Madhara ya Kukandamiza NGONO........!

Mke akikunyina uhausi, ndio wwe hamu ya uhausi inayokuwa kubwa

Kazini mkikatazwa kuvaa jeans ndivyo wee hamu ya kuvaa jeans inaongezeka

SHule mkikatazwa kwenda mjini ndio hamu ya kwenda mjini inakuwa kuwa

Hawa watoto wa kike waliojaa hivi mjini? please Kongosho come again? LOL
 
Last edited by a moderator:
Mtambuzi mchana ilikuwa mwaka 1988 mchana kabisaaaaaa ila baba hakujua ila toka pale niliona aibu kweli nikajuta kwanini nimekula chabo

curiosity killed the cat, nadhani kuanzia hapo ulishikwa na hamu ya kujua zaidi kuhusu hiyo kitu aka dushelele kuwa kazi yake ni nini hasa, na sasa unaikeshea kwa raha zako

We kula tu mwanawane, wakati ndio huu, ukingoja uzeeke, utaishia kusimuliwa na kubaki kujiuma vidole kwa hasira....
 
umesema kweli kabisa mkuu, na ndio maana nawashauri wadada humu wasinyimane wapeane tu maana itafika mahali kila mtu ataona hiyo kitu ni ya kawaida kabisa, lakini huko kufichwa kumefanya iwe na thamani isiyostahili na sasa inajenga nyumba na kununua magari...


Duuuhhh,

Sasa ndugu yangu Mtambuzi, naona ukianzisha kanisa lake na kupiga hilo neno utapata wafuasi wengi sana...

Ila sijui kama utamuda na kukabiliana na demand kiasi kwamba uweze kuwawekea wafuasi wao mipaka ya kupeana!!

Hata wanyama wa porini ambao wanafanya ngono kwa minajili ya kustarehe hawawezi kuipata 24/7!

Anyway, ushauri wako una mantiki zake ingawa sina hakika kama unatekelezeka,

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
Kaizer ngoja nimsaidie Kongosho kwetu kule arusha vijijini tulipokuwa tunaishi early 80's tulikuwa na bafu ambalo halikuw zuri sana ukitulia mahali unakula chabo sasa pindi baba/marehemu mama wakienda bafuni tunafukuzwa maeneo ya jikoni maana bafu lilikuwa karibu,nikawa najiuliza kwani ninini hasa wanachotufukuzia basi siku hiyo mama hakluwepo baba akaenda kuoga mie taratibu nanyata nikala chabo nikaona dushelele la baba yangu basi nikajua kumbe ndio kifichwacho?ila ile taswira hainipotei mpaka leo lol.naonaga aibu sana nikimwona baba yangu Kaizer hii ndio Kongosho anasemelea

hahahaah nivea unajua nimepata picha tulikuwa wote, mi ni mtoto wa njirani yenu NNko, tulicheza wote kibaba na mama hebu songesha PM tutambuane vizuri aisee

(ila we mbayyyyaaaaaaaaaaaaaaaaa)
 
Last edited by a moderator:
Dark City n Mtambuzi nyie wazee mmeshajizeekea hebu tuacheni watoto na minato yetu lol naona mnataka kujijengea kadaraja taratibu ili ukiongea na Ciello asiseme no akandamize ngono hahahahahahaahahahaah uzee noma


Una hakika na hayo unayoyasema nivea?

Suala la kupeana au kunyimana lipo ila bado wenye juhudi zao wanakula na kusaza!!

Labda kama Mtambuzi anataka kujipatia vya kunyonga...huyo siwezi kumsemea!!

Babu DC!
 
Last edited by a moderator:
Afadhali umesema baba mzazi. Sasa ngoja nianze kufanyisha zile applications. Kama kuna alie-apply na nisipomcontact hadi friday kindly remind me here here. No inbox plz. Senk yuuu vere macheeee
 
Dark City n Mtambuzi nyie wazee mmeshajizeekea hebu tuacheni watoto na minato yetu lol naona mnataka kujijengea kadaraja taratibu ili ukiongea na Ciello asiseme no akandamize ngono hahahahahahaahahahaah uzee noma

Siku hizi mama Ngina akininyima namkumbusha madhara ya kukandamiza ngono na yeye anasalimu amri.
Kusema ukweli kabisa, kama wanandoa wananyimana hiyo kitu, madhara yake yanaweza kuwa makubwa sana, kwani hamjawahi kusikia hata humu JF kuwa mwanaume kamuua mkewe kwa sababu kamnyima unyumba, au eti hakumpikia chakula, hiyo sababu ya kutopikiwa chakula ni shabaha dhaifu tu, lakini nyuma a ugomvi wao ni kunyimana tendo la ndoa.

