Madhara ya kusomea British Common Law, yaonekana!

Barbarosa

JF-Expert Member
Apr 16, 2015
22,584
27,786
Ni maajabu, Tundu Lisu anaumia zaidi kuliko Mzungu mwenyewe aliyezuiwa kusafirisha Mzigo, Tundu Lisu anashinda kutwa kutoka povu kumtetea Mzungu, hii ndiyo shida ya kwenda Shuleni maisha yote kusomea Utamaduni wa Mzungu (Muingereza), laiti kama tungekuwa na Sheria ya Kitanzania yaani inayotokana na utamaduni wetu, basi tungekuwa na Wanasheria wanaopigania Utanzania, lkn sasa hivi wanampigania Mzungu kwa maana ndicho walichosomea, binafsi nawachukia Wanasheria wote waliosomea British Common law kwa maana inatoa watu Wasaliti na Washenzi kama Tundu Lisu ambao wao hapa Duniani kwa ajili ya kupigania Maslahi ya Mzungu!
 
Wewe ni kichwa maji kweli!
Yaani uvccm tatizo lenu huwa mnataka jambo akianzisha mtu wa ccm basi nchi nzima lazma tuungane kukubali!
Mmechelewa hayo mambo yalikuwa enzi za nyerere sio sasa hivi!
 
Ni maajabu, Tundu Lisu anaumia zaidi kuliko Mzungu mwenyewe aliyezuiwa kusafirisha Mzigo, Tundu Lisu anashinda kutwa kutoka povu kumtetea Mzungu, hii ndiyo shida ya kwenda Shuleni maisha yote kusomea Utamaduni wa Mzungu (Muingereza), laiti kama tungekuwa na Sheria ya Kitanzania yaani inayotokana ana utamaduni wetu, basi tungekuwa na Wanasheria wanaopigania Utanzania, lkn sasa hivi wanampigania Mzungu kwa maana ndicho walichosomea, binafsi nawachukia Wanasheria wote waliosomea British Common law!

Tundu kamtetea mzungu wapi? Naomba uka msome tena. kafanya vitu vitatu. 1. Umeonyesha mapungufu ya uamuzi kwa sababu unaweza kuleta madhara makubwa kwa nchi kwenye mikataba za kimataifa. 2 Kaonyesha njia mbadala ambayo ingetumika. 3 Kaelezea hizo sheria zenywe na noms. Nionyeshe alipomtetea mzugu. Kuhusu hii mikataba hajaanza kuikosoa leo na anayo.
 
Mchukie na huyu aliyekaa bungeni miaka 20 halafu hakuwahi kupinga haya ila leo ndo anauchungu.
Wacha kujipendekeza
hapa umeongea kinafiki, tafuta video flani ipo kwa mitandao jamaa ana chambua tunavyo ibiwa na akasema kama akipewa nchi tutalimia meno.

cha ajabu wale walio pinga bungeni sasa ndo wanaunga mkono wizi huu
 
hapa umeongea kinafiki, tafuta video flani ipo kwa mitandao jamaa ana chambua tunavyo ibiwa na akasema kama akipewa nchi tutalimia meno.

cha ajabu wale walio pinga bungeni sasa ndo wanaunga mkono wizi huu
Sisi tunazungumzia bungeni wewe unaleta mambo ya vichochoroni.
Wacha unafki mkuu.
Huko alipoongelewa huoni kwamba n uoga Kama hiyo video isingevuja ungejua Kama aliwahi kuongea huko kichochoroni?????
 
Sisi tunazungumzia bungeni wewe unaleta mambo ya vichochoroni.
Wacha unafki mkuu.
Huko alipoongelewa huoni kwamba n uoga Kama hiyo video isingevuja ungejua Kama aliwahi kuongea huko kichochoroni?????
uoga kuongea mbele ya watu wengi tena wenye madaraka, bungeni wapinzani wameongea sana kuhusu kuibiwa huku leo wanapinga unawaweka kundi gani?

alikuwa waziri (ulitaka aikosoe serikali ) yeye kazi yake ni kuishauri una uhakika ajawahi fanya ivo.

nani asiye lijua bunge la tz limejaa upuuzi lissu anaongea huko alafu anakuja tetea nje upuuzi huu ndo unapenda na kuunga mkono.

ficha ujinga wako mkuu
 
Ni maajabu, Tundu Lisu anaumia zaidi kuliko Mzungu mwenyewe aliyezuiwa kusafirisha Mzigo, Tundu Lisu anashinda kutwa kutoka povu kumtetea Mzungu, hii ndiyo shida ya kwenda Shuleni maisha yote kusomea Utamaduni wa Mzungu (Muingereza), laiti kama tungekuwa na Sheria ya Kitanzania yaani inayotokana ana utamaduni wetu, basi tungekuwa na Wanasheria wanaopigania Utanzania, lkn sasa hivi wanampigania Mzungu kwa maana ndicho walichosomea, binafsi nawachukia Wanasheria wote waliosomea British Common law!
Kama ndivyo husiishie hapo tu, Chukia mpaka mahakama zote za Tanzania zinazoendeshwa na mfumo huo.
 
Ni maajabu, Tundu Lisu anaumia zaidi kuliko Mzungu mwenyewe aliyezuiwa kusafirisha Mzigo, Tundu Lisu anashinda kutwa kutoka povu kumtetea Mzungu, hii ndiyo shida ya kwenda Shuleni maisha yote kusomea Utamaduni wa Mzungu (Muingereza), laiti kama tungekuwa na Sheria ya Kitanzania yaani inayotokana ana utamaduni wetu, basi tungekuwa na Wanasheria wanaopigania Utanzania, lkn sasa hivi wanampigania Mzungu kwa maana ndicho walichosomea, binafsi nawachukia Wanasheria wote waliosomea British Common law!


Labda kama unamjumuisha na Chenge katika chuki zako
 
Kuna watu wanajiona wao ndio wanastahili na wana hatimiliki ya kukosoa au kusifia utawala wa awamu ya 5,na wanaongea kama vile akili zao zimeacha kufikiri.
Lissu kutoa tahadhali amefanya kosa gani? Mara ngapi wapinzania wamekosoa hii mikataba na namna nchi inavyoingia mikataba? Rais amesema nasikitika kwa sababu aliwateua wasomi akijua watasaidia nchi lakini bahati mbaya wamemwangusha na bahati mbaya zaidi wewe 'msomi' unaeichukia British common law unaendeleza kumwangusha rais wako because you're not thinking critically or not thinking at all,sad.
 
Back
Top Bottom