Madhara ya kusomea British Common Law, yaonekana!

Ni maajabu, Tundu Lisu anaumia zaidi kuliko Mzungu mwenyewe aliyezuiwa kusafirisha Mzigo, Tundu Lisu anashinda kutwa kutoka povu kumtetea Mzungu, hii ndiyo shida ya kwenda Shuleni maisha yote kusomea Utamaduni wa Mzungu (Muingereza), laiti kama tungekuwa na Sheria ya Kitanzania yaani inayotokana na utamaduni wetu, basi tungekuwa na Wanasheria wanaopigania Utanzania, lkn sasa hivi wanampigania Mzungu kwa maana ndicho walichosomea, binafsi nawachukia Wanasheria wote waliosomea British Common law kwa maana inatoa watu Wasaliti na Washenzi kama Tundu Lisu ambao wao hapa Duniani kwa ajili ya kupigania Maslahi ya Mzungu!
Pumba za kiwango cha bashite ndio hizi sasa yaani siku zoooote alikula nao mi ccm iko kimya leo zimekuja ngonjera za mchanga badala ya utata wa mikataba manyumbu ya ccm yooooote inachekelea tuu... nchi hi I bwana shida sana
 
Sijawahi kumuona huyu mtu Lissu wa maana hata siku moja, uanasheria wake basi ndo huwa anajiona kagonga sana ilimu kuna siku atagota tu.. time will tell.
 
Kwa akili zako na kwa ufahamu wako unaona anawatetea wazungu? Wewe kwenu kolomije? Uwe msikikizaji mzuri kuliko mnenaji
 
Ni maajabu, Tundu Lisu anaumia zaidi kuliko Mzungu mwenyewe aliyezuiwa kusafirisha Mzigo, Tundu Lisu anashinda kutwa kutoka povu kumtetea Mzungu, hii ndiyo shida ya kwenda Shuleni maisha yote kusomea Utamaduni wa Mzungu (Muingereza), laiti kama tungekuwa na Sheria ya Kitanzania yaani inayotokana na utamaduni wetu, basi tungekuwa na Wanasheria wanaopigania Utanzania, lkn sasa hivi wanampigania Mzungu kwa maana ndicho walichosomea, binafsi nawachukia Wanasheria wote waliosomea British Common law kwa maana inatoa watu Wasaliti na Washenzi kama Tundu Lisu ambao wao hapa Duniani kwa ajili ya kupigania Maslahi ya Mzungu!
Sijui huko Chadema kuna nini wale waliokuwa na uzalendo hasa kwa nchi hii wakiwa Chadema tu wanabadilika kuwa wasujudia ufisadi,hebu rejea Tundu Lissu kabla hajakuwa mwanasiasa na akiwa mwanasheria mchanga alivyokuwa anawatetea wananchi wa kule migodini na delta ya mto rufiji kuhusu uharibifu wa mazingira na kuwatetea wananchi kuhusu ,kumbe yote ile ilikuwa njaa,sasa kawageuka walalahoi na kuwasujudu walewale aliokuwa anawapinga hadi akakimbia nchi.
 
Duh hiv mbona ccm hamna hoja? Kwanini tunafanya kila kitu kwa propaganda? Tatizo ni mikataba ambayo walisaini viongozi hawahawa wa ccm mnao wamini hili sio swala la kishabiki tuwe wawazi kwa maslahi mapana ya taifa letu mikataba yote ni siri ya viongozi wa ccm sio wanachama wala taifa hili ndio tatizo kubwa tulilo nalo tusimtafute mchawi na ujinga wa kulijenga taifa letu kwa uwazi na uwajibikaji
 
Ni maajabu, Tundu Lisu anaumia zaidi kuliko Mzungu mwenyewe aliyezuiwa kusafirisha Mzigo, Tundu Lisu anashinda kutwa kutoka povu kumtetea Mzungu, hii ndiyo shida ya kwenda Shuleni maisha yote kusomea Utamaduni wa Mzungu (Muingereza), laiti kama tungekuwa na Sheria ya Kitanzania yaani inayotokana na utamaduni wetu, basi tungekuwa na Wanasheria wanaopigania Utanzania, lkn sasa hivi wanampigania Mzungu kwa maana ndicho walichosomea, binafsi nawachukia Wanasheria wote waliosomea British Common law kwa maana inatoa watu Wasaliti na Washenzi kama Tundu Lisu ambao wao hapa Duniani kwa ajili ya kupigania Maslahi ya Mzungu!
Tafadhali tueleze vizuri, ni sheria zipi hizo za mfumo wa jadi ya mtanzania ambazo zingeweza kuongoza masuala ya mbali mbali kama makampuni, Haki bunifu, kodi, madini na masuala mengineyo muhimu katika nchi, ni zipi hizo ulidhani tungekuwa nazo, maana hizi zilizopo zinatungwa, kurekebishana na kufanyiwa marejeo na wabunge wetu wa Tanzania huziamini ?

Ni fikra finyu kuona uzungu kwenye nadharia ya taaluma ya sheria na kusahau kuwa ipo hata kwenye fikizia na taaluma nyingi watanzania tulizosomea ama tunazosomea, ni sawa na kuona Lisu na Muhongo ni wakushupaliwa tukasahau mikataba tuliyoingia.
 
Sijawahi kumuona huyu mtu Lissu wa maana hata siku moja, uanasheria wake basi ndo huwa anajiona kagonga sana ilimu kuna siku atagota tu.. time will tell.
Haya mombi yako ya Akili kubwa Lisu kugonga mwamba yamesikika, ACACIA wanailipa TZ Trilioni 300 kutoka kenye huo mchanga.
 