Ukichunguza sana migogogro ndani ya ndoa nyingi sababu ni tendo la ndoa, aidha mke anamnyima mume kama adhabu (Hii hutumiwa na wanawame wengi sana siku hizi) au mke hatoshelezewi na mumewe tendo la ndoa na mume kuambiwa na mkewe kwamba hajatosheka ni tusi kubwa............ kwa mwanaume tayari huko ni kudharauliwa, na atajiuliza maswali mengi sana,

je kama mie simtoshelezei, ni nani anayemtoshelezea?

Kwa kuwa wanaume wengi hawajiamini na wanatawaliwa na EGO, kuambiwa hivyo na mwanamke ni kudharauliwa na wivu utaongezeka kwa sababu atahisi mke atakwenda nje kutafuta wa kumtoshelezea.....
 
hahahaah nivea unajua nimepata picha tulikuwa wote, mi ni mtoto wa njirani yenu NNko, tulicheza wote kibaba na mama hebu songesha PM tutambuane vizuri aisee

(ila we mbayyyyaaaaaaaaaaaaaaaaa)


Kama nakuona vile mkuu Kaizer...huchezi mbali na vinono!!
nivea..umemuona mtaalamu huyo?


Halafu mwambie Sweet Redds kwamba tunamsubiri kwa hamu...Mwambie asimuudhi babu kwani laana yake ni balaa!!

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
Siku hizi mama Ngina akininyima namkumbusha madhara ya kukandamiza ngono na yeye anasalimu amri.
Kusema ukweli kabisa, kama wanandoa wananyimana hiyo kitu, madhara yake yanaweza kuwa makubwa sana, kwani hamjawahi kusikia hata humu JF kuwa mwanaume kamuua mkewe kwa sababu kamnyima unyumba, au eti hakumpikia chakula, hiyo sababu ya kutopikiwa chakula ni shabaha dhaifu tu, lakini nyuma a ugomvi wao ni kunyimana tendo la ndoa.

Ukichunguza sana migogogro ndani ya ndoa nyingi sababu ni tendo la ndoa, aidha mke anamnyima mume kama adhabu (Hii hutumiwa na wanawame wengi sana siku hizi) au mke hatoshelezewi na mumewe tendo la ndoa na mume kuambiwa na mkewe kwamba hajatosheka ni tusi kubwa............ kwa mwanaume tayari huko ni kudharauliwa, na atajiuliza maswali mengi sana,

je kama mie simtoshelezei, ni nani anayemtoshelezea?

Kwa kuwa wanaume wengi hawajiamini na wanatawaliwa na EGO, kuambiwa hivyo na mwanamke ni kudharauliwa na wivu utaongezeka kwa sababu atahisi mke atakwenda nje kutafuta wa kumtoshelezea.....

Hivi mmeshamaliza 40?

Au wewe unapiga mbele kwa mbele.....!!

Babu DC!!
 
siku hizi mama ngina akininyima namkumbusha madhara ya kukandamiza ngono na yeye anasalimu amri.
Kusema ukweli kabisa, kama wanandoa wananyimana hiyo kitu, madhara yake yanaweza kuwa makubwa sana, kwani hamjawahi kusikia hata humu jf kuwa mwanaume kamuua mkewe kwa sababu kamnyima unyumba, au eti hakumpikia chakula, hiyo sababu ya kutopikiwa chakula ni shabaha dhaifu tu, lakini nyuma a ugomvi wao ni kunyimana tendo la ndoa.

Ukichunguza sana migogogro ndani ya ndoa nyingi sababu ni tendo la ndoa, aidha mke anamnyima mume kama adhabu (hii hutumiwa na wanawame wengi sana siku hizi) au mke hatoshelezewi na mumewe tendo la ndoa na mume kuambiwa na mkewe kwamba hajatosheka ni tusi kubwa............ Kwa mwanaume tayari huko ni kudharauliwa, na atajiuliza maswali mengi sana,

je kama mie simtoshelezei, ni nani anayemtoshelezea?

Kwa kuwa wanaume wengi hawajiamini na wanatawaliwa na ego, kuambiwa hivyo na mwanamke ni kudharauliwa na wivu utaongezeka kwa sababu atahisi mke atakwenda nje kutafuta wa kumtoshelezea.....
kwa wanawake wajanja huishia kulia utamu kumbe hamna kitu ili mumewe ajione kazi kaiweza kweli kweli yeye kidume ,ukitaka ndoa ife mwambie mwanaume siriziki na ufanyacho atakugeuka hata kama ulisema kwa gud wil.muulize Madam B aka fundi wakulia anasema yeye analia mpaka eeeeuiii hahahahh maisha kweli hayana formula ati lol
 
Mkuu mchambuzi , maelezo yote hayo ni kutaka kuhalalisha ngono tu! unakoelekea Mkuu, ni kama unataka kuiabudu kabisa ngono, maandiko matukufu yanatuambia TUSIIKURUBIE ZINAA.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom