Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,786
Na huo ndiyo ukweli wenyewe ingawaje wengi wao wanaojiita Wanasheria labda hawalielewi hili, hakuna kitu kingine unachojifunza zaidi ya maisha ya Muingereza!
Na ndiyo maana nchi zote zinazojitambua Duniani zina Sheria zao, kuna Sheria za Uchina, Ujapani, Ufaransa, Ujerumani, Urusi, hata vinchi vidogo kama Lithuania au Qatar vina Sheria zao, nchi za Kiarabu wana zao pia za Kiislamu lkn Mwafrika hatuna Sheria zetu!
Kwa wasiofahamu British common law ambayo ndiyo Sheria zetu imetokana na maisha ya kila siku ya Watu wa Uingereza ndiyo kutokana na maisha yao wakaamua kutengeneza utaratibu wa kuwaongoza, cha ajabu utaratibu huo ndiyo tunaojivunia nao lkn tofauti ni kwamba sisi kama Watanzania hatujapitia hayo maisha ya Waingereza hivyo kwa hali ya kawaida British common law haikupaswa kuwa Sheria yetu Tanzania, na ndiyo maana Wanasheria wote Tanzania ni Waingereza kuliko Watanzania kwani hakuna kingine wanachosomea zaidi ya Utamaduni wa Muingereza ...
Na ndiyo maana nchi zote zinazojitambua Duniani zina Sheria zao, kuna Sheria za Uchina, Ujapani, Ufaransa, Ujerumani, Urusi, hata vinchi vidogo kama Lithuania au Qatar vina Sheria zao, nchi za Kiarabu wana zao pia za Kiislamu lkn Mwafrika hatuna Sheria zetu!
Kwa wasiofahamu British common law ambayo ndiyo Sheria zetu imetokana na maisha ya kila siku ya Watu wa Uingereza ndiyo kutokana na maisha yao wakaamua kutengeneza utaratibu wa kuwaongoza, cha ajabu utaratibu huo ndiyo tunaojivunia nao lkn tofauti ni kwamba sisi kama Watanzania hatujapitia hayo maisha ya Waingereza hivyo kwa hali ya kawaida British common law haikupaswa kuwa Sheria yetu Tanzania, na ndiyo maana Wanasheria wote Tanzania ni Waingereza kuliko Watanzania kwani hakuna kingine wanachosomea zaidi ya Utamaduni wa Muingereza ...