pamoja na kesi ya Tanganyika Garage V. Marcel Mafuruki.


Kwa fikra hizo yatosha kukwambia inapokuja hoja na wataka kujadili basi jadili issue na si attack personalities. Hakuna uhusiano wa hoja za Lisu na British common law, sheria ya madini imetungwa na bunge letu na mikataba tulisaini wenyewe halafu tulalamike common law tena?

Ulichokiandika hukifahamu na unachofahamu umepotoka.
The Legal Systems Of The World
 
Ni maajabu, Tundu Lisu anaumia zaidi kuliko Mzungu mwenyewe aliyezuiwa kusafirisha Mzigo, Tundu Lisu anashinda kutwa kutoka povu kumtetea Mzungu, hii ndiyo shida ya kwenda Shuleni maisha yote kusomea Utamaduni wa Mzungu (Muingereza), laiti kama tungekuwa na Sheria ya Kitanzania yaani inayotokana na utamaduni wetu, basi tungekuwa na Wanasheria wanaopigania Utanzania, lkn sasa hivi wanampigania Mzungu kwa maana ndicho walichosomea, binafsi nawachukia Wanasheria wote waliosomea British Common law kwa maana inatoa watu Wasaliti na Washenzi kama Tundu Lisu ambao wao hapa Duniani kwa ajili ya kupigania Maslahi ya Mzungu!
Usipayuke kama mafarisayo, unajua ni nani aliekuwa anawatetea wananchi wasiporwe ardhi bila kulipwa fidia na hao wawekezaji? Mbona hujashangaa kuna kipengele cha mkataba wa madini kwamba kinachochimbwa ni mali yao? Kila siku mnaambiwa muweke mikataba wazi hamtaki mnasema ni siri? Endeleeni kuifanya siri. Yakiwafika shingoni ndio mnataka tuonyeshe uzalendo?, Mbona wakati mnasaini hamkutuita? Hata waliopewa talanta walizizalisha na wakapata faida, yule alieificha haikuzaa na alionekana ni mpumbavu, ENDELEENI KUIFICHA MIKATABA.



MSITUCHOSHE.
 
Yeyote anayetetea wizi wa rasilimali za nchi yetu huyo ni sawa sawa na mchawi tu hafawi ktk jamii yetu na anastahili adhabu ya kutengwa na ikiwezekana kufilisiwa Mali zake ili ajue uchungu wa kuibiwa rasilimali.
 
Siyo kweli hata wewe ni muathirika wa kusomea Utamaduni wa Uingereza kama Tundu Lisu, na unafikri Dunia nzima inazunguka hapo, nchi zote zinazojitambua zina sheria zake, English Common law ni inatokana na Utamaduniwa Muingereza, Ufaransa wana yao, Ujerumani wana yao, Uswidi wana yao , Uchina wana yao hata Nchi ndogo kama Katar wana yao, ...
Mkuu mbona unainekana kama vile haujui unachokisema Ufaransa wanatumia civil na hizo nchi zingine zote ni civil law jamaa hauna unachokijua...
 
Mkuu mbona unainekana kama vile haujui unachokisema Ufaransa wanatumia civil na hizo nchi zingine zote ni civil law jamaa hauna unachokijua...


Wewe ndiyo hauna unachokijua, kila Nchi (jamii) ina Sheria zake ambazo zimetokana na Utamaduni wake kama vile ilivyo Uingereza na Common law yao, Ufaransa wanatumia French law, Ujerumani wanatumia German law ambayo Japan waliichukuwa na kuibadilisha ili iendane na Utamaduni wao, Uarabuni wana Sharia law, Uholanzi wana Dutch law hata Nchi ndogo kama Lithuania zina lithuania law ambayo imetokana na Utamaduni wao!

Ni ujinga kutumia Sheria za jamii nyingine bila kubadilisha ili ziendane na mazingira yako, sisi tumechukuwa Sheria za Uingereza ambazo ni Utamaduni wa Uingereza wkt sisi siyo Waingereza na wala hatuhusiani na Waingereza kwa choochte matokeo yake tuna watu ambao wamesoma lkn Wajinga kama Tundu Lisu, jamaa ni Mjinga sana lkn anajiona anajua!
 
Ni maajabu, Tundu Lisu anaumia zaidi kuliko Mzungu mwenyewe aliyezuiwa kusafirisha Mzigo, Tundu Lisu anashinda kutwa kutoka povu kumtetea Mzungu, hii ndiyo shida ya kwenda Shuleni maisha yote kusomea Utamaduni wa Mzungu (Muingereza), laiti kama tungekuwa na Sheria ya Kitanzania yaani inayotokana na utamaduni wetu, basi tungekuwa na Wanasheria wanaopigania Utanzania, lkn sasa hivi wanampigania Mzungu kwa maana ndicho walichosomea, binafsi nawachukia Wanasheria wote waliosomea British Common law kwa maana inatoa watu Wasaliti na Washenzi kama Tundu Lisu ambao wao hapa Duniani kwa ajili ya kupigania Maslahi ya Mzungu!
Tatizo ni kwamba tulipopata uhuru tulikua na nafasi ya kuandika law codes zetu lakini tuliratify Tanganyika Order in the Council kuwa source of all our law code thus affirming the common law preference over our local code. It was not the opposition that ratified the said order but the government of TANU which is the predecessor of the current government so look elsewhere to pur your blame
 
Acha wewe samaki wa mvietnam ndio walimpa ujiko magufuli kupewa ugombea uraisi CCM wasomi koko wa sheria wakiwemo mawakili majaji koko walipiga chini serikali Ili serikali ilipe fidia wapate mgao akaunti zao ulaya ziiingiziwe pesa magufuli alicheza kama pele kesi ile ikaisha kimya kimya nje ya mahakama na serikali haikulipa hata thumuni. huyo tapeli lisu hajui how system works huyo ni tapeli kama matapeli wawinda pesa waliojificha kwenye majoho Ya uwakili.Hana uzalendo na nchi. We don't need his assistance to hell with him and his chadema

Kama iliisha kimya kimya Vila MTU kujua na we we umejuaje?
 
Wewe ndiyo hauna unachokijua, kila Nchi (jamii) ina Sheria zake ambazo zimetokana na Utamaduni wake kama vile ilivyo Uingereza na Common law yao, Ufaransa wanatumia French law, Ujerumani wanatumia German law ambayo Japan waliichukuwa na kuibadilisha ili iendane na Utamaduni wao, Uarabuni wana Sharia law, Uholanzi wana Dutch law hata Nchi ndogo kama Lithuania zina lithuania law ambayo imetokana na Utamaduni wao!

Ni ujinga kutumia Sheria za jamii nyingine bila kubadilisha ili ziendane na mazingira yako, sisi tumechukuwa Sheria za Uingereza ambazo ni Utamaduni wa Uingereza wkt sisi siyo Waingereza na wala hatuhusiani na Waingereza kwa choochte matokeo yake tuna watu ambao wamesoma lkn Wajinga kama Tundu Lisu, jamaa ni Mjinga sana lkn anajiona anajua!

Hizo zinakuwa sheria kwa mujibu Wa katiba.mbona mnapinga katiba ya watanzania? Maana yake ccm inaikumbatia uingereza
 
Back
Top Bottom