Duniani kuna either common law na civil law sasa wewe unachukia nini?
 
hujaend shule ndo maana unaongea pumba ungeenda ungeongea kama msomi bora hata bshite aliyeenda akashindwa
hahhaah mbululaz hamatak kusikia about fact
 
Mchukie na huyu aliyekaa bungeni miaka 20 halafu hakuwahi kupinga haya ila leo ndo anauchungu.
Wacha kujipendekeza
Na kwa mfumo wa chama chake asingeweza kupigania hilo kwa nafasi yake ya ubunge na kama angejaribu basi leo hii asingekua rais wa Tanzania.

Magufuli hakua na meno sasa meno anayo ngoja ang'ate, kuna watanzania wameanza kutetea wazungu, Mungu awatie nguvu na afya zao zikiimarika watakumbuka utanzania wao.
No matter Magufuli amechelewa au amewahi lakini kuchelewa kwake sio sababu ya kuhalalisha unyonyaji kuendelea.

Kuna wapinzani hudhani ukiwa mpinzani ni kwenda kinyume na kila jambo linalofanywa na serikali.
 
Ni maajabu, Tundu Lisu anaumia zaidi kuliko Mzungu mwenyewe aliyezuiwa kusafirisha Mzigo, Tundu Lisu anashinda kutwa kutoka povu kumtetea Mzungu, hii ndiyo shida ya kwenda Shuleni maisha yote kusomea Utamaduni wa Mzungu (Muingereza), laiti kama tungekuwa na Sheria ya Kitanzania yaani inayotokana na utamaduni wetu, basi tungekuwa na Wanasheria wanaopigania Utanzania, lkn sasa hivi wanampigania Mzungu kwa maana ndicho walichosomea, binafsi nawachukia Wanasheria wote waliosomea British Common law kwa maana inatoa watu Wasaliti na Washenzi kama Tundu Lisu ambao wao hapa Duniani kwa ajili ya kupigania Maslahi ya Mzungu!
Lisu kachukua msimamo huu wa nyerere
 
Hatahivyo nyie wenyenguo za mbogamboga hua hamnaga pointi..maanakaziyenu hua nikupiga makofi hata polepole akijampa mnapiga vigelegele
 
I do agree 100% with Tundu Lissu on this,even me personally before once so called Investigation Comettee results delivered to President Magufuli I disagreeded completely that was a NULL and action.
This is due to Magufuli was a MP/a Minister for not less than TWO DEACADES(20 yrs) in the government of ccm knowingful all these National economics sabotage that was being done without even shout in/out side the Parliament.
Worst enough all these happenings was being done under ccm,and he was among too.
Watz.wenzangu hakuna asiyekuwa na uzalendo wa Taifa lake ila siyo kwa kutumia au kutafuta political popularity and political sympathy,with no any benefit gain.
Lastly withoul Legally actions taken to all privatization resources especially to all contarcts that have been signed by ccm leaders will take our country to fatal economic situation.
Great thinkers sh'd enlight small brains not to maniac political comedies I can say,without knowing the repucations and the mission of the movies also I can say.
My Take the ONLY solutions to all tregidies/catotrophics was being happening to our country is when ccm and all his leaders to stay aside and leave others to lead them and show them a good example.
For instance what Magufuli doing is to push a car while he's inside the car/a snake bite it's tail sothn that impossible or pushing the wall and all these now are called WORKS DONE = 0.
Waliyofanya na wanaoendelea kufanya nchi hii kuwa kichaka ni ccm na wanaccm.
Lazima ifike mahala watu wapanue akili na kuachana na hizi kiki za kisiasa ambazo zitakuja kuliangamiza Taifa, na unafiki ni mbaya Watz.wengi wamekuwa wanafiki na wazambiki sana.
Ni kweli tulikuwa na bado tunaibiwa sana na wazawa napamoja na wageni yote kwa sababu ya ccm na viongozi wao kuwa na mfumo uliyo mbovu unatoa mwanya.
Mikataba wamepitisha wao Bungeni kwa vigelegele,ngonjera,vifijo na nderemo huku wakidhani wana wakomoa wapinzani na wakuu wao walisaini haraka bila hata kufikiria kama wanavyokiri nikiletewa sheria....ninasaini haraka.
ccm na viongozi wao ndiyo adui wa Watz na siyo kingine.
 
Vipi kuhusu Fisadi Lowasa na Sumaye? Wao hawakuwepo Serikalini wkt haya yanatokea? Kati ya Raisi wetu Magufuli na Fisadi Lowasa/Sumaye, nani anastahili zaidi lawama kwenye hili?

Kama vile unawafananisha. Au sio? Naona kila Magufuli akitajwa kuwepo kwenye serikali zilizotangulia na kuminya kimya mbele ya ufisadi basi utetezi huwa ni kumlinganisha na Lowasa na Sumaye! Anyway, isiwe taabu. Kwangu mimi hao wote ni dugu moja waliolelewa katika nidhamu ya chama. Wana miiko yao wanayozingatia kikamilifu hadi leo hii. Hizo fokafoka ni mkakati tu.

Sijui inakuwaje kuwa bado wapo "wazalendo uchwara" wanaojitoa ufahamu na kutarajia "ukombozi" wa dhati toka kwa hao "maveterani" wa CCM? Ni kama vile Watanzania wameandikiwa kuwa watu wa kutwangwa kote kote! Haya tusubiri tuone kama mbuyu utadondosha embe. Time will tell.
 
Back
Top Bottom