Madhara ya kuoa Mwanamke ambaye hajasoma na Golikipa ni haya!

Mama yake Nyerere alikuwa golikipa hajui kusoma Wala kuandika katoa Raisi wa kwanza wa Tanzania,Mama yake Raisi wa pili wa Tanzania Raisi Ali Hassan Mwinyi alikuwa golikipa hajui kusoma Wala kuandika katoa Raisi wa pili wa Tanzania,Mama yake Raisi wa Tatu wa Tanzania Raisi Benjamin Mkapa alikuwa Golikipa hajui kusoma Wala kuandika katoa Raisi wa Tatu wa Tanzania Raisi Benjamin Mkapa ,mama yake Raisi wa Nne wa Tanzania Raisi Jakaya Kikwete mama yake alikuwa golikipa hajui kusoma Wala kuandika katoa Raisi Kikwete Raisi wa awamu ya Nne ,Raisi wa awamu ya Tano Magufuli mama yake alikuwa Golikipika hajui kusoma Wala kuandika katoa Raisi Magufuli,Raisi wa awamu ya Sita Mama Samia Suluhu Hassan mama yake Golikipa hajui kusoma Wala kuandika katoa Raisi

Swali wewe mleta mada mama Yako anayejua kusoma na kuandika wewe kakuzalisha kama nani mbona mchovu tu labda unakovjiunia na kujiona wa maana humu una Maisha Gani mchovu choka mbaya wewe na mama Yako msomi mtoto wa mama msomi na asiye golikipa mbona wote chokambaya mnajikuna upele tu
🤣🤣🤣🤣
 
Vp kwaiyo we muhanga wa hilo
Muhanga wa nn mkuu?

Nashukuru Mungu mama angu alikuwa mfanyakazi,nurse!
Sijui ingekuwaje!

Mzee e Dr ila alikuwa anazingua ,mama ndo alibeba sn mzigo!

Uniambie eti Hela ya mwanamke hsisaidii familia nashangaa, wakati ndo Kila kitu, wanawake sshv wanalipa bill ,ndo maana wanaona waishi wenyewe tu sbb wanaume wanazingua
 
Mwanamke msomi akipata hela anaanza kuwaza namna ya kuishi peke yake hata kama yupo na mume na ajitafutie kibenten awe anakipangia kila kitu.
Labda huyo mumewe mbali na fedha awe na cheo kikubwa kwa jamii ndo atatulia.

Ni wasenge hawa sijapata kuona
 
Nani kakwambia watu wanaogopa vyeo au elimu za wanawake. Hata Ummy mwalimu anapigwa sound vizuri tu na anatafunika na wahuni.

Mwanamke kutongozwa ni kutokana na mazingira tu na watu anaokutana nao mara kwa mara. Kama anashinda mtaani atatongozwa na wa mtaani. Kama anashinda ofisini basi atatokewa na hao hao walioko maeneo ya ofisini.
 
Mwanamke msomi akipata hela anaanza kuwaza namna ya kuishi peke yake hata kama yupo na mume na ajitafutie kibenten awe anakipangia kila kitu.
Labda huyo mumewe mbali na fedha awe na cheo kikubwa kwa jamii ndo atatulia.

Ni wasenge hawa sijapata kuona
Mwanamke yeyote tu akikamata vizuri uchumi anataka uhuru asiulizwe wala kuhojiwa kwa matendo yake afanyayo. Hapo ndio kiburi kinapomea sasa na kwa kuwa wanaume hatupendi dharau lazma mtakorofishana na kuachana tu.
 
Back
Top Bottom